mark girland
JF-Expert Member
- Feb 7, 2019
- 1,026
- 756
Mkuu mtu mwenye upendo kwa wote automatically ana upendo wote. Na kuhusu mtoto kwa bahati mbaya sina bado...Unafikiri mimi ndiye hakimu!.Mahakimu wapo hapa Jf. Ila kwa kukusaidia tu,rudi kwa mwanao wa chekechea akupe tofauti uliyoshidwa kuiona wewe.
Ajabu mkuu!! Mtu anakubali mungu wake anawapenda watu wote lakini anakataa hana upendo wote. Matokeo yake anakimbilia mambo ambayo hata siyo msingi wa hoja husika..Huyo ana assume tu kwamba kila mtu ana mtoto.
Kama anavyo assume Mungu yupo.
Kwa mara ya kwanza umejibu kwa kufikiria...As far as I'm concerned, he was just guessing.
No one knows for sure where we come from or how the universe was created.
Hawajui kwamba manyota waliyompa huyo Mungu wa kutungwa ndiyo yanayomuelemea na kumuangusha.Ajabu mkuu!! Mtu anakubali mungu wake anawapenda watu wote lakini anakataa hana upendo wote. Matokeo yake anakimbilia mambo ambayo hata siyo msingi wa hoja husika..
Huna mamlaka ya kutupangia pa kuanza kuwaelimisha watu juu ya uongo wa dini, kama ambavyo hatukuwapangia nyie pa kuanzia kupotoshea watu juu ya uwepo wa Mungu muweza yote,mjuzi wa yote na mwenye upendo mkuu.MI NADHANI SWALA LA MUNGU HAYUPO MNEGENZA KUHUBIRIA FAMILIA ZENU KWANZA NA WATOTO WENU.... MANA UMMA HAUPOTOSHWIKI KWA HILO.. GOD IS ONE.
HAHAHH KWANZA UKIWAAMBIA UMMA LIVE SWALA HILO ..LAZMA WATILIE SHAKA IQ YAKO KAMA MIMI NILIVO NA SHAKA NA IQ ZENU..Huna mamlaka ya kutupangia pa kuanza kuwaelimisha watu juu ya uongo wa dini, kama ambavyo hatukuwapangia nyie pa kuanzia kupotoshea watu juu ya uwepo wa Mungu muweza yote,mjuzi wa yote na mwenye upendo mkuu.
After all huwezi kuzipangua contradictions alizowawekea mkuu Kiranga hapo juu.
Na zaidi ya yote huwezi kuthibitisha uwepo wa Mungu "hewa" wenu.
Kama unadhani unaweza tiririka ili nzengo yote ikucheke kwa namna unavyojiharishia huku unaenda!.
Siku zote mwehu huwa ana mashaka na IQ za walio wazima.HAHAHH KWANZA UKIWAAMBIA UMMA LIVE SWALA HILO ..LAZMA WATILIE SHAKA IQ YAKO KAMA MIMI NILIVO NA SHAKA NA IQ ZENU..
Wapi huko kwingine?AFTER ALL MUNGU ANAJIDHIRISHA KILA SIKU SIO KWENYE BIBLIA TU..
Ni kwa watu wasiojua kufikiri sawasawa kama ulivyo wewe.HATA MTU ASIE WAI SIKIA HABARI ZA DINI..MOYON MWAKE ANAFAHAM KUNA KMUNGU..
Sisi kuwa walevi ni ushahidi mwingine wa kutokuwepo Mungu muweza yote,mjuzi wa yote na mwenye upendo wote.SIO NYIE WALEVI MNAFAHAM FIKA YUPO ILA KIBURI TU ..HAHAHAHH
Mtu anakulazimisha uwe unafahamu kitu ambacho siyo tu umesema hukifahamu, bali pia umetoa sababu za kuonesha kwa nini hakikubaliki ambazo ameshindwa kuzijibu.Siku zote mwehu huwa ana mashaka na IQ za walio wazima.
