Step by step nilivyo agiza bidhaa kutoka AliExpress

Mkuu Mwl.RCT, please i need your help, nahitaji kuagiza meza za table tennis 3. How can i reach you?
Hongera kwa hatua uliyofikia.

Haya ndio matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii KUPATA ELIMU na KUITUMIA ELIMU kama ulivyo fanya.

Ukiwa na changamoto yeyote usisite kuliza na wana JF watakusaidia
 

miss fortune hivi ulipata solution ya hili tatizo lako mamii
 
Mkuu unaweza ukawa na ufahamu kidogo kuhusu watu wenye masanduku ya posta mikoa mingine tofauti na Dar, je kuna usumbufu wowote wa mzigo kufika au?
 
Update?
 
Vipi ulishapaga mzigo ?
 
Unaitrack kivipi boss sijakuelewa
 
Mkuu unaweza ukawa na ufahamu kidogo kuhusu watu wenye masanduku ya posta mikoa mingine tofauti na Dar, je kuna usumbufu wowote wa mzigo kufika au?
Kwa mikoani sina uzoefu Sana mkuu
 
Mkuu unaweza ukawa na ufahamu kidogo kuhusu watu wenye masanduku ya posta mikoa mingine tofauti na Dar, je kuna usumbufu wowote wa mzigo kufika au?
hakuna usumbfu ww andika tu slp ya makao makuu ya posta ya mkoa huo
mfanno slp ...dodoma mm huwa sijazi hata slp ngapi nawwekaga tu mkoa OVA.
 
Nimekua nikitamani kununua bidhaa kwa bei ya jumla Mimi nina duka la nguo (Chupi) nimetembelea Aliexpless,kikuu na eBay lakini wana bei sana kuliko kununulia Kkoo. Sijakata tamaa ndo Maana Nipo hapa ili kupata ufumbuzi

Ombi langu kwenu nifanyeje ili niweze kununua mzigo nje ili niweze kupata faida kidogo? #nawasilisha
 

Alibaba umejaribu kuangalia???? Maana wanauza wholesale wale, pia kuna app inaitwa made in china kaangalie na huko kama kutakuwa favourable kwako
 
Mwenyewe ulinisaidia sana kaka mkuu kama unakumbuka nilishawahi kuoda mzigo kwako lakin now nanunua mwenye kwa Aliexpress shukrani
Hongera kwa hatua uliyofikia.

Haya ndio matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii KUPATA ELIMU na KUITUMIA ELIMU kama ulivyo fanya.

Ukiwa na changamoto yeyote usisite kuliza na wana JF watakusaidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…