Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Twende taratibu

1. Wakati unajibu hoja yangu umeijibu kwa free will au ulikuwa preprogrammed kuijibu?

Kwa ninichoices ziishie kwenye freewill na pre programmed tu?

Why is this a binary question? Where does the mutual exclusivity come from?

Sikujibu kwa freewill, sikuchagua muda wa kujibu. Sikuchagua level ya education ya anayeniuliza.

Ningekuwa na freewill kweli, ningekuwa najadiliana na watu wenye elimu nzuri wanaoweza kuuliza maswali mazuri.

Sasa wewe leo unaniuliza maswali ambayo nilishayapita mwaka 1996 wakati nasoma kitabu kinaitwa "The Philosophy of Religion: An Anthology".

Trust me, ningekuwa na freewill nisingekuwa najadiliana na wewe, ningejadiliana na Alvin Plantinga.

 
Not only hime many scientist wanaweza kusema chochote basi kwasababu wananplatform za kuongelea mitakwimu hakuna wa kuwakatalia maana ilinukatae unaTakiwa ukafanye tafiti... hata hapa wako wengi tu watuache na imani zetu

Sidhani kama ni lazima sana kufanya utafiti ili uweze kuwakatalia hao wanasayansi.

Kama unajiamini na kama unaona wanachoongea haki make sense, unawakatalia tu.

Mfano, mimi bado sijashawishika na maelezo ya theory ya evolution.
 
Sidhani kama ni lazima sana kufanya utafiti ili uweze kuwakatalia hao wanasayansi.

Kama unajiamini na kama unaona wanachoongea haki make sense, unawakatalia tu.

Mfano, mimi bado sijashawishika na maelezo ya theory ya evolution.
Kukatalia mbona unaweza kuwakatalia bila hata research kabisa.

Kuna watu wa flat earth society wanakataa kwamba dunia ni tufe, tunao hata hapa, wanasema dunia ni bapa.

Kwangu mimi, uzuri wa sayansi si kwamba ina majibu yote, au inahodhi ukweli wote, au haiwezi kushindwa.

La hasha. Sayansi haina majibu yote, haihodhi ukweli wote na inaweza kushindwa.

Uzuri wa sayansi ni kwamba, ni mfumo unaokubali kwamba, hauna majibu yote, hauhodhi ukweli wote na unaweza kushindwa.

Kukubali huku ndiko kunakoipa nguvu sayansi kujiongeza kuwa mfumo bora zaidi, kwa maana kama watu wanasema kitabu fulani ni cha Mungu na hakina makosa (dini) basi hawawezi kutafuta majibu zaidi ya yaliyomo kwenye kitabu hicho. Na kama kitabu kina makosa, watayapamba na kuyasheherekea kama ukweli mzuri sana. Matokeo yake wanadumaa.

Zamani watu waliamini kuwa kuna ether, magwiji wakawa hawana shaka kabisa kuhusu hili, wakaanza kufanya majaribio huku wakijua tu hapa tunathibitisha tulichosema, wengine wajue.

Wakaja kupata matokeo tofauti na mategemeo yao. Lakini kile kitendo cha kufanya majaribio, sehemu ya sayansi, kiliwashurutisha kuujua ukweli.

Kwa zaidi soma hapa chini kwenye Wiki.


Kwenye sayansi, leo hii ukigundua makosa ya msingi katika Darwin's evolution, au katika Einstein's Relativity, ni rahisi sana mwakani ukapata nishani ya Nobel, unazawadiwa na kusheherekewa na jumuiya ya wanasayansi kwa kuwaonesha makosa yao.

Kwenye dini ukienda Saudi Arabia, ukasema Mtume Muhammad alikosea hapa na pale, utapigwa jambia ufe haraka sana.

Hii tofauti, mfumo mmoja (sayansi) uko wazi na unakumbatia kukosolewa, mfumo mwingine (dini) uko kihafidhina na hautaki kukosolewa, ndiyo inayonifanya nione mfumo wa sayansi ni bora, hata kama kuna mambo haujapatia sawa.

Kwa maana, with time, mfumo wa sayansi umejijengea utaratibu wa self correction na convergence towards a more accurate truth.

