Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Huyu jamaa kaandika pumba tu, hamna kitu alichokigundua hapo, kazungumza mambo ya kawaida kabisa.
 
Nimeuliza kuwa hai kunaonesha nini? ushajibu kuwa kifo kinaonesha hakuna Mungu,sasa mie nataka kujua na uhai unaonesha nini?
Uhai unaoishia kwenye kifo unaonesha hakuna Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Uhai wenye magonjwa unaonesha hakuna Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Uhai ambao hata ukiwa bilionea kama Mo Dewji, aliyeweka nadhiri kugawa nusu ya utajiri wake kusaidia watu, unaweza kutekwa na kuumbuliwa, unaonesha hakuna Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Uhai wenye ujinga mwingi unaonesha hakuna Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Uhai wenye uonevu unaonesha hakuna Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.
 
God is not creating humans now,He did that to Adam and Eve and then blessed them to reproduce children ,so when a baby is born,we can't say that s/he is created because to create is bring sth into existence from nothing else.....

So Mr.kiranga all I want is u to answer me my three questions I asked previously.... Because u seem to blv in science I wish u give me a scientific fact to prove what I asked....
 
That's Sounds well Kiranga.
That means, you have not objected any of my points I have raised so far.
Your questions have got answers.

You asked me to let GOD defend Himself. He has defended Himself with 100% facts.

I cannot force you to admit the facts as atheist! But you should be realistic to admit the truth. And I have been following you on others comments. When someone gives reference to those books of your godfathers (philosophers), you become realistic and appreciate some truth. That's what I think you should behave!

* On the BIG BANG theory, Qur'an explained precisely 1,400yrs back (when man was still asleep) before Einstein and Others of the steady Universe, the cause, effect and birth of our Universe. Modern Technology proves Big Bang theory to be only theory that can explain well how the Universe originated.
* On Expanding Universe, Qur'an explained well 1,400yrs back that the Universe is steadily expanding. Modern science of 19 century has proved this without doubt.
* On BIG CRUNCH, Qur'an explained 1,400yrs back that the ultimate end of the Universe will be as it was before - returning to its initial before expansion. Modern scientist of 1,900yrs have suggested that the cosmic forces handling the celestial bodies in the sky will one day cease hence universe will crunch.
We see the dying stars is a cause of either gas (Hydrogen) to cease and hence the star dies.

Then what you have done is like three people standing on one side of the hill and shout! What will be the echo?
well! We will hear noises!! Noises!, Noises!
Will your noise bear any fruits?? Absolutely Not!

"If we were in the battle field, then I have won the battle".

[It is He who created you, and among you is the disbeliever, and among you is the believer. And Allah, of what you do, is Seeing. (Qur'an 64:2)].

Of all the books we have so far, whether are Religious books, Scientific books and other of any Nature, THERE IS NO BOOK THAT HAVE PRECISELY EXPLAINED THE ORIGIN, CAUSE AND ULTIMATELY END OF OUR UNIVERSE RATHER THAN QUR'AN.
 
Endelea kupasau kichwa chako kuyajua hayo yote na kujiona smart kuliko wale wote wasiotaka kuamini katika kile unachokiona ni sahihi

Mwisho wa siku mimi na wewe tutakufa na dunia ya watu tutaiacha kama ilivyo
Kwanza sijapasua kichwa, haya hayajafikia kiwango cha kupasua kichwa, labda kwako.

Pili sijajiona smart kuliko wale wote wasiotaka kuamini katika kileninachokiona ni sahihi. Nimeelezea mara nyingi hapa kwamba sijadiliimani, najadili fact.

Imani kila mtu ana haki ya kikatiba kuamini anavyotaka bila kubughudhiwa. Ili mradi havunji sharia. Anatetewa na Universal Declaration of Human Rights.

Mimi pia natetea watu kuamini wanavyotaka, kwa uhuru.


Juzijuzi hapa, Rais Paul Kagame wa Rwanda alisema ataweka sharia kushurutisha wachungaji wote wa makanisa wawe na degree, niliipinga vikali kauli ile, kwa kusema Rais Kagame anaingilia uhuru wa watu kuamini wanavyotaka, nchi za kidemokrasia zinatakiwa ziachie watu waamini wanavyotaka, almuradi hawavunji sharia au kuingilia uhuru wa wengine.

Kwa hiyo inaonekana hujanielewa.

Sipo hapa kumbadilisha mtu imani yake, sipo hapa kujadili imani. Imani kwangu si kitu interesting sana, kwa sababu haina masharti, unaruhusiwa kuamini chochote.

Najadili facts, facts zina uthibitisho, huwezi kujitungia tu facts zako ukataka ziwe kweli.

Elewa tofauti.

Nitendee haki.

Usinihukumubila kunielewa nimesimamia wapi.
 
