Watanzania tuache uoga mimi nimesha agiza simu zaidi ya tano kwa kupitia alixpress tena sina sanduku la posta natumia posta makao makuu Mzigo ukifika naenda kuchukua
Nimeagiza vitu vingi sana na vimefika bila shida yoyote
Muhimu ujue ku track mizigo yako ili ikifika posta utambue mapema na kuifuatilia
Maana ukitegemea kupata msg kutoka posta mara nyingine msg hazifiki
Hizo ni baadhi ya simu nilizo agiza na zikafika bila shida yoyote
Kuna item zaidi ya 30 nimeagiza na zimefika
View attachment 1144110View attachment 1144111