Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Hahahhhahhs. Hapa ndio huwa tunaibuka kidedea kua Mungu ni mmoja...

Hoja hapa si Mungu mmoja,wawili,watatu ama wangapi!

Hoja ni kuthibitisha Mungu yupo,umeelewa?

namuuliza unataka ushahid gan ili uamini... ET WEKA WOWOTE HII INAONYESHA UKUU WA MUNGU YAAN AKILI ZAKO HAZIWEZI KUCHUNGUZA UWEZO WA MUUMBAJI..HII NDIO MAANA HALIS YA MUUMBA....SIKU NJEMA
Hujathibitisha uwepo wa Mungu wako,sababu hayupo.
Kama unadhani yupo thibitisha uwepo wake.
 
Hoja hapa si Mungu mmoja,wawili,watatu ama wangapi!

Hoja ni kuthibitisha Mungu yupo,umeelewa?


Hujathibitisha uwepo wa Mungu wako,sababu hayupo.
Kama unadhani yupo thibitisha uwepo wake.
Hawa guluguja hata hoja wanaielewa?

Au wame stuck kwenye logical non sequitur, deus ex machina na cognitive dissonance tu?

Wanaelewa kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote angekuwepo, kubishana kuhusu uwepo wake kusingewezekana?

Let me repeat that for effect.

Wanaelewa kwamba, Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote, na upendo wote, angekuwepo, kitendo cha watu kubishana kuhusu uwepo wake kisingewezekana?
 
Hoja hapa si Mungu mmoja,wawili,watatu ama wangapi!

Hoja ni kuthibitisha Mungu yupo,umeelewa?


Hujathibitisha uwepo wa Mungu wako,sababu hayupo.
Kama unadhani yupo thibitisha uwepo wake.
Ebu nikurahisishie kazi..sema unataka ushahidi wa aina...wa picha ,video ,document au live na macho au aina gan??..sema nikujibu
 
Hawa guluguja hata hoja wanaielewa?

Au wame stuck kwenye logical non sequitur, deus ex machina na cognitive dissonance tu?

Wanaelewa kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote angekuwepo, kubishana kuhusu uwepo wake kusingewezekana?

Let me repeat that for effect.

Wanaelewa kwamba, Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote, na upendo wote, angekuwepo, kitendo cha watu kubishana kuhusu uwepo wake kisingewezekana?
Kweli mkuu Kiranga.

Tunasumbuliwa na majitu yaliyoathirika na hayo mambo matatu.

Hata hivyo jitihada zetu za kuwaeleza ukweli watu humu zinazaa matunda kilà uchao.

Tusikate tamaa, twendelee kuwaonesha ukweli.
 
Faida zozote haziwezi kuzidi ukweli kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote asingeumba mapungufu hayo.

Tofauti yako wewe na mimi ni hii.

Wewe unafikiria ulimwengu uliopo.

Mimi nafikiria ulimwengu ambao ungewezekana kuwepo.
Everything created by God is parfect. Kasoro unazoziona ni bainadamu kasababisha. Kufa, magonjwa, vimbunga n.k. na Mungu katoa muongozo namna ya kuepukana navyo. Vile tuu mind zetu zmefichwa ufahamu na adui ilikuelewa baadhi ya mambo.
 
Everything created by God is parfect. Kasoro unazoziona ni bainadamu kasababisha. Kufa, magonjwa, vimbunga n.k. na Mungu katoa muongozo namna ya kuepukana navyo. Vile tuu mind zetu zmefichwa ufahamu na adui ilikuelewa baadhi ya mambo.
Tatizo unaongelea "parfect" wakati mimi naongelea perfect.

Hujajibu swali nililouliza.

Na swali ulilojibu sijauliza.

Sijasema Mungu hajatoa muongozo. Nimeuliza, kwa nini kaumba huo ulimwengu wenye masahibu yote hayo in the first place.

Baba mnayesema ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, akijenga nyumba yenye mabomu ya nyuklia yaliyotegeshwa nyumba nzima, halafu akaacha kitabu cha kuyategua, tutamuhoji.

Kwa nini kajenga nyumba yenye mabomu ya nyuklia yanayoweza kuua wanawe?

Kwa nini hakujenga nyumba ambayo haina mabomu ya nyuklia kabisa na hivyo hata haja ya kitabu cha kuyategua isiwepo?

Hujajibu swali hili.

Unasema baba kaacha kitabu cha kutegua mabomu ya nyuklia.

Lakini baba gani mwenye akili anajenga nyumba na kuwategea wanawe mabomu ya nyuklia kama ana uwezo wote, upendo wote na ujuzi wote wa kujenga nyumba ambayo haina mabomu ya nyuklia?

Hujajibu swali hili.

Umechagua kujibu swali ambalo sijakuuliza.
 
Tatizo unaongelea "parfect" wakati mimi naongelea perfect.

