Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Nimeshamwambia ana low IQ,na ana uwezo mdogo sana wa kufikiria,halafu huwa akianzisha topic anataka kila mtu amsifie na hataki kukosolewa ,ukimkosoa anakuona adui wakati hata uwezo wake wa kujenga hoja ni mdogo mno.
 
Thibitisha Mungu yupo.
Brother Kiranga,
Toka nimeanza kujadiliana na wewe nimekuwa natafakari sana uwezo wako wa kufiki nashindwa kubainisha. Nikijaribu kukuweka kwenye Great thinkers haumo, nikikuweka kwenye kundi la intelligent persons nakuona unapwaya sana. Labda ni mtu aliyemezeshwa ideas Fulani au umesoma ukameza billa kutumia Akili yako mwenyewe kuchambua mambo. Nakufuatilia sana katika post zako na hasa pale unaposhindwa kwenda kwenye attention to details hasa unapoulizwa maswali.
Unapoletewa maswala ya hoja zenye mantiki zilizo nje ya ufahamu wako unashi8ndwa kujikita katika hoja na kuthibitisha kihoja (kimantiki) juu ya hoja zilizojengwa juu ya hoja zako.
Unashindwa kukidhi hamu ya wasomaji ambao wangetarajia kukuona unakuwa top kuaminisha itikadi zako mbovu.
Maneno "Thibitisha kama mungu yupo! yamekuwa ni ya kawaidia bila kuingia katika hoja. au Maneno Mungu muweza yote, mwenye upendo wote nk ni common kwako bill kuingia into details. Ukitakiwa hoja, unabase kwenye vitabu vya DINI ambavyo mwenyewe huviamini. Ukiletewa hoja za vitabu hivyohivyo kuthibitisha Mungu yupo una jump to conclusion na kusema :thibitisha Mungu yupo" Really?? Does that sound intellectual? Really? You have many screw lose in your sense of common! Ian sorry to say that cause nakuheshimu kama binadamu mwenzangu.

Kuna kipindi ulitaka nikueleza ni wapi Mungu amesema kama ndiye aliyeanzisha Ulimwengu huu. Nilipokujibu kwa hoja bado hukukiri udhaifu wa dhana zako mbovu. Bado unataka ushahidi!

Nakuletea hoja tena. Naomba ujikite katika mfano wa tatu ujaribu ku-refute kuwa Mungu hayupo ili tuone kama kweli you deserve to be intelligent!
 
Well, nachelea muda wangu haunipi fursa ya kuandika sana. Ila with time unanielewa.

sio mwanafalsa Mimi Ila nielewavyo ni kuwa "Mantiki" ni utaratibu mzuri wa kufikiri kwa kutoa hoja kwa ajili ya kutafuta ukweli Fulani. Kinyume Cha mantiki ni kutoa hoja mbadala kwa hoja iliyotangulia na kutoa vielelezo vyenye uhakika vitakavyobatilisha kiakili hoja ya mtoa hoja wa mwanzo.

Mfano 1: Yesu ni Mungu. Hii ni hoja kimantiki kama wasemavyo baadhi ya Ndugu zetu katika Imani. Hujenga hoja hii kwa kuona namna alivyozaliwa na kupewa baadhi ya uwezo kama kufufua wafu, kuponya wagonjwa, nk.
Mungu hawezi kuwa Yesu: Hii ni hoja mbadala inayobatilisha hoja ya mwanzo kwa vile, Yesu mwenyewe anasema; naenda kwa baba yangu ambaye ni baba yenu, naenda kwa mungu wangu ambaye ni mungu wenu. Lakini sifa ya Mungu mwenyezi ni kuwa hana sifa ya kula, kunya, kulala, maumbile na udhaifu (kukamatwa, kupigwa, kupakatwa nk.
Conclusion: Mungu Mwenyezi hawezi kuwa Yesu! (Jesus is god but God cannot be Jesus)! Logically proved.