Biblia imewaita watu kama hawa "wapumbavu", leo hii hupo kuzimu anawaka moto na kiberiti.atakayemfuata naye atapata thawabu hiyohiyo.
 
Hujasoma hicho kitabu.

Ndiyo maana unashindwa kujadiliana nami kw akutumia hicho kitabu.

Huwezi kuthibitisha Mungu yupo.

Hutakuja kuweza.

Kwa sababu hayupo.

Kama unabisha, thibitisha Mungu yupo.
Kuna uchunguzi uliyowahi kufanywa wa kumsaka Mungu?

Maana nakuuliza swali unaliamishia kwenye kitabu na nikikuomba ueleze mambo machache tu uliyojifunza kutoka kwenye hivyo vitabu hauwezi kuelezea.
 
Nimejufunza kwamba.

Huwezi kuthibitisha Mungu yupo.

Kwa sababu hayupo.

Kama unabisha, thibitisha Mungu yupo.
Hakuna jipya hauwezi hata kuelezea mambo machache tofauti uliyojifunza kutoka hivyo vitabu,nilishasema hivyo vitabu vyenu vinaeleza mambo yaleyale vinaimarisha tu msimamo wako ila havikuongezea maarifa mapya yeyote.

Tafakari.
 
Nakuuliza uhai unaonesha nini? wewe unauzungumzia uhai wenye kifo na maradhi mara hakuna Mungu!
 
From Stephen Hawking book. He wrote;

Because the universe also began as a singularity, time itself could not have existed before the Big Bang. Hawking's answer, then, to what happened before the Big Bang is, "there was no time before the Big Bang."
"We have finally found something that doesn’t have a cause, because there was no time for a cause to exist in," Hawking wrote. "For me this means that there is no possibility of a creator, because there is no time for a creator to have existed in."


Let us think the above statement of his:
He says, since the universe was a singular thing, time itself could not have existed before the bang. If that is the case to him he then draws his conclusion that there was no time for a cause (creator) to exist in.

That's is interesting story!

Let us take an example of a FATAKI (Firecracker, fireworks, rockets, banger, maroon - name it you like) which we normally see people explode in the sky during new year or during celebration of world cup. It is a result of singular balloon or singular object. But when ejected it explodes and scatter all over the place with dim lights of different colors looking pretty good for viewers.

Now Stephen Hawking is looking the causer (creator) from inside the balloon/firecrackers.

QUESTIONS:
**Was the creator who made firecrackers present inside???
**If the time has started after firing the firecracker (fataki), is this time related to the firecracker or the one
who made firecrackers/fataki???
**Was the firecracker made itself or there is someone who made it??
**The creator of the firecracker is subjected with the time of the firecracker??
**Does the firecracker exist or they does not exist??
**Does the maker of firecracker's exists or he does not exist?
**If you deny he does not exist, does this exempt the fact that he does exist???????????

Qur'an 64:3
He created the heavens and earth in truth and formed you and perfected your forms; and to Him is the [final] destination.
 
Kiranga akianzisha dini naweza kuwa muumini. Sababu sitahitaji kujieleza sana kuhusu dini yangu, ukiniuliza maswali nakupelekea kwa mwenyewe.

Napenda anavyokomaa
 
Si kweli kwamba kitu ambacho hakipo hakina sababu ya kupingwa.

Kamakuna ugonjwa hauna chanjo wala tiba, halafu kuna mtu tapelianasema ana dawa ya ugonjwa huu, anawaibia watu hela zaokwakuwaambia unga anaowapa ni dawa, wakatiunga anaowapa niunga wa muhogotu si dawa, hautibu ugonjwa, na mimi najua huyu mganga muongo anawapa watu unga wa muhogo tu usiodawa, huyu mtu anayesema ana dawa ya ugonjwa inabidi apingwe.


Kwa sababu anasema kitu ambachohakipo kipo.

Anapingwa kwa sababu.


1. Kupinga uongo kwa ukwelini jambozuri.
2. Kumulika uongo kw aukwelikutasaidia watu wasiibiwe.
3. Kumulika uongo kwa ukweli kutawafanya watu watafute kinga, chanjo na dawa za kweli zaidi
4.Kumulika uongo kwa ukweli kunatupauelewa mpana zaidi wa dunia nzima
5.Kumulika uongokwa ukweli kunafungua njia za kujua ukweli zaidi

Pingamizi lako limejengwa katikahoja potofu.

Kama Mungu hayupo, halafu kuna suicide bombers wanajilipuakwakuaminiwanampigania Mungu huyu ambaye hayupo, na wataenda peponi, kuwaelimisha kwamba Mungu huyu hayupokunaweza kusaidia sana.

