Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Mtu hakuweza hata kurefusha siku zake za kuishi kwa siku moja...au hata kujitibu ili atoke kwenye hicho kiti cha matairi still anabaki kuhangaika kuwa hakuna Mungu.
Bila shaka huko aliko atakuwa na jibu zuri..yupo au hayupo??
 
  • Thanks
Reactions: K11
Mtu hakuweza hata kurefusha siku zake za kuishi kwa siku moja...au hata kujitibu ili atoke kwenye hicho kiti cha matairi still anabaki kuhangaika kuwa hakuna Mungu.
Bila shaka huko aliko atakuwa na jibu zuri..yupo au hayupo??

Tuonyeshe huyo mungu nje ya vitabu ya nadharia vya kidini unavyoamini.
 
Mtu hakuweza hata kurefusha siku zake za kuishi kwa siku moja...au hata kujitibu ili atoke kwenye hicho kiti cha matairi still anabaki kuhangaika kuwa hakuna Mungu.
Bila shaka huko aliko atakuwa na jibu zuri..yupo au hayupo??
This logical fallacy is called non sequitur.

There is no connection between one's ability to lengthen one's life and tge existence of God.

So, the conclusion that one cannot conclude that God does not exist, because one cannot lenghten ones life, is totally invalid, erroneous and even fallacious.

In fact, one may conclude that, in a world where there is an all loving, all capable and all knowing God, the painful separation of death would be impossible, since that God is not that cruel to allow such a sadistic end to his loved creation.

So, to the contrary, death shows us that such a God does not exist.

But I know you will not get that through your head.

Because God does not exist.

Had God existed, God would have granted every one of us the most perfect knowledge in such a way that this debate would be not only unnecessary, but also very much impossible.

Since every one of us would have the oerfect knowledge regarding tge existence of God.

So, your very partaking of this exchange is proof that God does not exist.

But I know you can't even understand that.

Because God does not exist.
 
Bado natafuta namna ya kuiweka logic na laws zake iwe katika mfumo wa kinachoonekana nashindwa.
Ukitaka kukifanya kisichopo kiwepo halafu ukashindwa, sitashangaa.

Kwa sababu unataka kukifanya kisichopo kiwepo.
 
Ukitaka kukifanya kisichopo kiwepo halafu ukashindwa, sitashangaa.

Kwa sababu unataka kukifanya kisichopo kiwepo.
Kipo mana ndio tunakitumia hata hapa shida hakipo ktk mfumo wa kuonekana kwa macho ila matokeo yake yanaonekana.
 
Kipo mana ndio tunakitumia hata hapa shida hakipo ktk mfumo wa kuonekana kwa macho ila matokeo yake yanaonekana.
Unaweza kujipigia hadithi. Kwamba kitu ambacho hakipo kipo, na ukaitumia ile hadithi, ukifikiri kwamba unakitumia kile kitu ambacho hakipo.

Hata pesa ya makaratasi tunayoitumia haina thamani tunayosema inayo, ila tumeweza kutengeneza hadithi kwamba noti ya shilingi 10,000 ina thamani sawa na vitu fulani, na tukakubaliana na hadithi hii ya kutungwa ambayo imezipa noti thamani.

Sijawahi kupinga uwepo wa Mungu kwa sababu haonekani kwa macho, napinga kwa sababu maelezo ya kuwapo kwake yana contradictions na logical inconsistencies zinazoonesha hayupo.

Hayo matokeo unayosema yanaonekana, unasema hivyo kwa sababu hujafikiri kwa kina tu, ukifikiri kwa kina hata hayo matokeo yatakuonesha kuwa Mungu muumba yote, mwenye ujuzi wote, upendo wote na uwezo wote hayupo, na hawezi kuwepo.

Kama unabisha, yataje hayo matokeo tuyachambue.
 
Unaweza kujipigia hadithi.kwamba kitu ambacho hakipo kipo, na ukaitumia ile hadithi, ukifikiri kwamba unakitumia kile kitu ambacho hakipo.

Hata pesa ya makaratasi tunayoitumia haina thamani tunayosema inayo, ila tumeweza kutengeneza hadithi kwamba noti ya shilingi 10,000 ina thamani sawa na vitu fulani, na tukakubaliana na hadithi hii ya kutungwa ambayo imezipa noti thamani.

Sijawahi kupinga uwepo wa Mungu kwa sababu haonekani kwa macho, napinga kwa sababu maelezo ya kuwapo kwake yana contradictions na logical inconsistencies zinazoonesha hayupo.

Hayo matokeo unayosema yanaonekana, unasema hivyo kwa sababu hujafikiri kwa kina tu, ukifikiri kwa kina hata hayo matokeo yatakuonesha kuwa Mungu muumba yote, mwenye ujuzi wote, upendo wote na uwezo wote hayupo, na hawezi kuwepo.

Kama unabisha, yataje hayo matokeo tuyachambue.
Nipo kwenye Laws of logic kaka mkubwa ushafika kwenye Mungu.

Inaonyesha wazi hutaki kuskia Mungu yupo.

Pengine naweza fahamu contradictions hizo mana kuna upande lazima utakuwa upo ktk ukweli kuhusu hili.
 
Tuonyeshe huyo mungu nje ya vitabu ya nadharia vya kidini unavyoamini.
Kama Mungu hayupo, wewe ndiye uliyeumba galaxy zote au uliweke sukari kwenye miwa na maji ndani ya dafu?.