Kwa upande mwingine, dini inadumaza maendeleo ya kutafuta ukweli.

So, tukifuata sayansi, kama kuna aspects za evolution zina makosa, with time, makosa yataanikwa tu. Watu wanatoa ma Ph.D kwa watakaoonesha makosa.

Kwenye dini, makosa yanakubalika, ukiyaanika, unaambiwa unakufuru na unatengwa na jamii nzima inayokubali dini hiyo, unaweza hata kuuawa.
 
Kukatalia mbona unaweza kuwakatalia bila hata research kabisa.

Kuna watu wa flat earth society wanakataa kwamba dunia ni tufe, tunao hata hapa, wanasema dunia ni bapa.

Kwangu mimi, uzuri wa sayansi si kwamba ina majibu yote, au inahodhi ukweli wote, au haiwezi kushindwa.

La hasha. Sayansi haina majibu yote, haihodhi ukweli wote na inaweza kushindwa.

Uzuri wa sayansi ni kwamba, ni mfumo unaokubali kwamba, hauna majibu yote, hauhodhi ukweli wote na unaweza kushindwa.

Kukubali huku ndiko kunakoipa nguvu sayansi kuwa mfumo bora, kwa maana kama watu wanasema kitabu fulani hakina makosa (dini) basi hawawezi kutafuta majibu zaidi ya yaliyomo kwenye kitabu hicho. Na kama kitabu kina makosa, watayapamba na kuyasheherekea kama ukweli mzuri sana. Matokeo yake wanadumaa.

Kwenye sayansi, leo hii ukigundua makosa ya msingi katika Darwin's evolution, au katika Einstein's Relativity, ni rahisi sana mwakani ukapata nishani ya Nobel, unazawadiwa na kusheherekewa na jumuiya ya wanasayansi kwa kuwaonesha makosa yao.

Kwenye dini ukienda Saudi Arabia, ukasema Mtume Muhammad alikosea hapa na pale, utapigwa jambia ufe haraka sana.

Hii tofauti, mfumo mmoja (sayansi) uko wazi na unakumbatia kukosolewa, mfumo mwingine (dini) uko kihafidhina na hautaki kukosolewa, ndiyo inayonifanya nione mfumo wa sayansi ni bora, hata kama kuna mambo haujapatia sawa.

Kwa maana, with time, mfumo wa sayansi umejijengea utaratibu wa self correction na convergence towards a more accurate truth.

Kwa upande mwingine, dini inadumaza maendeleo ya kutafuta ukweli.

So, tukifuata sayansi, kama kuna aspects za evolution zina makosa, with time, makosa yataanikwa tu. Watu wanatoa ma Ph.D kwa watakaoonesha makosa.

Kwenye dini, makosa yanakubalika, ukiyaanika, unaambiwa unakufuru na unatengwa na jamii nzima inayokubali dini hiyo, unaweza hata kuuawa.

Nayakubali maelezo yako.

Pia, si ni wewe ambaye umewahi kusema humu kuwa si lazima mtu ujue square root ya 2 ni nini ili kukataa kwamba siyo 9 [i’m paraphrasing]....?
 
Kukatalia mbona unaweza kuwakatalia bila hata research kabisa.

Kuna watu wa flat earth society wanakataa kwamba dunia ni tufe, tunao hata hapa, wanasema dunia ni bapa.

Kwangu mimi, uzuri wa sayansi si kwamba ina majibu yote, au inahodhi ukweli wote, au haiwezi kushindwa.

La hasha. Sayansi haina majibu yote, haihodhi ukweli wote na inaweza kushindwa.

Uzuri wa sayansi ni kwamba, ni mfumo unaokubali kwamba, hauna majibu yote, hauhodhi ukweli wote na unaweza kushindwa.

Kukubali huku ndiko kunakoipa nguvu sayansi kujiongeza kuwa mfumo bora zaidi, kwa maana kama watu wanasema kitabu fulani ni cha Mungu na hakina makosa (dini) basi hawawezi kutafuta majibu zaidi ya yaliyomo kwenye kitabu hicho. Na kama kitabu kina makosa, watayapamba na kuyasheherekea kama ukweli mzuri sana. Matokeo yake wanadumaa.

