Download App ya Aliexpress kwenye simu yako kisha jisajili tu. Hakuna maelezo mengi.Mkuu tililika jinsi ya kujisajiri mpaka kununua mtandaoni
Hatua za kupata M-pesa Mastercard ni:M-pesa master card inakuwaje? naomba elimu kidogo mkuu, asante
Unaweza kuagiza kitu hata kama ni kimojaUnaweza kuagiza bidhaa moja I mean simu moja, mikoba miwili au lazima viwe vingi? nilijaribu kuwafollow instagram nikashindwa, naomba msaada ndugu
anatest mitambo kwanza ili ata ikitokea loss roho isiumesasa screwdrivers za buku 3 ndio mpaka uagize online babu[emoji23][emoji23][emoji23] next time kuwa serious basi.
Mkuu kama inawezekana tuwekee mfano wa screenshot ambayo umejaza address kikamilifu ( Just ya mfano )Download App ya Aliexpress kwenye simu yako kisha jisajili tu. Hakuna maelezo mengi.
Hahahhahaaaa...Mkuu kama inawezekana tuwekee mfano wa screenshot ambayo umejaza address kikamilifu ( Just ya mfano )
Ndio maana nikakuambia ni mfano, sio lazima uweke details zako halisiHahahhahaaaa...
Mimi ni mtu nisiyejulikana. Unataka taarifa zangu..
haha hamna noma mkuu😂😂😂 unatest mitambo sio.Si ndo natest [emoji3][emoji3] kwa mara ya kwanza .....ili next time nifanye manunuzi makubwa ndo target yangu .....
Zote ni best utofauti upo kwenyehipi ni best kwa ajili ya kuagiza mzigo.aliexpress, amazon au eBay...
Sio week ni after 24hrsNende bank jaza fumo kuruhusu malipo ya online wako faster haipiti week unakuwa eligible kufanya online transactions
Leo mmwezi na nusu crdb wamezingira nimekua na maamuzi ya kibabe tu kuagiza kwa mpesa mastercardSio week ni after 24hrs
Angalia kwenye pm yako kuna ujumbe nimekutumiaEndelea kumiminika mkuu..na mimi nipate hamasa..ila natamani kujua zaidi kuhusu manunuzi kupitia mpesa mana huku chiungutwa hakuna hizo benki.