Stendi ya Msamvu yashindwa kulipia hata umeme, ni giza Totoro!

Stendi ya Msamvu yashindwa kulipia hata umeme, ni giza Totoro!

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Stendi ya Msamvu hali ni mbaya kimapato licha ya uzuri na ubora wake.

Menejimenti ya stendi hiyo yashindwa kulipia hata umeme. Abiria wanaporwa hovyo kwasababu ya giza lililotawala kwenye stendi hiyo.

Kama vipi tumkabidhi Muarabu aendeshe.

==============

Upande wa vyoo vichafu mno, upande wa Wanaume bafu linalofanya kazini moja pekee, sehemu ya haja ndogo ni pabovu uchafu unatuama hauendi chini kwenye njia yake, sehemu nyingine wameweka ndoo ambayo mkojo unachuruzikia humo, yaani mkojo unakungwa kwa ndoo, hatari sana.
 
Stendi ya Msamvu hali ni mbaya kimapato licha ya uzuri na ubora wake.

Menejimenti ya stendi hiyo yashindwa kulipia hata umeme. Abiria wanaporwa hovyo kwasababu ya giza lililotawala kwenye stendi hiyo.

Kama vipi tumkabidhi Muarabu aendeshe.
Kapicha basi tuone hilo giza🙄🙄
 
Kwani hapo shida ni kulipia umeme au kuna shoti?
hiyo stend ipo chini ya manispaa,na hiyo ni chanzo kikuu cha mapato hapo moro ukitoa masoko!
siamini kuwa tatizo ni luku mzee wangu
 
Wapewe DP World.

Watanzania tunayoyaweza ni ufisadi, wizi, uzembe, majungu, fitina, kurogana, kulewa, uasherati, uzinzi, uchawi uhasidi, kutingidha makalio, kusemana, umbea na sasa ushoga.

Inaumiza sana.
 
Stendi ya Msamvu hali ni mbaya kimapato licha ya uzuri na ubora wake.

Menejimenti ya stendi hiyo yashindwa kulipia hata umeme. Abiria wanaporwa hovyo kwasababu ya giza lililotawala kwenye stendi hiyo.

Kama vipi tumkabidhi Muarabu aendeshe.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Stendi ya Msamvu hali ni mbaya kimapato licha ya uzuri na ubora wake.

Menejimenti ya stendi hiyo yashindwa kulipia hata umeme. Abiria wanaporwa hovyo kwasababu ya giza lililotawala kwenye stendi hiyo.

Kama vipi tumkabidhi Muarabu aendeshe.
Mapato yote yanaingia mifukoni mwa wapuuzi wachache

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mapato yote yanaingia mifukoni mwa wapuuzi wachache

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu mzima acha uchochezi haipendezi, kwa akili yako ilivyo ndogo nawe umeamini kuwa wameshindwa kununua umeme?

Mimi nipo Moro town hapa maeneo mengi tu umeme hakuna kutokana na hitiliafu tangu usiku saa 4.

Acha kuwa mtu mzima hovyo.
 
Mtu mzima acha uchochezi haipendezi, kwa akili yako ilivyo ndogo nawe umeamini kuwa wameshindwa kununua umeme?

Mimi nipo Moro town hapa maeneo mengi tu umeme hakuna kutokana na hitiliafu tangu usiku saa 4.

Acha kuwa mtu mzima hovyo.
We ni meneja wa stendi au meneja wa tanesco Moro..? Mbona unapaniki relax 🤠
 
Stendi ya Msamvu hali ni mbaya kimapato licha ya uzuri na ubora wake.

Menejimenti ya stendi hiyo yashindwa kulipia hata umeme. Abiria wanaporwa hovyo kwasababu ya giza lililotawala kwenye stendi hiyo.

Kama vipi tumkabidhi Muarabu aendeshe.
Morogoro iwe Jiji 😁😁😁😁
 
Stendi kubwa namna ile na pesa wanazokusanya kila siku, kama umeme umekatika hawana hata backup ya generator au solar system? iNi aibu.


Viongkzi wote ws hiyi Stendi wafukuzwe kazi na mkurugenzi wao wa Manispaa nE afukuzwe kazi.

Serikali kuu isicheke kabisa na watu namna hii.
 
Mtu mzima acha uchochezi haipendezi, kwa akili yako ilivyo ndogo nawe umeamini kuwa wameshindwa kununua umeme?

Mimi nipo Moro town hapa maeneo mengi tu umeme hakuna kutokana na hitiliafu tangu usiku saa 4.

Acha kuwa mtu mzima hovyo.
Kwa nini hakuna standby generator au solar panel?

Kwa nini unatetea ujinga? Kwa maslahi ya nani?
 
Wapewe DP World.

Watanzania tunayoyaweza ni ufisadi, wizi, uzembe, majungu, fitina, kurogana, kulewa, uasherati, uzinzi, uchawi uhasidi, kutingidha makalio, kusemana, umbea na sasa ushoga.

Inaumiza sana.


Madam Faiza, hii kauli yako ni ya mtu aliyekata tamaa kabisaaa, mtu asiyetarajia matumaini kutoka hata kwa Mungu.

Mtu anashindwa kuikarabati nyumba yake kwasababu ya shida zinazomkabili halafu anaamua kuiuza kwa mtu mwingine, bila kujali watoto na mke wake, halafu anabaki kukaa katika nyumba hiyo hiyo huku akiwa mpangaji !!😏, --- hali hiyo ndiyo unayotaka itokee Kati ya DP world na Tanganyika yetu.

Nasema hivi; Tukio la DP world kama litafanikiwa basi CCM downfall is inevitable and that will be a new era of freedom liberation from a long time CCM cramping clutches.

Hakuna mkataba wowote nchi yetu imewahi kuingia chini ya Serikali ya CCM na ukaleta matunda kusudiwa isipokuwa ilikuwa ni "kupigwa" tu, hadithi ya Mtukufu Mtume mtume mtukufu (saw) inasema; "Muumini hang'atwi na nyoka mara mbili katika shimo lilelile". Sisi tumeng'wata na nyoka kutoka kwenye shimo la mikataba zaidi ya mara 10 na shimo hili la DP world ni even worse kwakuwa linaenda kuuza nchi yetu kwa nchi nyingine. Mtume (saw) alisema; "Kuipenda nchi yako ni imani". Ni lazima tuing'oe CCM madarakani kwani huo ndio mzizi wa fitna.
 
Wapewe DP World.

Watanzania tunayoyaweza ni ufisadi, wizi, uzembe, majungu, fitina, kurogana, kulewa, uasherati, uzinzi, uchawi uhasidi, kutingidha makalio, kusemana, umbea na sasa ushoga.

Inaumiza sana.
Mimi niko hapo kwenye bold na hata aje nani kunikataza bado siachi na sitaacha. Nyapu ilivyo tamu naiachaje kwa mfano.
 
Stendi ya Msamvu hali ni mbaya kimapato licha ya uzuri na ubora wake.

Menejimenti ya stendi hiyo yashindwa kulipia hata umeme. Abiria wanaporwa hovyo kwasababu ya giza lililotawala kwenye stendi hiyo.

Kama vipi tumkabidhi Muarabu aendeshe.
Ela ipo inaishia mifukon kwa watu , na SSH anajuwa ila yupo kimya maana hao ndo wanamsifia mama anaupiga mwingi
 
Back
Top Bottom