Zamani watu waliamini kuwa kuna ether, magwiji wakawa hawana shaka kabisa kuhusu hili, wakaanza kufanya majaribio huku wakijua tu hapa tunathibitisha tulichosema, wengine wajue.

Wakaja kupata matokeo tofauti na mategemeo yao. Lakini kile kitendo cha kufanya majaribio, sehemu ya sayansi, kiliwashurutisha kuujua ukweli.

Matokeo yake watu wakagundua speed of light.


Kwenye sayansi, leo hii ukigundua makosa ya msingi katika Darwin's evolution, au katika Einstein's Relativity, ni rahisi sana mwakani ukapata nishani ya Nobel, unazawadiwa na kusheherekewa na jumuiya ya wanasayansi kwa kuwaonesha makosa yao.

Kwenye dini ukienda Saudi Arabia, ukasema Mtume Muhammad alikosea hapa na pale, utapigwa jambia ufe haraka sana.

Hii tofauti, mfumo mmoja (sayansi) uko wazi na unakumbatia kukosolewa, mfumo mwingine (dini) uko kihafidhina na hautaki kukosolewa, ndiyo inayonifanya nione mfumo wa sayansi ni bora, hata kama kuna mambo haujapatia sawa.

Kwa maana, with time, mfumo wa sayansi umejijengea utaratibu wa self correction na convergence towards a more accurate truth.

Kwa upande mwingine, dini inadumaza maendeleo ya kutafuta ukweli.

So, tukifuata sayansi, kama kuna aspects za evolution zina makosa, with time, makosa yataanikwa tu. Watu wanatoa ma Ph.D kwa watakaoonesha makosa.

Kwenye dini, makosa yanakubalika, ukiyaanika, unaambiwa unakufuru na unatengwa na jamii nzima inayokubali dini hiyo, unaweza hata kuuawa.
Upo sahihi mkuu

Kudos
 
Nayakubali maelezo yako.

Pia, si ni wewe ambaye umewahi kusema humu kuwa si lazima mtu ujue square root ya 2 ni nini ili kukataa kwamba siyo 9 [i’m paraphrasing]....?
Exactly.

Ukishajua square root ya mbili ni ndogo kuliko mbili, jibu lolote lililo zaidi ya mbili utajua si la kweli, hata kama hujui square root ya mbili ni nini.

Sasa dini inatuambia square root ya 2 ni 9 (contradiction). Tukiuliza imepatikanaje? Mbona hesabu zimeharibiwa hapa? Tunaambiwa akili ya Mungu huwezi kuijua wewe.

Ukiuliza, mnajuaje huyo Mungu yupo na si hadithi tu? Hakuna anayeweza kuthibitisha Mungu yupo.

I look at the search for truth as either diverging from truth or converging to truth.

Dini ina contradictions zinazoonesha ina diverge kutoka ukweli. Sayansi, hata kama haina picha kamili ya ukweli leo, inaelekea kwenye direction ya ukweli na ina narrow down on that.

Ndiyo unakuta kwamba, Isaac Newtons equations are still true, all non relativistic speed/mass objects can use Newtonian equations and function just fine.

Lakini akaja mwamba mwingine Einstein akatuonesha kwamba, tukikaribia speed of light in a vacuum, au tukiwa kwenye regions za heavy gravity, Newtonian equations zinakuwa hazitoshi, inabidi tutumie Einsteinian Relativistic equations.

Tumekuja kupata uelewa zaidi unaochimba deep zaidi. Sina tatizo na mfumo unaojiongeza hivyo.
 
Exactly.

Ukishajua square root ya mbili ni ndogo kuliko mbili, jibu lolote lililo zaidi ya mbili utajua si la kweli, hata kama hujui square root ya mbili ni nini.

Sasa dini inatuambia square root ya 2 ni 9 (contradiction). Tukiuliza imepatikanaje? Mbona hesabu zimeharibiwa hapa? Tunaambiwa akili ya Mungu huwezi kuijua wewe.