Yaani anajiona yeye na matendo yake ndiyo sahihi kuzidi wengine sababu ya kuchunguza appearance za watu badala ya hoja zao.
Huna tofauti na watu wa dizaini hiyo,sababu umeshindwa kujadili hoja,umehamia kujadili IQ za watu,huna lolote.
Pangua hizo contradictions kwanza iwapo kweli una uelewa japo kidogo.
Wapi huko kwingine?
Unaweza kupataja?
Ni kwa watu wasiojua kufikiri sawasawa kama ulivyo wewe.
Hata hivyo hakuzifanyi fikira zenu kuwa ndiyo sahihi.
Mnahitaji elimu ya msingi ktk kujitambua.
Unajua watu wengi pia kabla ya kupata elimu ya msingi (formal or informal) huwa wanadhani dunia ni bapa.
Pamoja na hayo mawazo ya wengi, hawaifanyi dunia iwe bapa kweli.
Dunia ni duara regardless wengi wanafikiri kinyume chake.
Sisi kuwa walevi ni ushahidi mwingine wa kutokuwepo Mungu muweza yote,mjuzi wa yote na mwenye upendo wote.
Maana angekuwepo asingeumba Ulimwengu ambao walevi kama Mimi naweza kuwepo halafu na wengine kama nyie mkawa si walevi.
Huo ni upendeleo, kitu ambacho kinakwenda kinyume na sifa ya Mungu ya kuwa na upendo mkuu kwa wote.
Unaweza ukaniambia kwa nini Mungu aliumba dunia hii yenye uwezo wa kuwepo walevi wakati alikuwa na uwezo wa kuumba iliyo bora zaidi kiasi cha walevi kutowezekana kuwepo?
Siku zote mwehu huwa ana mashaka na IQ za walio wazima.
Yaani anajiona yeye na matendo yake ndiyo sahihi kuzidi wengine sababu ya kuchunguza appearance za watu badala ya hoja zao.
Huna tofauti na watu wa dizaini hiyo,sababu umeshindwa kujadili hoja,umehamia kujadili IQ za watu,huna lolote.
Pangua hizo contradictions kwanza iwapo kweli una uelewa japo kidogo.
Wapi huko kwingine?
Unaweza kupataja?
Ni kwa watu wasiojua kufikiri sawasawa kama ulivyo wewe.
Hata hivyo hakuzifanyi fikira zenu kuwa ndiyo sahihi.
Mnahitaji elimu ya msingi ktk kujitambua.
Unajua watu wengi pia kabla ya kupata elimu ya msingi (formal or informal) huwa wanadhani dunia ni bapa.
Pamoja na hayo mawazo ya wengi, hawaifanyi dunia iwe bapa kweli.
Dunia ni duara regardless wengi wanafikiri kinyume chake.
Sisi kuwa walevi ni ushahidi mwingine wa kutokuwepo Mungu muweza yote,mjuzi wa yote na mwenye upendo wote.
Maana angekuwepo asingeumba Ulimwengu ambao walevi kama Mimi naweza kuwepo halafu na wengine kama nyie mkawa si walevi.
Huo ni upendeleo, kitu ambacho kinakwenda kinyume na sifa ya Mungu ya kuwa na upendo mkuu kwa wote.
Unaweza ukaniambia kwa nini Mungu aliumba dunia hii yenye uwezo wa kuwepo walevi wakati alikuwa na uwezo wa kuumba iliyo bora zaidi kiasi cha walevi kutowezekana kuwepo?
Pole kwa hilo.Mkuu mtu mwenye upendo kwa wote automatically ana upendo wote. Na kuhusu mtoto kwa bahati mbaya sina bado...
Mkuu! Kuongeza au kupunguza katika neno la Mungu ni kosa.Ajabu mkuu!! Mtu anakubali mungu wake anawapenda watu wote lakini anakataa hana upendo wote. Matokeo yake anakimbilia mambo ambayo hata siyo msingi wa hoja husika..