1.Kutasaidia wao wasijiue kwa sababu ya Mungu ambaye hayupo.
2. Kutasaidia watu wengine wasiuawe kwa sababu ya Mungu ambaye hayupo.
3. Kutasaidia familia yake isimkosekwasababu ya Mungu ambaye hayupo
4. Kutasaidia familia ya watakaouawa wasiwakose kwa sababu ya Mungu ambaye hayupo
5. Kutasaidia amani ya dunia ichanue zaidi kwa kuelewa kwamba Mungu huyu hayupo.

Maswali yakoni mazuri, lakini hata kama majibu yote ya wanasayansi ya sasa yana makosa, hilo halithibitishi Mungu yupo, zaidi, litathibitisha Mungu (mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote) hayupo. Kwa sababu Mungu huyo asingeumba ulimwengu ambaowatu wanaweza kuwa na maswali halafu wasiwe na majibu. Hiyo ingekuwa emotional abuse, na Mungu huyo ni mtakatifu sana kufanya emotional abuse.

Watu kuwa na maswali yaliyo na utata ni ushahidi Mungu huyo hayupo.

Maswali yako yana kasumba ya kufikiri kwa kuangaliaulimwengu uliopo, badalaya ulimwengu unaowezekana kuwepo.

1.Kuuliza ninikilikuwepokabla ya Big Bang ni sawasawa na kuuliza kaskaziniya North Pole kuna nini? Hakuna kitu kamakaskazini ya North Pole. Zaidi, si kila anayepinga Mungu anaikubali Big Bang Theory, sikila MwanasayansianaikubaliBig Bang Theory.Pia, unaweza kuambiwa Big Bang yetu ni moja tu kati ya Big Bangs ad infinitum.

2. Hili swali nimelijibu sehemu.Kuna tafiti za kisaikolojia zinaonesha watu tangu wadogo wanatakakuwa na protector, wanazaliwa wanaona BABA NA mama ni protectors wao, wana conclude, intuitively, kwamba hata ulimwengu nao una mzai, ambaye niMungu. Idea hii ni nzuri kama coping mechanism. Mtu anayeamini kwamba ulimwengu una Mungu anayefanya mambokwa haki ana chance ya kuwa na amani zaidi ya mtu anayejua kwamba ulimwengu huu hauna Mungu na wakati wowte dunia inaweza kuunguzwa na miale ya gamma itakayotoka kwenye supernovae ya nyota iliyo jirani yetu.

Dakika yoyote dunia nzima inaweza kukaushwa pasijulikane kwamba hapakulikuw ana sayari. Katikadakika chache tu.

Kunamambo mengi ambayo yako counterintuitive, tunavyoyaona kijuu juu si yalivyo hasa.

Chjukulia mfanowa duniakuwa duara. Ukiangalia unawanja wa mpira unaweza kubisha kwamba duniani duara. Macho yako yanakuonesha duniani bapa, lakini ukiangalia kwa mbalizaidi kutoka angani, utaona dunia ni duara.

Kwa hiyo, usihadaike na ukweli kwamba jamii nyingi zinaaminiMungu, hilo halimaanishi Mungu yupo, hilo linaweza kumaanisha kwamba, imani ya Mungu nikitu kizurikinachoweza kujenga jamii, kwa elimu ya asili ya jamiizetu mpaka zilipofikasasa, na jamii ambazo hazikuamini Mungu, labda zimetowekakwa kuuana.

Hatutakiwi kuwa wafungwa wa historia, tunatakiwa tuendelee mbali zaidi ya jamiizetu zilipofikia.

Moja ya maendeleo hayo nikuelewa habari za Mungu kwa fact zaidi.

3. watu naturally wana experience ya flat earth, hawajui duniani duara mpakawafundishwe na kuoneshwa, sasa je, hilo linamaanisha duniani bapa na si duara? Watu kuwa natiurally na experience Fulani hakufanyi experience hiyokuwa kweli.

watu hawaoni bacteria, ultra violet rays, heat waves, radio waves etc. Sasa unatakakusema, kwa kuwa watu hawaoni hizo rays na hao bacteria, vitu hivyo havipo? Mambo mengine ni counterintuitive, tunaona visivyopo, na vilivyopo hatuoni.

Mtu akiwa jangwani, jinsi joto linavyofanya mambokwenye mwanga, anawezakuona kama kuna chemchemi ya maji (mirage) wakati hamna maji. Anaona kitu ambacho hakipo. Kuona kwamba kuna chemchemiya maji, kama hamna chemchemi ya maji, hakufanyi chem chemi ya majiiwepo.

Usiandike sana kuhusu experiences za watu, nyingine ni ndoto namirages tu, tuchunguze kilichopokweli.

4.Atheists are not just denying, they are showing contradictions in the God idea, contradictions such as "The Problem of Evil". Contradictions which have not been resolved. Because God does not exist.