Ukiuliza, mnajuaje huyo Mungu yupo na si hadithi tu? Hakuna anayeweza kuthibitisha Mungu yupo.

I look at the search for truth as either diverging from truth or converging to truth.

Dini ina contradictions zinazoonesha ina diverge kutoka ukweli. Sayansi, hata kama haina picha kamili ya ukweli leo, inaelekea kwenye direction ya ukweli na ina narrow down on that.

Ndiyo unakuta kwamba, Isaac Newtons equations are still true, all non relativistic speed/mass objects can use Newtonian equations and function just fine.

Lakini akaja mwamba mwingine Einstein akatuonesha kwamba, tukikaribia speed of light in a vacuum, au tukiwa kwenye regions za heavy gravity, Newtonian equations zinakuwa hazitoshi, inabidi tutumie Einsteinian Relativistic equations.

Tumekuja kupata uelewa zaidi unaochimba deep zaidi. Sina tatizo na mfumo unaojiongeza hivyo.

Tatizo la waumini wengi, hususan hawa wanaochangia humu, ni wanaonekana kama hawajui 'imani' ni nini katika muktadha wa dini.

Kwa sababu, kama wangekuwa wanajua 'imani' ni nini katika muktadha wa dini zao, sidhani kama hii mijadala ingekuwa inajirudia rudia hivi.

Binafsi naliona ni jambo jepesi sana lakini kwa wengine linaonekana kama ni jambo gumu sana.
 
Mkuu,hapa umeua kila kitu.

Hata hivyo wanywa bendera za dini najua Cognitive dissonance haitawaacha salama, kama huyu hapa chini.

Pangua hizo contradiçtions hata kama ni kwa tafsiri unayoitaka wewe na si kujichekelesha.
MI NADHANI SWALA LA MUNGU HAYUPO MNEGENZA KUHUBIRIA FAMILIA ZENU KWANZA NA WATOTO WENU.... MANA UMMA HAUPOTOSHWIKI KWA HILO.. GOD IS ONE.
 
Ni uwezo gani ambao unahitajika katika kufanya uovu? Kwa sababu wewe umesema ukifanya ambalo ni zuri kwako lakini baya kwa mwengine huo ndio uovu,sasa hapo ni uwezo gani unaohitajika kufanya uovu? Sijui kama unanielewa.
Swali langu mpaka sasa hujalitolea majibu!.Naomba nisikujibu chochote mpaka wewe unijibu.
 
Have those who disbelieved not considered that the heavens and the earth were a joined entity, and We separated them and made from water every living thing? Then will they not believe?
— Quran 21:30
Here is your Big Bang from Holly Quran 1400 yrs ago......so now u know. Atheists na Materialists tunawaangalia kwa jicho la huruma sana kwa upotevu wao juu ya uwepo wa ALLAH muumba wa mbingu na ardhi pamoja na vilivyomo..muweza wa yote, mjuzi wa yote mwenye khabari na kila jambo ulijualo na usilolijua...ama hakika sifa zake ni nyingi.
 
Huyo hata swali hajalielewa.

Hajaona contradiction

Amekubali contradiction.

Na hajaelewa kwamba, kukubali contradiction kunavunja msingi mzima wa dhana ya kuwepo Mungu.
"contradiction" Ndiyo nini?.
Ukianacho wewe kuwa ni contradiction, kwangu mimi siyo contradiction.
Unawezaje sasa kunifanyia maamuzi ya kwamba hiki kipo hivi ili hali kwangu mimi hakipo hivyo?.
 
Mkuu majibu yake yana contradictions tele vile tu hamuelewi...
Usomi wenu mi unanishangaza sana.Yaani mtu anajua kuwa mahindi ni chakula kikuu Tz, lakini mahindi hayo hayo ni chakula kikuu cha mifugo huko ulaya!

Alafu anashindwa kujua kuwa kilicho contradiction kwake, siyo contradiction kwa mtu mwingine!. Ajabu sana.
 

It is a central dogma of all fundamental Christians that the Bible is without error. They teach this conclusion by “reasoning” that god cannot be the author of false meaning and he cannot lie. Is this true? If written by a perfect being, then it must not contradict itself, as a collection of books written by different men at different times over many centuries would be expected to contradict each other.

