MUNGU KAMPA MWANADAMU FREE WILL... YAAN ANAWEZA KUCHAGUA ATAKAVYO...
Wewe ulipewa free will ya kuchagua uzaliwe wapi,mwenye jinsia gani,na wazazi gani,wenye uwezo gani kimaisha,wenye magonjwa ya kurithi au laa,wakati gani na uwe na kipaji kipi?
Watu wanaozaliwa vilema nao walipewa free will na Mungu ya kuzaliwa na ulemavu huo ama walilazimishwa wawe hivyo kabla hata ya kuzaliwa?.
Unafikiri wanaozaliwa vipofu,viwete,viziwi wenye mitindio ya ubongo na waliopungukiwa viungo vya mwili huku wengi wao wakija kuishi maisha ya tabu, wangekuwa na free will wangechagua kuzaliwa hivyo?
Kama kweli free will ipo kwa nini tunatishiana mamoto na kuzamishana kwenye magharika ya Nuhu?
Kwa nini hiyo free will iwe ktk mema na mabaya tu na si kwenye kuchagua nizaliwe wapi na bila magonjwa ya kurithi kama ualbino,sickle cell,night blindness na ma kansa ambacho ndicho kitu cha muhimu zaidi?
Unaelewa hata maana halisi ya free will wewe?
KUACHA WALEVI NI KWAMBA ANAUPENDO NAO NDIO MANA HAJAWAFANYA CHOCHOTE ILA ANATAKA WAMGEUKIE YEYE
Kwa nini hakuumba dunia ambayo mlevi atamtii automatic na hasa kwa kuwa uwezo huo anao badala ya kusubiri huruma za mlevi?
Kwani angepungukiwa nini kwa kufanya hivyo?
..IVI USHAWAI KUJIULIZA KWANN WATOTP WADOGO WOTE WANAFAHAM MUNGU YUPO..YAAAN WOTE UNDER 18 WANAPJITAMBUA WANAFAHAM MUNGU YUPO DUNIAN KOTE... WEWE UNADHANI NI NADHARIA GAN HII YENYE NGUVU KIASI HIKI????
The same question apply to you,
Kwa nini watoto wadogo wengi kabla ya kuelimishwa wanafikiri jua ni dogo kiukubwa kulinganisha na dunia na si dunia kuwa ndogo kulinganisha na jua?
Ni nadharia gani hii yenye nguvu hivi kiasi cha kuwaaminishà watoto kwamba dunia ni kubwa kuliko jua?
Kupitia fikira hizo za kitoto ndivyo ukweli ulivyo kuhusu ukubwa wa jua na dunia?
Can you prove that The God exist real, and not just the products of your imagination only!?