Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Wewe ndiye unalazimisha ubishi kwa kunipa assumptions ambazo ukiambiwa ulete ushahidi nimeassume wapi, ushahidi wa maandishi yangu mwenyewe, unagwaya.

Hii ni dunia ya ushahidi na uthibitisho.

Maneno ninaandika hapa JF ni ushahidi.

Nakuomba unipe ushahidi wapi nime assume, unashindwa.

Kwa sababu hakuna sehemu hiyo.

Unaweka hapa uongo tu, ama kwa kutunga makusudi, ama kwa kutoelewa.

Wewe ni muongo unatunga habari za uongo makusudi?

Ama ni mjinga tu hujanielewa?
Ni uongo kwamba wewe huwa unasema "Mungu mwenye upendo wote ujuzi wote na uwezo wote kuumba ulimwengu huu ni contradivtion?"
 
As far as I'm concerned, he was just guessing.

No one knows for sure where we come from or how the universe was created.
We have a Bible with us that has explained in deep about the existence of God,and moreover we have proof about his existence
 
Kilichopo kinathibitika vp? Maana unasema kisichokuwepo hakithibitiki kwa sababu hakipo.


Nikisema Tz mbogo yupo ?

Haitajiki atoke mtu amthibitishe kama yupo bali Tz mbogo atajidhihirisha na kujithibitisha mwenyewe kama yupo

Je mungu anaweza kujidhihirisha na kujithibitisha mwenyewe kama yupo pasipo na wewe kulazimisha yupo?
 
If you haven't read Hawking, and you are interested "A Brief History of Time: From The Big Bang To Black Holes" (attached) is a good start.
It's a mankind called Hawkins that has drawn your entire attention to deny God,his stupidity book says, there's no God,and all things over the universe just came up by nature, well ,he might be right according to his low IQ,why didn't you question yourself on the essence of nature?
It's nature that created the universe and its contents herein, not God.
Who created nature if God doesn't exist? or is nature God himself?
Have you ever asked yourself why is the US currency ($) has been marked a permanent symbol that reads "IN GOD WE TRUST" which God do Americans mean?
Brother, stop being a fool, God really exists ,and you can't see him because he is not in flesh but in spirit.
He is alpha and omega,(the first and the last)
 
Nikisema Tz mbogo yupo ?

Haitajiki atoke mtu amthibitishe kama yupo bali Tz mbogo atajidhihirisha na kujithibitisha mwenyewe kama yupo

Je mungu anaweza kujidhihirisha na kujithibitisha mwenyewe kama yupo pasipo na wewe kulazimisha yupo?
Duh!umetisha we noma.
 
It's a mankind called Hawkins that has drawn your entire attention to deny God,his stupidity book says, there's no God,and all things over the universe just came up by nature, well ,he might be right according to his low IQ,why didn't you question yourself on the essence of nature?
It's nature that created the universe and its contents herein, not God.
Who created nature if God doesn't exist? or is nature God himself?
Have you ever asked yourself why is the US currency ($) has been marked a permanent symbol that reads "IN GOD WE TRUST" which God do Americans mean?
Brother, stop being a fool, God really exists ,and you can't see him because he is not in flesh but in spirit.
He is alpha and omega,(the first and the last)
"It's a mankind called Hawkins".

Bwahahaha.

Andika Kiswahili tu.

Tragedy of the commons.
 
Unawabishia mpaka walio pamoja na wewe...![emoji1][emoji1]

We ni noma.![emoji16]
Kumradhi kwa kuonekana hivyo.

Lakini kuna wakati najibishia hata mimi mwenyewe.

Kuna mawazo nawaza, halafu nawazua.

Aristotle na Francis Scott Fitzgerald walisema hiyo ni alama ya werevu wa hali ya juu.

Sipendi kuangalia mtu anayesema jambo.

Ukiangalia mtu, utakubali jambo baya kutoka kwa mtu unayemuheshimu na kukataa jambo zuri kutoka kwa mtu usiyemuheshimu.

Napenda kuangalia jambo linalosemwa.

Nilikubali au nilikatae kwa uzuri wa hoja.

Si kwa sababu limesemwa na fulani.
 
Ni uongo kwamba wewe huwa unasema "Mungu mwenye upendo wote ujuzi wote na uwezo wote kuumba ulimwengu huu ni contradivtion?"
Weka nukuu moja tuichambue kwa muktadha, usijivike usemaji wangu wakati sijakupa cheo hicho.

Chagua post yangu moja, inukuu, tuichambue hapa.

Ugumu wa kufanya hivyo unatoka wapi?

Unaelewa kwamba nimesema habari ndefu kuliko kuumba, nimeongelea mpaka kuruhusu ulimwengu kuwepo?

Kuna kitu kinachoweza kuwepo bila huyo Mungu kuruhusu kiwepo?

Na kama kipo, je, Mungu huyo ni kweli ana uwezo wote?
 
Weka nukuu moja tuichambue kwa muktadha, usijivike usemaji wangu wakati sijakupa cheo hicho.

Chagua post yangu moja, inukuu, tuichambue hapa.

Ugumu wa kufanya hivyo unatoka wapi?

Unaelewa kwamba nimesema habari ndefu kuliko kuumba, nimeongelea mpaka kuruhusu ulimwengu kuwepo?

Kuna kitu kinachoweza kuwepo bila huyo Mungu kuruhusu kiwepo?