With this in mind, let us have a look at the Bible on several subjects.

The Sabbath Day
“Remember the Sabbath day, to keep it holy.” — Exodus 20:8

“One man esteemeth one day above another: another esteemeth every day alike. Let every man be fully persuaded in his own mind.” — Romans 14:5

The Permanence of Earth
“… the earth abideth for ever.” — Ecclesiastes 1:4

“… the elements shall melt with fervent heat, the earth also and the works that are therein shall be burned up.” — 2Peter 3:10

Seeing God
“… I have seen God face to face, and my life is preserved.” — Genesis 32:30

“No man hath seen God at any time…”– John 1:18

Human Sacrifice
“… Thou shalt not let any of thy seed pass through the fire to Molech, neither shalt thou profane the name of thy God…” — Leviticus 18:21

[In Judges, though, the tale of Jephthah, who led the Israelites against the Ammonoites, is being told. Being fearful of defeat, this good religious man sought to guarantee victory by getting god firmly on his side. So he prayed to god] “… If thou shalt without fail deliver the children of Ammon into mine hands, Then it shall be, that whatsoever cometh forth of the doors of my house to meet me, when I return in peace from the children of Ammon, shall surely be the LORD’s, and I will offer it up for a burnt offering” — Judges 11:30-31

[The terms were acceptable to god — remember, he is supposed to be omniscient and know the future — so he gave victory to Jephthah, and the first whatsoever that greeted him upon his glorious return was his daughter, as god surely knew would happen, if god is god. True to his vow, the general made a human sacrifice of his only child to god!] — Judges 11:29-34

The Power of God
“… with God all things are possible.” — Matthew 19:26

“…The LORD was with Judah; and he drave out the inhabitants of the mountain; but could not drive out the inhabitants of the valley, because they had chariots of iron.” — Judges 1:19

Personal Injury
“…thou shalt give life for life, Eye for eye, tooth for tooth, hand for hand, foot for foot. burning for burning, wound for wound, stripe for stripe. ” — Exodus 21:23-25

“…ye resist not evil: but whosoever shall smite thee on the right cheek, turn to him the other also.” — Matthew 5:39

Circumcision
“This is my covenant, which ye shall keep, between me and you and thy seed after thee; Every man child among you shall be circumcised.” — Genesis 17:10

“…if ye be circumcised, Christ shall profit you nothing.” — Galatians 5:2

Incest
“Cursed be he that lieth with his sister, the daughter of his father, or the daughter of this mother…” — Deuteronomy 27:22

“And if a man shall take his sister, his father’s daughter, or his mother’s daughter…it is a wicked thing….” — Leviticus 20:17

[But what was god’s reaction to Abraham, who married his sister — his father’s daughter?] See Genesis 20:11-12

“And God said unto Abraham, As for Sara thy wife…I bless her, and give thee a son also of her…” — Genesis 17:15-16

Trusting God
“A good man obtaineth favour of the LORD…” — Proverbs 12:2

Now consider the case of Job. After commissioning Satan to ruin Job financially and to slaughter his shepherds and children to win a petty bet with Satan. God asked Satan: “Hast thou considered my servant Job, that there is none like him in the earth, a perfect and an upright man, one that feareth God, and escheweth evil? and still he holdeth fast his integrity, although thou movedst me against him, to destroy him without cause.” — Job 2:3

The Holy Lifestyle
“Go thy way, eat thy bread with joy, and drink thy wine with a merry heart…” — Ecclesiastes 9:7

“…they that rejoice, as though they rejoiced not…” — 1 Corinthians 7:30

Punishing Crime
“The son shall not bear the iniquity of the father…” — Ezekiel 18:20

“I the LORD thy God am a jealous God, visiting the iniquity of the fathers upon the children unto the third and fourth generation…” — Exodus 20:5

Temptation
“Let no man say when he is tempted, I am tempted of God: for God cannot be tempted with evil, neither tempteth he any man.” — James 1:13

“And it came to pass after these things, that God did tempt Abraham…” — Genesis 22:1