Yuko wapi sasa huyo anayewaambia Mungu hayupo?.
Tukiwa tumeshiba magimbi na mihogo huwa tuna nguvu ya kuruka na kujilisha upepo kuwa Mungu hayupo, ila tukianza kusema usiguse hapo panauma mara niitie flani aje nimpe maelekezo ndipo kila nafsi inakumbuka ukuu wa Mungu.
 
Nipo kwenye Laws of logic kaka mkubwa ushafika kwenye Mungu.

Inaonyesha wazi hutaki kuskia Mungu yupo.

Pengine naweza fahamu contradictions hizo mana kuna upande lazima utakuwa upo ktk ukweli kuhusu hili.
Mada inahusu Stephen Hawking na uwepo wa Mungu.

Kwanza kabisa, tuweke misingi ya mazungumzo kwa kuainusha kwamba tunakubaliana kwamba tunaongelea Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote.

Pili, tukubaliane kwamba ulimwengu tunaoishi unafuata mantiki, na tukiona sehemu ina mikanganyiko ya kimantiki (logical inconsistencies) na utata wa contradictiin, basi nibjwa sababu ama jatuna uelewa mzuri, ama kuna uongo.

Kadiri contradictions zinavyozidi kuwa nyingi kuhusu jambo, na linavyoonekana kuwa halina mantiki, ndivyo linavyozidi kuonekana kuwa lina uwezekano mkubwa wa kuwa la uongo, si la kweli.

Kwa msingi huu, Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na uoendo wote, kuumba ulimwengu wenye kuweza kuwa na mabaya mengi, maovu mengi, shida nyingi, hata kwa sekunde moja tu, ni contradictions.

Mungu huyu ana sifa za uzuri na ukarimu sana na kwa uwezo wake wote na uoendo wake wote, kimantiki, haiyumkiniki aumbe ulimwwngu wenye kuweza kuwa na shida na maovu.

Ulimwengu tunaouishi una shida na maovu.

Hilo linadhihirisha Mungu huyo hayupo.

Thus is the classical "Problem of Evil".

Huyo Mungu na ulimwengu huu wenye shida ni mutually exclusive, you wither have that God without this world, or you have thus wirld without that God.

We have this world.

Therefore, that God does not exist.
 
sababu ama jatuna uelewa mzuri, ama kuna uongo
Ni kweli.
Ulimwengu tunaouishi una shida na maovu
Umetumia standard objective zipi kujudge Moral values hizi pasipo kukopa upande wa pili.

Objective Evil presupposes objective God / Good.
Evil is argument for God and not against, nitakuwa sawa nikisema hivi ? Mana kipi kinapima ubaya kama hakuna uzuri.
 
Ni kweli.

Umetumia standard objective zipi kujudge Moral values hizi pasipo kukopa upande wa pili.

Objective Evil presupposes objective God / Good.
Evil is argument for God and not against, nitakuwa sawa nikisema hivi ? Mana kipi kinapima ubaya kama hakuna uzuri.

Upande ea pili ni upi? Unajuaje kuna upande wa pili at all?

Umejuaje kwamba evil is an argument for God/ Good? Mbona tunaweza kuelewa muda ni nini, wakati muda unaenda mbele tu, haurudi nyuma? Why does evil need to be an argument for Good/God? Do you not see evil as an argumentbfor the nonnexistence of the all knowing, all capable and loving God? Why did you not answer this question and resolve the contradiction?

In a perfect world, why does evil need to be objective? In a perfect world, why does anything need to be objective?

Do you not see objectivity, Gidliness and perfection as the road to non existence?

Do you not understand that such perfection is an mere object of the imagination, that, in reality, such a perfect objectivity practically means nin existence?

Earlier, you mentioned somethong about the laws of logic.

Have you read Kurt Godel at all?

In a perfect world, why shouldn't everyone's subjective perfection be realized without any conflict that would cause even the perception of evil?
 
I agree with Stephen hawking.
Reason:- whatever we know or perceive is the product of creation.

The entire universe is a creation.
AND GOD IS NOT PART OF THE CREATION.
SO THAT GOD DOES NOT EXIST IN THIS UNIVERSE IS LOGICALLY TRUE.
IF YOU MAKE A FOOT BALL FOR ANY PURPOSE, THEN AFTER THAT YOU ARE NOT PART OF THE BALL.
 
Kila mtu Ana evil n good side it depends Ana feed more side gani.....Perceptions
Ila kwenye kuutenda uovu nafikiri Huwa ni kosa la kufahamu na kufanya jambo kwa kusudi na kuleta mateso

Bhasi kumbe Kila mtu amekamilika na ndio sababu Huwa na intents zake au uhalisia wake ila nafikiri kuna ukweli mmoja ambao watu wawili waliokamili hawataweza kukinzana.
Yeah, nataka kufahamu.
Kama sheria hizi za logic zilikuwa ni ugunduzi za mwanadamu au vinginevyo ?
Kwa maana hiyo hakuna ukweli halisi , kwa sababu ukweli halisi hufanya kazi sawa kwa kila mtu bila kujali a nachoamini.

#kuna sehemu bado sielewi.

Eeeh haya nimewaelewa.
Umeielewa kweli ama wamekuacha njiani[emoji3][emoji3]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Umeielewa kweli ama wamekuacha njiani[emoji3][emoji3]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Vina kataana Wanavyo andika mara paah kama vinakuja nikitulia naona bado kuna shida somewhere hahahaha.
Oya Father Hip Hop bado Nasaka ukweli.

Jambo zuri hata vitabu vinaruhusu kuhoji na kujaribu unachokiamin I au kutaka kukiamin.
Reverse the order.
 
Back
Top Bottom