Step 10: Nilivyowekeza laki moja hadi kuanza kutengeneza milioni moja kila siku 3 (step by step)

Nimeingia albaba kila mzigo nnautaka wameeka minimum amount labda 50 items unakuta na Mimi nataka two PC's nafanyaje hapo mkuu..otherwise Uzi mzuri mno...umenipa mwanga
 
Nimeingia albaba kila mzigo nnautaka wameeka minimum amount labda 50 items unakuta na Mimi nataka two PC's nafanyaje hapo mkuu..otherwise Uzi mzuri mno...umenipa mwanga

Soma jibu hapo juu (aliexpress.com)
 
Naomba websites au apps inayoaminika kwa manunuzi ya south Africa, Ahsanteni.
 
Asante sana mkuu kwa kuonyesha utu na kujali wengine.
 
Samahan naitaj kuagiza via alibaba asa swal langu mzgo ukifka dar naupataje
 
Posta main branch ipo wap mana nmeandika vyote ivo saiz nataka nlipie
Mkuu hebu nipe uzoefu ni kwa seller wapi huwatumia maana, kila ninaemcontact natakakunua kwa matumizi yangu wanasema hawaship tanzania so can you advise reliable seller toka ebay?!!
 
Dah braza unaleta mawaki cjui ata ya nn, hivi kuna kitu cha bure siku hizi? Au ww humu jamiforums Umeingia free si kwatumia bando lako ambalo unawaingizia pesa owners? Sasa kwa hilo hilo bando unalotumia kuna tofaut gani ukiingia kwa blog ya mtoa post ukasoma vitu vya msingi km unavyosoma hapa forum vikaweza kukusaidia ukaongeza kipato chako ?? unasema kuwa ameanzisha thread hafu hajibu maswali ya wadau siyo kweli pitia comments za nyuma uone km hajibu? Kifupi hata km angechaji pesa kwa hii knowleji aliyoitoa Ingekuwa powa tu maana ina umuhimu mkubwa sana. Sijaona kabisa sababu ya wee kumshtumu jamaa kwa kudirect watu waweke e-mails zao wakati ni njia ya yeye mwenyewe kujitangaza na bidhaa zake lkn na sisi pia tumepata elimu ambayo hatukuwa nayo. Acha negativity jamaa uwe mwelewa, hata kama huna mipango na biashara hizi siyo lazima u-comment Unakausha tu kuliko kudis vitu vidogo ambavyo mwisho wa siku havina mantiki.
 
Mm,mwanzoni tu hapo nimeona upo uongo! Maelezo yako hayajanyooka.Inaelekea zipo shortcuts nyingi ulizotumia ambazo si halali.Hivi mnataka kutuaminisha kwamba watu wengine wote ni wajinga.Siamini.
 
Mm,mwanzoni tu hapo nimeona upo uongo! Maelezo yako hayajanyooka.Inaelekea zipo shortcuts nyingi ulizotumia ambazo si halali.Hivi mnataka kutuaminisha kwamba watu wengine wote ni wajinga.Siamini.
Kama hujaelewa, unauliza keep learning, siyo kujifanya mjuaji na ku conclude vitu, wakati unaonekana hewa kabisa. Kwa urefu wa maelezo ya jamaa hukutakiwa kupinga na visentensi vyako viwili huku ukiwa na conclusion, watu wa aina yako ni aibu ya watanzania walio wengi ni type yako. Hawana udadisi wao ni kupinga tu juu juu bila knowledge wala kutaka kudadisi na kujua mambo kwa mapana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…