My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,932
- 13,306
Nimeshamwambia ana low IQ,na ana uwezo mdogo sana wa kufikiria,halafu huwa akianzisha topic anataka kila mtu amsifie na hataki kukosolewa ,ukimkosoa anakuona adui wakati hata uwezo wake wa kujenga hoja ni mdogo mno.Sasa hiyo soace ni nini????ila angeandika mwingine ungesema hana ufahamu.
Nipe characteristics of a source??
Source imeanzia kwenye big bang ,na big bang ndo iliyotoa source je, if big bang is a Creation of source,HOW DID SOURCE APPEAR FROM NOTHING.....???
HOW DID THE STARTING POINT of big bang APPEAR ???????
Brother Kiranga,Thibitisha Mungu yupo.
Immanent critique.What "it" are you talking about?
Nitakuwepo hapa nikisubiri jibu la KirangaSasa hiyo soace ni nini????ila angeandika mwingine ungesema hana ufahamu.
Nipe characteristics of a source??
Source imeanzia kwenye big bang ,na big bang ndo iliyotoa source je, if big bang is a Creation of source,HOW DID SOURCE APPEAR FROM NOTHING.....???
HOW DID THE STARTING POINT of big bang APPEAR ???????
Ngoja nikusaidie kusoma wewe guluguja ngumbaru usiye na ubongo wala uti wa mgongo.Hiyo "kama" ndio inazuia nini kwenye swali nililokuuliza? Hivi upo sawa kweli wewe? maana hiyo michambo uliyotoa haioneshi kuwa ulikuwa katika hali ya kawaida tu.
Hujathibitisha Mungu, mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote yupo, acha longolongo.Unajiona mjanja na intellectual sana, kuanzisha mada ya kipumbavu ya kumkana Mungu huku ukimnukuu mpumbavu mwenzako Hawking, si ajabu hata huwa unajinyea kitandani na kusema mkeo au jirani yako kanya kumbe ni wewe mbumbumbu wa ma mbumbumbu .
Siku zote mjinga huwa hajijui.
Unaanzisha pathetic Topic, unaji contradict mwenyewe,eti Duniani ilitokana na nature, unadai Mungu hayupo,ila una amini ktk nature, tazama ulivyo fala,unaweza kutuonyesha nature yuko wapi,?unaamini nature isiyo onekana halafu huamini Mungu asiyeonekana,sasa which is which, una akili kweli wewe?
Unadhani sifa kumbe chizi.
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Nimekujibu juu, lakini huna uwezo wa kusoma.Sasa hiyo soace ni nini????ila angeandika mwingine ungesema hana ufahamu.
Nipe characteristics of a source??
Source imeanzia kwenye big bang ,na big bang ndo iliyotoa source je, if big bang is a Creation of source,HOW DID SOURCE APPEAR FROM NOTHING.....???
HOW DID THE STARTING POINT of big bang APPEAR ???????
Thibitisha Mungu, mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, yupo.Brother Kiranga,
Toka nimeanza kujadiliana na wewe nimekuwa natafakari sana uwezo wako wa kufiki nashindwa kubainisha. Nikijaribu kukuweka kwenye Great thinkers haumo, nikikuweka kwenye kundi la intelligent persons nakuona unapwaya sana. Labda ni mtu aliyemezeshwa ideas Fulani au umesoma ukameza billa kutumia Akili yako mwenyewe kuchambua mambo. Nakufuatilia sana katika post zako na hasa pale unaposhindwa kwenda kwenye attention to details hasa unapoulizwa maswali.
Unapoletewa maswala ya hoja zenye mantiki zilizo nje ya ufahamu wako unashi8ndwa kujikita katika hoja na kuthibitisha kihoja (kimantiki) juu ya hoja zilizojengwa juu ya hoja zako.
Unashindwa kukidhi hamu ya wasomaji ambao wangetarajia kukuona unakuwa top kuaminisha itikadi zako mbovu.
Maneno "Thibitisha kama mungu yupo! yamekuwa ni ya kawaidia bila kuingia katika hoja. au Maneno Mungu muweza yote, mwenye upendo wote nk ni common kwako bill kuingia into details. Ukitakiwa hoja, unabase kwenye vitabu vya DINI ambavyo mwenyewe huviamini. Ukiletewa hoja za vitabu hivyohivyo kuthibitisha Mungu yupo una jump to conclusion na kusema :thibitisha Mungu yupo" Really?? Does that sound intellectual? Really? You have many screw lose in your sense of common! Ian sorry to say that cause nakuheshimu kama binadamu mwenzangu.
Kuna kipindi ulitaka nikueleza ni wapi Mungu amesema kama ndiye aliyeanzisha Ulimwengu huu. Nilipokujibu kwa hoja bado hukukiri udhaifu wa dhana zako mbovu. Bado unataka ushahidi!
Nakuletea hoja tena. Naomba ujikite katika mfano wa tatu ujaribu ku-refute kuwa Mungu hayupo ili tuone kama kweli you deserve to be intelligent!
Wewe mbona umeshindwa kuthibitisha uwepo wa nature?Hujathibitisha Mungu, mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote yupo, acha longolongo.
Thibitisha Mungu yupo.
Hahaha ungejibu tu ??Nimekujibu juu, lakini huna uwezo wa kusoma.
Hapa unanipa kazi ya kumfundisha guluguja calculus na string theory.
Wewe ni kama guluguja, halafu unanipa mimi kazi ya kukufundisha hesabu za calculus na string theory.
Hata nikianza kukufundisha, unarudia maswali yale yale, hujui hata kusoma.
Sasa nitakufundisha vipi?
That's why I said you're severely abnormal psychologically ,unanipangiaje maswali ya kuuliza? unadai Mungu hayupo,kwamba Dunia na wanadamu and all its contents vilitokana na nature, sasa nataka uthibitishe uwepo wa nature iliyoleta vyote hivi.Kwani wapi nilisema nature haipo?
Unajua hata maswali ya kuuliza wewe?
Nisaidie kujua nini hasa chanzo cha kuwepo ulimwewngu. ?Nilipo assume ni wapi?
Nipe nukuu iliyokufanya ufikiri nina assume.
Umejua vipi nina assume?
Mtu ambaye hakubali Mungu yupo ata assume vipi Mungu kaumba ulimwengu?
Mungu ambaye hayupo ataumbaje ulimwengu?
Kwa nini unafikiri mimi najua?Nisaidie kujua nini hasa chanzo cha kuwepo ulimwewngu. ?
Same same level of thinking. Below imaginary level.Thibitisha Mungu, mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, yupo.
Sitaki hadithi za kimepanda kimeshuka zenye longolongo nyingi.