Kapicha basi tuone hilo gizaππStendi ya Msamvu hali ni mbaya kimapato licha ya uzuri na ubora wake.
Menejimenti ya stendi hiyo yashindwa kulipia hata umeme. Abiria wanaporwa hovyo kwasababu ya giza lililotawala kwenye stendi hiyo.
Kama vipi tumkabidhi Muarabu aendeshe.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Stendi ya Msamvu hali ni mbaya kimapato licha ya uzuri na ubora wake.
Menejimenti ya stendi hiyo yashindwa kulipia hata umeme. Abiria wanaporwa hovyo kwasababu ya giza lililotawala kwenye stendi hiyo.
Kama vipi tumkabidhi Muarabu aendeshe.
Mapato yote yanaingia mifukoni mwa wapuuzi wachacheStendi ya Msamvu hali ni mbaya kimapato licha ya uzuri na ubora wake.
Menejimenti ya stendi hiyo yashindwa kulipia hata umeme. Abiria wanaporwa hovyo kwasababu ya giza lililotawala kwenye stendi hiyo.
Kama vipi tumkabidhi Muarabu aendeshe.
Mtu mzima acha uchochezi haipendezi, kwa akili yako ilivyo ndogo nawe umeamini kuwa wameshindwa kununua umeme?
Kwenye hili naku supportWapewe DP World.
Watanzania tunayoyaweza ni ufisadi, wizi, uzembe, majungu, fitina, kurogana, kulewa, uasherati, uzinzi, uchawi uhasidi, kutingidha makalio, kusemana, umbea na sasa ushoga.
Inaumiza sana.
We ni meneja wa stendi au meneja wa tanesco Moro..? Mbona unapaniki relax π€Mtu mzima acha uchochezi haipendezi, kwa akili yako ilivyo ndogo nawe umeamini kuwa wameshindwa kununua umeme?
Mimi nipo Moro town hapa maeneo mengi tu umeme hakuna kutokana na hitiliafu tangu usiku saa 4.
Acha kuwa mtu mzima hovyo.
Morogoro iwe Jiji ππππStendi ya Msamvu hali ni mbaya kimapato licha ya uzuri na ubora wake.
Menejimenti ya stendi hiyo yashindwa kulipia hata umeme. Abiria wanaporwa hovyo kwasababu ya giza lililotawala kwenye stendi hiyo.
Kama vipi tumkabidhi Muarabu aendeshe.
Kwa nini hakuna standby generator au solar panel?Mtu mzima acha uchochezi haipendezi, kwa akili yako ilivyo ndogo nawe umeamini kuwa wameshindwa kununua umeme?
Mimi nipo Moro town hapa maeneo mengi tu umeme hakuna kutokana na hitiliafu tangu usiku saa 4.
Acha kuwa mtu mzima hovyo.
Wapewe DP World.
Watanzania tunayoyaweza ni ufisadi, wizi, uzembe, majungu, fitina, kurogana, kulewa, uasherati, uzinzi, uchawi uhasidi, kutingidha makalio, kusemana, umbea na sasa ushoga.
Inaumiza sana.
Mimi niko hapo kwenye bold na hata aje nani kunikataza bado siachi na sitaacha. Nyapu ilivyo tamu naiachaje kwa mfano.Wapewe DP World.
Watanzania tunayoyaweza ni ufisadi, wizi, uzembe, majungu, fitina, kurogana, kulewa, uasherati, uzinzi, uchawi uhasidi, kutingidha makalio, kusemana, umbea na sasa ushoga.
Inaumiza sana.
Ela ipo inaishia mifukon kwa watu , na SSH anajuwa ila yupo kimya maana hao ndo wanamsifia mama anaupiga mwingiStendi ya Msamvu hali ni mbaya kimapato licha ya uzuri na ubora wake.
Menejimenti ya stendi hiyo yashindwa kulipia hata umeme. Abiria wanaporwa hovyo kwasababu ya giza lililotawala kwenye stendi hiyo.
Kama vipi tumkabidhi Muarabu aendeshe.