Mfano 2: Nabii Ibrahim anayavunjavunja masanamu waliyokuwa wakiyaabudu baba zake wakati wenyewe hawapona kubakiza sanamu moja kubwa lao. Kisha akaweka shoka kwenye sanamu hilo.
Waliporudi na kuona masanamu (miungu yao imevunjwa) wakasemezana, bila shaka atakuwa Ibrahim maana amekuwa akiyapinga. Walivyomita na kumuuliza akasema; hapana! Labda muliulize hilo sanamu kubwa.
Mantiki: Wakasema, Tutaliulizaje sanamu wakati haliongei??
Counter Mantiki: Akasema; Kwanini mnaabudu sanamu ambalo haliongei badala ya kumuabudu Mola aliye juu na aliyehai na wala hafi???

Mfano 3: Stars zinazunguka kwenye centre (Galactic centers). Asili ya kupatikana kwa huu ulimwengu (Universe ni Big Explosion - BB) iliyotokana na singular particles. Galaxies zinapanuka kwa kasi ya ajabu na zinakimbiana zenyewe kwa zenyewe kwa mega speed.
Mantiki: 1: Hatumuoni Mungu katika Universe kwa sababu time na space vilianza baada ya BB.
Mantiki :2: Kusema kuna Mungu aliye cause BB kutokea ni meangless! Bali tumevumbua sisi kwa taaluma na intect yetu kwa kutumia vifaa tulivyovitengeneza sisi wenyewe kwa akili zetu.

Counter (logic): Mantiki:
1: Time ya universe baada ya BB ilianza baada ya BB: Time ya particles za fataki itahesabiwa baada ya kufyatua fataki. Lakini TIME YA MFYATUA FATAKI imekuwepo wakati wote pamoja na mtengeneza fataki hata kabla ya kufyatua hiyo fataki na particles kusambaa angani na kuendelea kujilipualipua. Kinyme na hapo tuseme fataki imejitengeneza yenyewe.
Hivyo hivyo TIME ya aliyeanzisha (cause) BB imekuwepo pamoja na Mtengeneza particles zilizosababisha singular object ku-explode na kutupatia diversity universes tuliyonayo hii leo.
Ushahidi tunaupata katika Qur'an sura ya 21 aya ya 30 na kuhusu kupanuka kwa ulimwengu (expansion) tunapata katika sura ya 51 aya ya 47.

2. Kusema kuwa kukiri kuwa kuna Mungu aliye-cause BB ni MEANINGLESS! Mantiki inakataa. Bali kusema ni meaningless inamvua mtu moja kwa moja kuwa INTELLECTUAL. Is more than FOOLISH!

Bali kusema kuwa lazima kutokea kwa BB na mpangalio wake ikiwemo expansion kuna intellectual being behind it and to find who is He is very MEANINGFUL ! Hiyo itakuwa poa Kimantiki! Au vipi washikaji???.

OTHERWISE SISI NA HAO WANASAYANSI TUTAKUWA TUNAONGOZWA NA SELF EGO!
 
Nitakuwepo hapa nikisubiri jibu la Kiranga
 
Hiyo "kama" ndio inazuia nini kwenye swali nililokuuliza? Hivi upo sawa kweli wewe? maana hiyo michambo uliyotoa haioneshi kuwa ulikuwa katika hali ya kawaida tu.
Ngoja nikusaidie kusoma wewe guluguja ngumbaru usiye na ubongo wala uti wa mgongo.

Nimeandika hivi

"Kama ni kweli kichaa kinanitesa, huo nao ni ushahidi mwingine Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Angekuwepo, asingeumba ulimwengu ambao kichaa kinaweza kumtesa kiumbe wake mpendwa. "

Hakuna nilipoandika kwamba mimi ni kiumbe mpendwa wa Mungu.

Nitaandikaje hivyo wakati sikubali uwepo wa huyo Mungu?

Unaelewa hypothetical question wewe?

Unaelewa immanent critique?

Unajua kusoma kwa ufahamu?
 
Hujathibitisha Mungu, mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote yupo, acha longolongo.

Thibitisha Mungu yupo.
 
Nimekujibu juu, lakini huna uwezo wa kusoma.

Hapa unanipa kazi ya kumfundisha guluguja calculus na string theory.

Wewe ni kama guluguja, halafu unanipa mimi kazi ya kukufundisha hesabu za calculus na string theory.