Family Relationships
“Honor thy father and thy mother…”– Exodus 20:12

“If any man come to me, and hate not his father, and mother, and wife, and children, and brethren, and sisters, yea, and his own life also, he cannot be my disciple. ” — Luke 14:26

Resurrection of the Dead
“…he that goeth down to the grave shall come up no more. ” — Job 7:9

“…the hour is coming, in which all that are in the graves shall hear his voice, and shall come forth….” — John 5:28-29

The End of the World
“Verily I say unto you, There be some standing here, which shall not taste of death, till they see the Son of man coming in his kingdom. ” — Matthew 16:28

“Verily I say unto you, This generation shall not pass away, till all be fulfilled. Heaven and earth shall pass away: but my words shall not pass away. ” — Luke 21:32-33

“And that, knowing the time, that now it is high time to awake out of sleep: for now is our salvation nearer than when we believed. The night is far spent, the day is at hand: let us therefore cast off the works of darkness, and let us put on the armour of light.” — Romans 13:11-12

“Be ye also patient; establish your hearts: for the coming of the Lord draweth nigh.” — James 5:8

“Little children, it is the last time: and as ye have heard that antichrist shall come, even now are there many antichrists; whereby we know that it is the last time.” — 1 John 2:18

“But the end of all things is at hand: be ye therefore sober, and watch unto prayer.” — 1 Peter 4:7

These words were written between 1800 and 1900 years ago and were meant to warn and prepare the first Christians for the immediate end of the world. Some words are those supposedly straight out of the mouth of the “Son of God.” The world did not end 1800 or 1900 years ago. All that generation passed away without any of the things foretold coming to pass. No amount of prayer brought it about; nor ever so much patience and belief and sober living. The world went on, as usual, indifferent to the spoutings of yet another batch of doomsday prophets with visions of messiahs dancing in their deluded brains. The world, by surviving, makes the above passages contradictions.

Conclusion
What is incredible about the Bible is not its divine authorship; it’s that such a concoction of contradictory nonsense could be believed by anyone to have been written by an omniscient god. To do so, one would first have to not read the book, which is the practice of most Christians; or, if one does read it, dump in the trash can one’s rational intelligence — to become a fool for god, in other words.

To be an atheist, one need only be able to laugh when such obvious nonsense is offered as being “divine” truth.

All Bible quotes from the Authorized King James Version of the Bible (New York: Abradale Press, 1965)

This is an adaptation of an article originally written by former Interim President and current member of the Board of Directors Frank Zindler.
Nianze kwa kusema nitafafanua hoja zako unazobainisha kama uongo na contradiction ya biblia.
Hapa nataka ufahamu jambo moja, ambalo kimsingi wengi hatulielewi vizuri kuhusu Mungu.
Ni vigumu kuzungumza dini bila kuhusisha, ama Mungu au miungu. Dini inafungamana moja kwa moja na Mungu au miungu. Ieleweke wazi kuwa miungu ni uongo, udanganyifu na upofu.
Kwa sababu hii ya dini, yaani Mungu, tumekuwa na biblia. Kwa kifupi, biblia ni tauhidi ya dini.
Kwahivyo, siyo sahihi kuelewa kwamba, biblia ndiyo dini. Siyo sahihi kabisa. Inayofanya dini ni liturujia ya sadaka. Liturujia ndiyo dini, ambapo liturujia ya sadaka(tambiko) ndiyo hufanya dini. Kama hakuna ibada ya sadaka hakuna dini.
Kwahiyo, biblia ni mafundisho ,ambayo hatahivyo, uhai wake umo katika liturujia ya kufanya ibada ya sadaka.
Tukijenga msingi wa dini katika biblia hatuwezi kuwa sahihi kwa kuwa kinachofanya dini siyo biblia bali taratibu za liturujia ya sadaka.
Tufahamu wazi kuwa, dini imekiwepo tangu mwanadamu alipoanza kuwepo. Dini ndiyo ilianza kisha mtu. Biblia ambayo tunayo hii leo imeandikwa miaka ya hivi karibuni. Lakini kwa maelfu ya miaka mtu amekuwa akifanya ibada ya sadaka-amekuwa na dini.
Kwahiyo, biblia haiwezi kwa kiasi chote kuwa ndiyo ukweli wote wa Mungu. Lakini ukweli wote wa Mungu unadhihirika katika taratibu za liturujia ya sadaka. Na hivyo hutuwezi kujenga dini katika msingi wa biblia.
 