5.Sijadili imani, najadili fact. Kwangu si ustaarabu kujadiliimani. Kama unataka kuishia mambo ya imani, mimi naona aibu kujadiliana na wewe, nitakuvunjia haki yako ya kikatiba kuamini unachotaka.

Kama unataka kujadili facts, njoo tujadili.
 
Kushindwa kuthibitisha uwepo wa Mungu siyo ushahidi kuwa Mungu hayupo. .

Ni kweli. Inawezekana Mungu akawepo halafu watu wakashindwa kumthibitisha yupo tu.

Lakini pia, kushindwa kumthibitisha Mungu yupo, hakuthibitishi Mungu yupo.

Inawezekana watu hawawezi kuthibitisha Mungu yupo, kwa sababu hayupo.

Njia pekee ya kujua Mungu yupo, nikuthibitisha yupo.

Sasa wewe utajuaje kwamba watu wanashindwa kuthibitisha Mungu yupo, kwa sababu wanashindwa wao tu, ila yupo, na si kwa sababu hayupo?

Unajuaje hilo?

Miminaweza kusema kwamba, nasema Mungu hayupo si kwa sababu tu wanaosema yupo hawawezi kuthibitisha yupo,bali pia kwa sababu, dhana ya kuwepokwake ina contradiction.

Kitu ambacho dhana ya kuwepo kwake ina contradiction hakiwezi kuwepokatika uhalisia. Mungu hayupo, nidhana tu ambayo haina uhalisia.




Unajuaje kwamba watu wanashindwa kuthibitisha Mungu yupo, ila yupo, na si kwamba watu wanashindwa kuthibitisha Mungu yupo, kwa sababu hayupo?
 
Contradictions za Quran umeziruka kama hujaziona.

How should I take you seriously?
 
Biblia imewaita watu kama hawa "wapumbavu", leo hii hupo kuzimu anawaka moto na kiberiti.atakayemfuata naye atapata thawabu hiyohiyo.
Unaweza kuthibitisha kuzimu kupo na anachomwamoto wa kiberiti ?

Na kwamba hizo si stories za kujazana ujinga tu?
 

Sayansi inahitaji evidence kwa sababu inahusu ugunduzi wa vitu baada ya kuvifanyia majaribio. Kwa upande mwingine, dini haititaji majaribio kwa uwepo wa Mungu isipokuwa imani thabiti iliyojengwa juu ya msingi wa ufunuo wa Mungu kwa wanadamu kwa njia ya maandiko matakatifu, ulimwengu na viumbe vyake na maisha ya wanadamu,ukiwemo ugunduzi wa vitu kama sayansi inavyofanya. Hivyo, kudai evidence kwa dini au imani ni sawa na kutaka science itumie imani na siyo experiment. Science inayotaka dini/imani iwe na evidence siyo science, bali ni scienticism (Scientism - Wikipedia). Hata hivyo, kama kuna haja ya kufanya hivyo, basi evidence ni maandiko matakatifu, ulimwengu uonekano na watu wake - vyote hivi havikutokea kwa bahati mbaya, bali vimeumbwa na Mungu.
 
Endelea kupasau kichwa chako kuyajua hayo yote na kujiona smart kuliko wale wote wasiotaka kuamini katika kile unachokiona ni sahihi

Mwisho wa siku mimi na wewe tutakufa na dunia ya watu tutaiacha kama ilivyo
there is no real death...its another shifting mechanism to other plane of realm...

I believe in the singular matrix that is full of knowlege to deliver all people and everything within the universe..

hakuna kitu kinachoitwa muda wala wakati...

time and space are not real existing and its reality is proven by presence of black holes...

I believe in the universal energy driving force known as the Universe under its laws governing every particle existing within it ..

Time and space within the matrix( universe) is an illusion idea though matter exists as the priduct of distorted time space .

when time and space collapse is where we get illusion of time...

Hapa kunielewa mpaka unywe supu ya sisimizi[emoji3] [emoji3]


Reality you see is a mental construct of your own imaginations..[emoji4]

..Have a nice league...There is no death brooo....we shift to another parallel universe that has other nature of reality occupying its new fundamental rules and laws...

Time and space exists within an illusion sense of delusion in the universe but there is no time and space outside the universe...

God is the universal energy( ether) that drives all living being and non beings through laws that govern existance...

nothing creates nothing...
but Antimater can create matter..

matters lie within anti matter...

just wait the comming explanations on how anti matter exists ,coz we wana show you where you came from[emoji4]

Nimetumia lugha rahisi sana...sijaweka magombo ndani...
 
Unaelewa kwamba hayo unayoyaita maandiko matakatifu yamejaa contradictions na hivyo hayawezi kuwa matakatifu?
 
Kwa maelezo haya unamaanisha kurani ina sapoti Bing bang na siyo handcraft ya Mungu mwenyewe ama nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…