Hata nikianza kukufundisha, unarudia maswali yale yale, hujui hata kusoma.

Sasa nitakufundisha vipi?
 
Thibitisha Mungu, mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, yupo.

Sitaki hadithi za kimepanda kimeshuka zenye longolongo nyingi.
 
Hahaha ungejibu tu ??

MY FRIEND NOBODY KNOWS THE BEGINNING AND THE END THAN THE BEGINNING AND THE END ITSELF

Even hawking new that lakini kulikuwa hakuna namna than dying defending the UNKNOWN

We mwenyewe nikikuuliza unajua ulichokifanya ukiwa na miaka miwili December SAA 8 mchana tarehe 16 na ambacho utakifanya 2021 June tarehe 3 SAA 6 na dakika 14 .......SIJUI HATA KAMA UTAWEZA JIBU.....Ila sasahivi utapayuka sana Mara ooh nachat,naoga. NONSENSE.
 
Kwani wapi nilisema nature haipo?

Unajua hata maswali ya kuuliza wewe?
That's why I said you're severely abnormal psychologically ,unanipangiaje maswali ya kuuliza? unadai Mungu hayupo,kwamba Dunia na wanadamu and all its contents vilitokana na nature, sasa nataka uthibitishe uwepo wa nature iliyoleta vyote hivi.
 
Nilipo assume ni wapi?

Nipe nukuu iliyokufanya ufikiri nina assume.

Umejua vipi nina assume?

Mtu ambaye hakubali Mungu yupo ata assume vipi Mungu kaumba ulimwengu?

Mungu ambaye hayupo ataumbaje ulimwengu?
Nisaidie kujua nini hasa chanzo cha kuwepo ulimwewngu. ?
 
Atheists and theists(mostly religionists) cannot contemplate things within the same dimensions unless they make way for a bit compromise,only then there can be hope for a healthy discussion. Since every single argument and counter-argument will eventually hit a dead end,as one will rely mostly on scientific theories to prove the non-existence of God while the other will use holy books and nature as seen by naked eyes as an anchor to all reasoning.

I once read a book titled ''Life-How did it get here by Evolution or Creation'',they did their best to use ample scientific evidences to attribute the existence of life to creation. I can confidently say that,when your are open to both ideas without any predisposed assertions(which is next to impossible) there is a possibility to at least understand how one can argue for and against the existence of God.

On a more serious note,it is hard to fathom that a single big "partially-regulated" explosion has lead to all well-designed and detailed universe forms even after factoring in time,energy and expansion. I consider myself a fairly science guy but the Big Bang Theory has very questionable premises.I just can't wrap my head around some of them.

Of all the paradoxes,life is the biggest of them all.
 
Nisaidie kujua nini hasa chanzo cha kuwepo ulimwewngu. ?
Kwa nini unafikiri mimi najua?

Naweza kutojua jibu sahihi la swali, lakini nikipewa jibu lisilo sahihi, nikajua hili si sahihi.

Nikijua kwamba square root ya 2 ni lazima iwe ndogo kuliko 2, hata kama sijui square root ya 2 ni nini, mtu akiniambia square root ya 2 ni 10, nitakataa hilo jibu.

Nitajua si la kweli.

Kwa sababu square root ya 2 ni ndogo kuliko 2, na 10 ni kubwa kuliko 2, hivyo, 10 haiwezi kuwa square root ya 2.

Moreover, 10 ni square root ya 100, 100 si 2.

Jibu la Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kuumba ulimwengu ni sawa na jibu la 10 ni square root ya 2.

Hata kama sijui square root ya 2, jibu la 10 najua si la kweli. Lina contradict number line.

Hata kama sijui ulimwengu ulianzaje, jiu la kwamba uliumbwa na huyo Mungu si la kweli.

Jibu lina contradict logical consistency.

Naweza kulijua jibu la uongo hata kama sijajua jibu la ukweli ni nini.

Na katika kutafuta ukweli, natakiwa ku eliminate majibu ya uongo yote ili kupata jibu la ukweli.

Jiu la Mungu liwe eliminated, tutafute jibu la ukweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…