Stendi ya Nyamhongolo yaelekea kuwa mahame

Stendi ya Nyamhongolo yaelekea kuwa mahame

Mkuu sidhani kama uko sahihi na huenda si mkazi wa Mwanza, stendi ya Buzuruga imekuwepo miaka na miaka ikihudimia wananchi hao hao uliowataja na leo hii imehamishiwa Nyamhongolo ife wakati Nyamhongolo ndo Buzuruga?

Jiulize kwanini Buzuruga bus stand haikuwahi kuwa mahame na kwanini Nyamhongolo iwe mahame?
Buzuruga ni mjini,mishemishe zipo bila kuhitaji kuvuta watu lakini nyamhongoro ni nje ya mji mtu akienda ujue ni msafiri tu,
 
Buzuruga ni mjini,mishemishe zipo bila kuhitaji kuvuta watu lakini nyamhongoro ni nje ya mji mtu akienda ujue ni msafiri tu,
Eti buzuruga ni mjini,duh pole, sasa imeshatokea ikajengwa huku,nini ushauri wako? Kwanini ulaumu kwa mambo ambazo huwezi kurekebisha?
 
Kabla ya Nyegezi na Buzuruga kuwa stand, tulikua tunatumia stand moja pekee Mwanza ikiitwa Tanganyika.
Miaka ile nyegezi kona palikua porini wala hakuna alie kubali kugaiwa hata kiwanja bure.
Pale Buzuruga palikua makaburi kabla ya soko na kisha pakawa stand.
Nakumbuka mwaka 1997 nilinunua kiwanja kwa 20,000 pale Buzuruga ukitoka shuleni kama unaelekea mitimirefu juu kabla ya kuanza kushuka kuelekea Nyasaka kwa mzee Mapunda
 
Stendi ni kwa ajili ya mabasi, biashara ni ziada tu kusaidia wasafiri kupata mahitaji...
 
Nimechoka ku pretend, nimesoma comments nikajua kuna mtu kauliza, ila wote inaonesha wanajua..

Maana ya "Mahame" ni nini?
 
Kuna mdau hapo kaongelea ubunifu. Inaelekea yuko sawa. Hatuna ubunifu nchi hii.

Mtu mmoja akijenga fremu za maduka akafanikiwa inageuka fasheni nchi nzima wote wanafanya hivyo hivyo.

Issue ya stand pia iko hivyyo hivyo, kila halmashauri inasjibdana na nyingine kujenga stand! Na nyingi zimegeuka white elephant.

Stand zinajengwa mbali na wananchi ambao wanalazimika kiingia gharama za biila sababu na yakitokea mabadiliko tuna shangaa.
Yanayotokea Nyamhongolo hayana tofauti ya yalitoko Nyegezi, vyumba vingi vya biashara vimefungwa kwa kuwa hakuna watu..

Na hata wenye guest house maeneo ya kuzunguka stand nyingi zinafungwa kwa kukosa wateja ambao walilengwa abiria.

Na sababu kubwa ya anguko la hizi stand ni uamuzi wa kuruhusu mabasi kusafiri wakati wote. Hivyo hakuna haja ya kulala guest, kula vyajula visivyo na ladha na kuandaliwa katika mazingira machafu n.k.
Kwa wenyeji wa Mwanza watakumbuka jinsjibiashara ya kupangisha wanafinzi wa saut ilihuokufa kifo vha asili licha ya baadhi ya watu kuwekeza mamilioni ya fedha na au nyumba za makazi kugeuzwa za kupanga wanafunzi, yote hii ni baada ya Uongozi wa chuo kujenga hosteli zake.
 
Nimepapita jana nawana wameweka mpk college ya lakezone...ila mi wangejenga tu ile ya nyegezi na ikaachwa ile ya buzuruga...sijaona uhitaji wa stand mbili kubwa ndan ya jiji la mwanza
 
Nimepapita jana nawana wameweka mpk college ya lakezone...ila mi wangejenga tu ile ya nyegezi na ikaachwa ile ya buzuruga...sijaona uhitaji wa stand mbili kubwa ndan ya jiji la mwanza
Unajenga stand ya mabilioni ilhali hakuna hospitali ya wilaya!
 
Unajenga stand ya mabilioni ilhali hakuna hospitali ya wilaya!
Aah afu kumbe ipo ilemela...ila ukiangalia geographical location ni kama ipo nyamagana....yote 9,10...ni mipqngo mibovu ya serikali namna ya kufanya tamthimin katk kuanzisha Mirada ya kimkakati
 
Ume
Unajenga stand ya mabilioni ilhali hakuna hospitali ya wilaya
Umeondoka lini Mwanza!? 😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝
 
Back
Top Bottom