Step by step nilivyo agiza bidhaa kutoka AliExpress

Tatizo hao mawakala wengine bei zao zipo juu sana yaani ni bora tuendelee kuvumilia tu hizo siku kwakweli.
 
Mkuu unaweza kuniagizia display ya Samsung A50 Bei gani
 
Kumekuwa na changamoto kubwa mbili kwa watu wanaogiza vitu kwenye mitandao hii nguli ya Kichina
Bei ya mali kuwa rahis lakini usafiri kuwa bei kubwa.

Wengine njia za kufanya malipo kushindwa hasa pale supplier anapo demand Wechat payment.

Unique aircargo tumekuja kuwasaidia Watanzania wenzetu. Sisi tunasafirisha mizigo kwa njia ya ndege kutoka China Guangzhou mpaka Dar es Salaam na kama uko nje ya Dar tunakutumia mzigo wako.Tunafanya dola 10 kwa kilo.

Ukiwa na kilo nying kama 100 na kuendelea bei inashuka mpaka dola 9.

Bidhaa za vilipukizi kama simu perfume na laptop na battery tunatuma pia kwa bei nafuu mno. Unachotakiwa kufanya ni kuaagiza mzigo wako pale sehem ya location unaweka adress yetu ya China Xiaobei Lujing Road Yueyang B Plaza na mzigo wako utasafirishwa kw bei nafuu kabisa.

Kitu umekiona mtandaoni huwez kukilipia kwa sabab huna wechat payment au Visa and PayPal you found them complicated unatuma tu QR code ya supplier wako tunakusadia kulipa na kumpa delivery adress unasubr mzigo ndani ya sku 7 unaupata.

Ofisi zetu zipo kariakoo Mtaa wa Pemba na Livingstine Binslum Plaza chumba no s15
Na China tupo Xiaobei Lujing Road Yueyang Plaza

Kwa maelezo zaidI piga 0652472486.
 
Mkuu kwa sisi wa mikoani mfano iringa tufanyaje ili kuagiza mizigo njee na itufikie salama bila kuja dar
Mzigo Dsm lazima utapitia tu,maana mizigo yote inapokelewa hapo kisha wanaichambua na kuipeleka katika masanduku ya barua yanayohusika pamoja na mizigo yote ya mikoani. Kwa wewe wa Iringa maana yake mzigo wako utaletwa posta Iringa halafu posta ya mahali ulipo. Kama upo mkoani hapohapo utauchukulia posta kama upo wilayani utakuja katika posta ya wilaya yako. Hauna haja ya kwenda Dsm kufuata mzigo wako.
 
Mkuu unaweza ukawa na ufahamu kidogo kuhusu watu wenye masanduku ya posta mikoa mingine tofauti na Dar, je kuna usumbufu wowote wa mzigo kufika au?
Usumbufu, labda usema unachelewa kukufikia. Mfano kama upo wilayani,mzigo unatrack na unaona umeshafika Dsm. Sasa kutoka Dsm kuja ulipo unachelewa sana. Halafu hata kutrack kwa kutumia mtandao wa posta inakuwa taabu hata ukiingiza ile namba uliyopewa ni majanga hakuna utakachojibiwa. Hapo utapata taabu ya kwendakwenda posta kuangalia sanduku lako kama kuna ujumbe. Wakati mwingine posta wenyewe wanakupigia simu kukupa taarifa ya kifurushi chako.
 

word
 
Mkuu naomba unijulishe njia za kufanya malipo aliexpress na ebay unazozitumia.
 
Mkuu naomba msaada wa kufahamu naona ya kufanya malipo kununua bidhaa ebay. Nilijaribu kuorder bila kufanya malipo nikaambiwa nchi yangu haipo miongoni nchi zinatakiwa kutumwa mzigo.
 
Ulizwa swali lolote kuhusu M-pesa master card nitakujibu.
Ninakaribia mwaka sasa toka nianzw kutumia M-pesa master card na hususan Aliexpress.
hapa ndipo nilipokuwa najiuliza kwa nini watu wasitumie m pesa master card mpaka wasumbuke na makadi ya bank
 
Mkuu naomba msaada wa kufahamu naona ya kufanya malipo kununua bidhaa ebay. Nilijaribu kuorder bila kufanya malipo nikaambiwa nchi yangu haipo miongoni nchi zinatakiwa kutumwa mzigo.
Ebay kuna baadhi ya wauzaji huwa hawaleti kwenye baadh ya nchi kama east africa so njia nzur ni kutumia forwading agents kama myus, shipito or stacry wapo wengi sana ila hzo ni chache.
Wanakupa address ya USA then unaitumia kujaza kwenye account yako ya ebay alaf kule kwenye account ya agent wako ndio unajaza address ya Tz so mzigo unatoka kwa supplier mpaka kwa agent alaf agent ndio anaifikisha TZ
 
mkuu,hv format ya shipping addess ipoje,msaada tafadhali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…