Step by step nilivyo agiza bidhaa kutoka AliExpress

mpesa mastercard ndo ikoje

 
Dah mie mwenywe nimepokea mzigo wangu leo. ndo mara ya kwanza kuagiza so nilikuwa najaribu
 
Mkuu Safi kabisa wewe umenifanya sasa niagize zaidi maana nilikuwa kama na test vile nione ......mimi nina sanduku la posta kawe kwahiyo mzigo utakuja hapo au makao makuu
Asante mkuu kwa shule nzur gharama za kufungua sanduku la posta zikoje
pia na uendeshaji wake Asante
 
Msaada tafadhali. Kwa anyeweza kulink M pesa master card au Airtel money mastercard na Paypal account anisaidie maana kila nikijaribu wanasema
YOUR REQUEST WAS DECLINED BY THE ISSUEING BANK.
Je, tatizo ni nini?
 
haya watu mkanunue kwa wingi maana tarehe 11/11 ndo hiyooo
 
Msaada tafadhali. Kwa anyeweza kulink M pesa master card au Airtel money mastercard na Paypal account anisaidie maana kila nikijaribu wanasema
YOUR REQUEST WAS DECLINED BY THE ISSUEING BANK.
Je, tatizo ni nini?
Nicheck nikupe maelekezo ya kutosha. Bure kabisa yatakusaidia mkuu
 
Mfano nikijisajiri kwa kutumia sanduku la posta la mkurugenzi wa Manispaa ya kinondoni maana mi sina ya kwangu, halafu post code nikatumia ya Kijitonyama hapa mzigo utapelekwa wapi?
Mkuu kwa sisi wa mikoani mfano iringa tufanyaje ili kuagiza mizigo njee na itufikie salama bila kuja dar
 
Dah mie mwenywe nimepokea mzigo wangu leo. ndo mara ya kwanza kuagiza so nilikuwa najaribu View attachment 1245575
Habari ndugu nilikuwa naomba maelezo kidogo pale kwenye shipping method kwa chini wameandika Tracking Unavailable ina maana ukilipia hiyo shipping hawakupi tracking number kama wanavyoonesha na je kuna namna ya kuipata Tracking number!
 
Habari ndugu nilikuwa naomba maelezo kidogo pale kwenye shipping method kwa chini wameandika Tracking Unavailable ina maana ukilipia hiyo shipping hawakupi tracking number kama wanavyoonesha na je kuna namna ya kuipata Tracking number!
Tracking number utapewa ila utaweza kutrack mzigo ukiwa bado haujaondoka sehemu(nchi) uliponunulia. Ukishaondoka hutaweza kupata tracking information mpaka utakapofika nchini kwako. Wakati mwingine utashangaa unapigiwa simu au unatumiwa meseji kuwa njoo posta uchukue mzigo wako.
 
Nashukuru mno kwa maelezo yako ila ninaomba nikuulize tena ikitokea sijapigiwa simu nitajuaje kama mzigo wangu umefika.

Naomba kuwasilisha
 
Mara nyingi Mimi naangalia ile estimate delivery time. Ikiwa ule mda umeisha au unakaribia kuisha labda siku mbili kabla najua kabisa mzigo upo nchini ila bado tu kutumwa posta ninayotaka nipokelee. Na katika kipindi hicho nakwenda mara kwa mara kuulizia posta kama mzigo umefika.
Pia katika kipindi hicho hicho nawasiliana na seller kuwa bado sijapokea mzigo.
Nikiona ule mda wa kupokea mzigo umefika mwisho kabisa namwambia seller aextend delivery time ili kuondoa wasiwasi wasije mlipa seller kabla sijapokea mzigo.
Mwisho wa siku napokea mzigo posta.
 
sasa kuliko utumie aliexpress, si unaorder kitu kwa agents kama bashley, exa etc wapo wengi tu na mzigo unachukua siku tatu hadi dar, electronics kama simu ni siku tisa, mi siwezi tumia aliexpress or ebay nk.. kwasababu ya muda, unaagiza kitu kinakufikia ushasahau.. yan miezi miwili niwe nasubiri kitu,, mmmh hapana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…