Step 10: Nilivyowekeza laki moja hadi kuanza kutengeneza milioni moja kila siku 3 (step by step)

Uzi wa 2016 siti unaweka 2023?
Atakaa peke yake kwenye ukumbi asione mtu kuingia, wala mfanya usafi kukatiza. Sana sana ajiandae kuangushiwa uchafu na popo wa juu ya dari katika ukumbi huu alokaa ambao mjadala wake watu walishaufunga kabisa na kusambaa [emoji3][emoji3][emoji2]
 
𝑆𝑎𝑓𝑖 𝑠𝑎𝑛𝑎.
 
Hili bandiko nililiona muda mrefu na leo nimekutana na notification ikabidi nirudi kulisoma tena

Kuna moja ya biashara nipo naifanyia research japo natumia njia ya maji ila ni biashara moja tamu kama itakuwa na muendelezo

Bahati mbaya sijapata wateja wa moja kwa moja ni mpaka nipitie kwa dalali japo napata faida kidogo dalali anapiga pakubwa ila poa taratibu ndio mwendo

Siku nikipata mteja wa moja kwa moja boom 💥
 

Tunaomba hint kidogo
 
Ebu tushirikishe mkuuu ni biashara gan hyo
 
Uzi mzuri ila sidhani kama ni mfanyabiashara na hakuna biashara kama anavyosema kirahisi..
Mimi naona alikuwa mwandishi wa blogs na motivation
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…