Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Sasa kama hakuna Mungu, inakuaje bado ni kiwete hivyo. Si ajiponye hawe kama binadamu wengine waliokamilika kimaumbile.

Mi ninachokiona jamaa ana Stress za kukosa baadhi ya vitu muhimu ambavyo waliokamilika kimaumbile wanaweza fanya.

Mi namshauri ajikubali kwa hali aliyokuwa nayo na Amshukuru Mungu kwa kila jambo.
 

Kwa maana hiyo unamaanisha waliokufa wote walikosa ulinzi wa Mungu!?

Yesu mwenyewe alikufa,je alifanya kosa gani hadi akaukosa huo ulinzi wa Mungu?

Vipi kuhusu watakatifu wengine kama Papa John Paul waliokwisha kufa?
 

Nimekuelewa mkuu, hatuna rasilimali nyingi (muda na wakati) vya kupoteza kwenye kila jambo, muda hautusubiri.
Lakini hata matokeo ya tafiti na vumbuzi nyingi tunazoziona leo huenda zilionekana ni kituko au jambo lisilowezekana hapo awali, nadhani hii inategemea zaidi na lengo au kusudi la wanaotaka kufanya utafiti.

Pia, hili jambo linaendelea kuwa tata kwa sababu hata kwenye sayansi, bado hakuna utafiti unaokubalika na wote unaoweza kuelezea universe. Vile vile tukirudi upande wa pili, uthibitisho wa Mungu na mabo ya uumbaji nje ya Biblia unaleta utata.

Ndio maana hili jambo inakua bora kuachwa kila mmoja aamue anayoona inafaa, alimradi hiyo imani yake haiathiri wengine.
 

Abishaye hufunguliwa:
: Introduction of Islam by a Jewish Professor Moshe Sharon at Ben Gurion University.
 
Introduction of Islam by a Jewish Professor Moshe Sharon at Ben Gurion University.
 
Quatum entanglement
 
Elimu ya mantiki ina udhaifu katika kuhoji na kufikia hitimisho,nikisema logic siikubali na haina uwezo wa kutufikisha kwenye ukweli wa kuhoji namaanisha haifai kuitumia.
Mkuu Kwenye hii comment yako hapo mwisho umesahau kusema "nipo...."![emoji30][emoji30][emoji30]
 
Nimekuelewa Lakini tunapoona kuna haja ya utafiti tufanye kwa makini Ili tupate mrejesho wake.
Nimefurahi Sana kwa majibu yako.
Wakati mwingine ni afadhali kujifanyia utafiti Wewe mwenyewe (Mimi).
Kwa mfano kunywa maji ni "complete pumping action",Hata Kama utakuwa kichwa chini miguu juu (upside down posture) .lakini hii pump yangu ni Aina gani? Boss, Honda au Lister Peter. Halafu iko vizuri kabisa!kuwasha kwake, mafuta yake, oil yake, halafu "without service for zero days up to and above 70 yrs.
We must research it's original software.
 
Maelezo mazuri lakini namba 13 pitia vizuri. Mathias hakuteuliwa na Yesu kama wale Wengine yeye alipigiwa kura, Yesu personally akamteua Paulo.
 
Kuna maswali mengi sana juu ya chanzo cha ulimwengu hata Hawking mwenyewe hajawa na majibu toshelevu ndiyo maana tunajaribu kujadili. Nafkiri huko mbeleni inawezekana mtu akaja kurefute madai ya Hawking kupitia ground hizohizo za kisayansi.
 
Maelezo yako yanaeleweka na argument ya kiranga pia inaeleweka. Suala ni kumtenganisha Mungu na imani. Mimi huwa nasimama ktk imani, ndiyo maana huwa nasema wazi "kwa imani yangu." Mungu ninayemwamini huwezi kumtenganisha na imani kwasababau yeye ndiye mwanzilishi wa imani ambayo kwa muktadha huu niseme ni ngumu kuelewa kama huna imani. Kiranga hana shida na imani, tatizo liko kwa watu ambao wanataka kumdhibitisha Mungu pasipo kutumia imani inayomtambulisha huyo Mungu, hapo ndo naona kuna ukwamo ninaouona.
 

Sio tu ukwamo, nje ya IMANI hauwezi kumthibitisha Mungu.
 
Makanyanga nakubaliana na hoja yako kuhusu imani. Kutumia kigezo amabcho so cha kiimani kuelezea jambo la kiimani linaleta shida. Maelezo yako yana call upon what standard to be used to evaluate God's existence, yet a question rises which God?
 
Baada ya audhubillahi minalshaitwaani rajeem
Naanza kwa jina la allah mwingi wa rehma Na mwenye kurehemu
Nimefatilia vitabu vya howking lakini NOTHING.
HAKUNA KITU KINAITWA NOTHING katika multidimensional multverse. ila
Ila kitu kinachoitwa nothing kipo katika universe..
yani
multverse (malimwengu)there is no nothing
Universe(ulimwengu) there is nothing
Howking unakumbuka ametuelimisha kuwa ulimwengu sio mmoja..
Kitu kikiwa hakionekani beyond our sense ama hakipo katika ulimwengu huu Basi kipo ulimwengu mwengine hii inamaana there is nothing called nothing.. nothing is something in another dimensional plane..reality theory...
Hii inamaana tukiwa katika physical plane we can't see lakini tukifa tukaenda plane nyengine tutaona mengi yakiwemo Yale tuliyo yaita nothing (allah)
Mtumeni Muhammad s.a.w alisema mtu akifa jicholake laongezeka kuona.
Conclusion: howking Na afe tuu illuminati wanamtumia vibaya kuwadanga akina viranga.
 
Kuna siku nliuliza je kiranga anaamini kwamba kuna uchawi.??au miujiza?? Labda tuanzie kwenye mlango huu apa..kama ukithibitisha kuna uchawi au uganga au miujiza then sasa kuna master mind mwenyewe wa hyo mambo ambaye ni sir God..kwamba hata sis wenyew existence yake hatuielewi ila yupo umeona makeke yake baba la baba..huyo hawkn sijui uwezo wake wa kufikiri ndo umefika hapo na anataka tuamini..Newton mwenyew ni genius aliyewah kuwepo lakn swala la kuwepo kwa Mungu hakuwah kupinga..mimi naomba tuu neema ya Mungu ikujie upate kujua kweli ili ikuweke huru..na wew nakutabiria utakuja kuwa muubiri mzuri sana maana Mungu anapenda watu kama nyie hua mkisha ona kwel Mungu yupo mnatendea kazi vizur kusudi lake...sifa na heshima kwa Mungu ..lihimidiwe jina lake milele yote..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…