Nianze kwa kusema nitafafanua hoja zako unazobainisha kama uongo na contradiction ya biblia.
Hapa nataka ufahamu jambo moja, ambalo kimsingi wengi hatulielewi vizuri kuhusu Mungu.
Ni vigumu kuzungumza dini bila kuhusisha, ama Mungu au miungu. Dini inafungamana moja kwa moja na Mungu au miungu. Ieleweke wazi kuwa miungu ni uongo, udanganyifu na upofu.
Kwa sababu hii ya dini, yaani Mungu, tumekuwa na biblia. Kwa kifupi, biblia ni tauhidi ya dini.
Kwahivyo, siyo sahihi kuelewa kwamba, biblia ndiyo dini. Siyo sahihi kabisa. Inayofanya dini ni liturujia ya sadaka. Liturujia ndiyo dini, ambapo liturujia ya sadaka(tambiko) ndiyo hufanya dini. Kama hakuna ibada ya sadaka hakuna dini.
Kwahiyo, biblia ni mafundisho ,ambayo hatahivyo, uhai wake umo katika liturujia ya kufanya ibada ya sadaka.
Tukijenga msingi wa dini katika biblia hatuwezi kuwa sahihi kwa kuwa kinachofanya dini siyo biblia bali taratibu za liturujia ya sadaka.
Tufahamu wazi kuwa, dini imekiwepo tangu mwanadamu alipoanza kuwepo. Dini ndiyo ilianza kisha mtu. Biblia ambayo tunayo hii leo imeandikwa miaka ya hivi karibuni. Lakini kwa maelfu ya miaka mtu amekuwa akifanya ibada ya sadaka-amekuwa na dini.
Kwahiyo, biblia haiwezi kwa kiasi chote kuwa ndiyo ukweli wote wa Mungu. Lakini ukweli wote wa Mungu unadhihirika katika taratibu za liturujia ya sadaka. Na hivyo hutuwezi kujenga dini katika msingi wa biblia.
Usitake kunitoa katika reli ya mjadala.

Nimekuuliza kama biblia ina contradictions, ukabisha.

Nimekuwekea contradictions unarukaruka kama kuku aliyechinjwa kichwa na kuachwa ajirushe.

Unakubali biblia ina contradictions?
 
Usitake kunitoa katika reli ya mjadala.

Nimekuuliza kama biblia ina contradictions, ukabisha.

Nimekuwekea contradictions unarukaruka kama kuku aliyechinjwa kichwa na kuachwa ajirushe.

Unakubali biblia ina contradictions?
Umebainisha ambazo kwako unaita contradiction ya biblia. Na mimi nimesema hapo kwenye post kwamba nitakujibu. Hivyo, sijakutoa kwenye reli. Nitajibu hizo unazodai contradiction ya biblia.
Lakini hapo nime-post msingi wa ambao unatufahamisha kuelewa ukweli wa dini.
 
Umebainisha ambazo kwako unaita contradiction ya biblia. Na mimi nimesema hapo kwenye post kwamba nitakujibu. Hivyo, sijakutoa kwenye reli. Nitajibu hizo unazodai contradiction ya biblia.
Lakini hapo nime-post msingi wa ambao unatufahamisha kuelewa ukweli wa dini.
Hujaweka msingi wowote zaidi ya kuweka madubwasha na mazingaombwe ya abracadabra.

Ungejibu contradictions zote, moja baada ya nyingine, kwa ufasaha na ufanisi, ungeweza kusema umweka msingi.

Sasa biblia mara unaitetea haina contradiction, mara unaikana kwa kusema si dini, inaonekana hata wewe mwenyewe hujui umesimamia wapi.

Sasa huo ndio msingi gani?
 
Back
Top Bottom