Na kama kipo, je, Mungu huyo ni kweli ana uwezo wote?
Niweke nukuu yenye kuhusu nini? Maana ndio maana nimekuuliza ni uongo?? wewe kusema "Mungu mwenye upendo ujuzi wote na uwezo wote kuumba ulimwengu huu ni contradiction".

Kama unakataa hujawwahi kusema hivyo naweka nukuu hapa.
 
Niweke nukuu yenye kuhusu nini? Maana ndio maana nimekuuliza ni uongo?? wewe kusema "Mungu mwenye upendo ujuzi wote na uwezo wote kuumba ulimwengu huu ni contradiction".

Kama unakataa hujawwahi kusema hivyo naweka nukuu hapa.
Nimesema zaidi ya hayo, mbona unataka kuninukuu kidogo nje ya muktadha?

Unaelewa kwamba hata kama huyo Mungu hajaumba huu ulimwengu, ulimwengu umeumbwa na shetani, lakini Mungu karuhusu shetani aumbe ulimwengu, bado huyo Mungu ana final responsibility?

Kuna kinachoweza kuwa bila ruhusa ya Mungu wako?

Kama hakuna, atakosaje responsibility kwa yanayotokea duniani?

Kama kipo, je Mungu huyo ni muweza yote kweli?
 
Nimesema zaidi ya hayo, mbona unataka kuninukuu kidogo nje ya muktadha?

Unaelewa kwamba hata kama huyo Mungu hajaumba huu ulimwengu, ulimwengu umeumbwa na shetani, lakini Mungu karuhusu shetani aumbe ulimwengu, bado huyo Mungu ana final responsibility?

Kuna kinachoweza kuwa bila ruhusa ya Mungu wako?

Kama hakuna, atakosaje responsibility kwa yanayotokea duniani?

Kama kipo, je Mungu huyo ni muweza yote kweli?
Kumbe umesema zaidi ya hayo sasa mbona umeniita mie muongo wakati nilichokiweka ni kweli umekisema?

Naona sasa unahamisha magoli kama kawaida,umeacha kusema Mungu kaumba ulimwengu unaoruhusu maovu na sasa umerukia kudai kuwa Mungu ana responsibility na yanayotokea duniani!

Hoja yako ya mwanzo ni kwamba Mungu kuumba huu ulimwengu ni contradiction na hivyo kati ya Mungu na ulimwengu Mungu hawezi kuwepo ila ulimwengu upo,ila sasa umebadili kabisa hoja.
 
Kumbe umesema zaidi ya hayo sasa mbona umeniita mie muongo wakati nilichokiweka ni kweli umekisema?

Naona sasa unahamisha magoli kama kawaida,umeacha kusema Mungu kaumba ulimwengu unaoruhusu maovu na sasa umerukia kudai kuwa Mungu ana responsibility na yanayotokea duniani!

Hoja yako ya mwanzo ni kwamba Mungu kuumba huu ulimwengu ni contradiction na hivyo kati ya Mungu na ulimwengu Mungu hawezi kuwepo ila ulimwengu upo,ila sasa umebadili kabisa hoja.
Huwezi kuthibitisha Mungu yupo,kwa sababu hayupo.

Kama unabisha, thibitisha Mungu yupo.
 
Huwezi kuthibitisha Mungu yupo,kwa sababu hayupo.

Kama unabisha, thibitisha Mungu yupo.
Wewe hata kuelezea tu ni vp Mungu hayupo hauwezi na ndio maana unakimbilia kusema "kama ubisha,,," mie kubisha au kutokubisha hakukufanyi wewe kuwa sahihi,wewe waeleze tu watu wakuelewe ni vp hakuna Mungu.

Maana una amisha amisha magoli tu.
 
Wewe hata kuelezea tu ni vp Mungu hayupo hauwezi na ndio maana unakimbilia kusema "kama ubisha,,," mie kubisha au kutokubisha hakukufanyi wewe kuwa sahihi,wewe eleza watu wakuelewe ni vp hakuna Mungu.
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezowote na upendo wote hayupo, kwa sababu dhana yakuwapo kwake inajipinga yenyewe kuonesha ni ya kufikirikatu na haiwezikuwepokwenye uhalisia,kabla mtu yeyote hajaanza kuipinga.
 
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezowote na upendo wote hayupo, kwa sababu dhana yakuwapo kwake inajipinga yenyewe kuonesha ni ya kufikirikatu na haiwezikuwepokwenye uhalisia,kabla mtu yeyote hajaanza kuipinga.
Dhana ya kuwepo kwake ni ipi? Ndio hiyo uwezo wote ujuzi wote na upendo wote? Au ni ipi hebu eleza dhana ya kuwepo kwake ni ipi?
 
Dhana ya kuwepo kwake ni ipi? Ndio hiyo uwezo wote ujuzi wote na upendo wote? Au ni ipi hebu eleza dhana ya kuwepo kwake ni ipi?
Wewe unayesema Mungu yupo unakubaliau unakataa Mungu ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote?
 
Wewe unayesema Mungu yupo unakubaliau unakataa Mungu ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote?
Sijaelewa dhana ya kuwepo kwake ni ipi? Nimeuliza swali nataka kujua unaposema dhana ya kuwepo kwake unakusudia nini?
 
Back
Top Bottom