Wewe ulipewa free will ya kuchagua uzaliwe wapi,mwenye jinsia gani,na wazazi gani,wenye uwezo gani kimaisha,wenye magonjwa ya kurithi au laa,wakati gani na uwe na kipaji kipi?MUNGU KAMPA MWANADAMU FREE WILL... YAAN ANAWEZA KUCHAGUA ATAKAVYO...
Kwa nini hakuumba dunia ambayo mlevi atamtii automatic na hasa kwa kuwa uwezo huo anao badala ya kusubiri huruma za mlevi?KUACHA WALEVI NI KWAMBA ANAUPENDO NAO NDIO MANA HAJAWAFANYA CHOCHOTE ILA ANATAKA WAMGEUKIE YEYE
The same question apply to you,..IVI USHAWAI KUJIULIZA KWANN WATOTP WADOGO WOTE WANAFAHAM MUNGU YUPO..YAAAN WOTE UNDER 18 WANAPJITAMBUA WANAFAHAM MUNGU YUPO DUNIAN KOTE... WEWE UNADHANI NI NADHARIA GAN HII YENYE NGUVU KIASI HIKI????
Can you prove that The God exist real, and not just the products of your imagination only!?GOD ID REAL BRO
Nimekuwekea contradictions unarukaruka kama kuku aliyechinjwa kichwa na kuachwa ajirushe.
Kwa hiyo nisubirie kwenda motoni siyo?Mkuu! Kuongeza au kupunguza katika neno la Mungu ni kosa.
Sasa narudia tena kwamba, andiko lisemalo UPENDO WOTE halipo.
Wewe wasema!.Kwa hiyo nisubirie kwenda motoni siyo?
Yani Mungu mwenye uwezo wote, uwezo wote na upendo wote.Kwa hiyo nisubirie kwenda motoni siyo?
Inaweza kuwa huyu mungu ni Sadist..Yani Mungu mwenye uwezo wote, uwezo wote na upendo wote.
Anaweza kuumba ulimwengu wowote anaoutaka.
Ikiwamo na ulimwengu ambao mtu hawezi kwenda motoni.
Lakini Mungu akaamua kuumba ulimwengu ambao mtu anaweza kwenda motoni.
Kwa nini kaamua kuumba ulimwengu ambao watu wengi sana wataenda motoni na hakuamua kuumba ulimwengu ambao hakuna mtu atakayeenda motoni?
Sijapata jibu la swali hili.
Exactly.
Ukishajua square root ya mbili ni ndogo kuliko mbili, jibu lolote lililo zaidi ya mbili utajua si la kweli, hata kama hujui square root ya mbili ni nini.
Sasa dini inatuambia square root ya 2 ni 9 (contradiction). Tukiuliza imepatikanaje? Mbona hesabu zimeharibiwa hapa? Tunaambiwa akili ya Mungu huwezi kuijua wewe.
Ukiuliza, mnajuaje huyo Mungu yupo na si hadithi tu? Hakuna anayeweza kuthibitisha Mungu yupo.
I look at the search for truth as either diverging from truth or converging to truth.
Dini ina contradictions zinazoonesha ina diverge kutoka ukweli. Sayansi, hata kama haina picha kamili ya ukweli leo, inaelekea kwenye direction ya ukweli na ina narrow down on that.
Ndiyo unakuta kwamba, Isaac Newtons equations are still true, all non relativistic speed/mass objects can use Newtonian equations and function just fine.
Lakini akaja mwamba mwingine Einstein akatuonesha kwamba, tukikaribia speed of light in a vacuum, au tukiwa kwenye regions za heavy gravity, Newtonian equations zinakuwa hazitoshi, inabidi tutumie Einsteinian Relativistic equations.
Tumekuja kupata uelewa zaidi unaochimba deep zaidi. Sina tatizo na mfumo unaojiongeza hivyo.