Hujajibu swali nililouliza.

Na swali ulilojibu sijauliza.

Sijasema Mungu hajatoa muongozo. Nimeuliza, kwa nini kaumba huo ulimwengu wenye masahibu yote hayo in the first place.

Baba mnayesema ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, akijenga nyumba yenye mabomu ya nyuklia yaliyotegeshwa nyumba nzima, halafu akaacha kitabu cha kuyategua, tutamuhoji.

Kwa nini kajenga nyumba yenye mabomu ya nyuklia yanayoweza kuua wanawe?

Kwa nini hakujenga nyumba ambayo haina mabomu ya nyuklia kabisa na hivyo hata haja ya kitabu cha kuyategua isiwepo?

Hujajibu swali hili.

Unasema baba kaacha kitabu cha kutegua mabomu ya nyuklia.

Lakini baba gani mwenye akili anajenga nyumba na kuwategea wanawe mabomu ya nyuklia kama ana uwezo wote, upendo wote na ujuzi wote wa kujenga nyumba ambayo haina mabomu ya nyuklia?

Hujajibu swali hili.

Umechagua kujibu swali ambalo sijakuuliza.
Bible ktk isaya 40:28 inasema ' akili za Mungu hazichunguziki'

So Kwa akili za kawaida huwezi kaa kuhoji mambo ya Mungu. Kaumba ufahamu wetu na kaweka limit ya kujua na kufahamu.

So the way u think is your limit. Huwez muelewa Mungu zaidi ya limit tumepewa.

Na naomba niulize, nmekuelewa wasiwasi wako kuhusu uwepo wa Mungu. Vipi kuhusu uwepo wa shetani, mapepo, majini na nguvu zingine kama za giza. Zipo na zinatoka wapi...
 
Smart
I went through alot of comments on this thread and i noticed few things:

1. White people are the Evil one, they did alot of brainwashing when they came to colonize us.

2. Alot of people think dying is a punish while its not and dying is a must, this must be confused with the grief that somebody leaves after he/she is gone...NOW The one punished is the One who is still alive once your dead you dont feel a damn thing..

3. We were all born with Goos sense of humor, NATIVELY knowing BAD and GOOD, example No one has ever told you its bad to foulmouth you moma, you natively know that if you do that its NOT OKAY, unless otherwise your on serious NARCOTIC..

4 AND LAST, If you want to be good at stuffs, you must read alot, it is very akward that people come here and deliver stuffs they were told by their uncles and aunties, Like someone said UTAKUFA VIBAYA kisa jamaa kasema hana uhakika kama MUNGU YUPO? nigger how do you know ? If God is there and he is all that people SAY, then God doesnt do revenge...We all know that God knows everything, so HE problably knew some day you are going to put Mockery on HIM so He got prepared and He probably has forgiven you, because if he wanted he would have stopped you from doing every evil that you have been doing....

NB: Get a chill pill playa, Do something constructive, Becuse thats what God want us to do and so on....#micdrops
 
Bible ktk isaya 40:28 inasema ' akili za Mungu hazichunguziki'

So Kwa akili za kawaida huwezi kaa kuhoji mambo ya Mungu. Kaumba ufahamu wetu na kaweka limit ya kujua na kufahamu.

So the way u think is your limit. Huwez muelewa Mungu zaidi ya limit tumepewa.

Na naomba niulize, nmekuelewa wasiwasi wako kuhusu uwepo wa Mungu. Vipi kuhusu uwepo wa shetani, mapepo, majini na nguvu zingine kama za giza. Zipo na zinatoka wapi...
Nikikwambia mimi ni Mungu, na akili zangu hazichunguziki, utakubali?

Unaweza kuthibitisha shetani, mapepo, majini na nguvu nyingine za giza zipo?

Thibitisha.
 
Kiranga hoja zako nzito. Lkn kiukweli wengi tunaamini Mungu yupo ni kwa sababu ya complexes zilizopo ulimwenguni.

Mambo ya universe, mambo maisha ya mtu, complexity ya systems za viumbe hai havitoshi kusema eti ni nature km anavosema huyo prof.

Km nature ni smart kiasi hichi, basi si ingeendelea ku create vtu vingne in nature.

Tunaamini kuna nguvu nyingne nyuma ya haya, na ndo tuna conclude kuna Mungu. Maajabu, miujiza iliyopo inasapoti God's exstence.

Kasoro unazozisema, za magonjwa, vimbunga havitoshi kusema no God.

Nikikwambia mimi ni Mungu, na akili zangu hazichunguziki, utakubali?

Unaweza kuthibitisha shetani, mapepo, majini na nguvu nyingine za giza zipo?

Thibitisha.
 
Kiranga hoja zako nzito. Lkn kiukweli wengi tunaamini Mungu yupo ni kwa sababu ya complexes zilizopo ulimwenguni.

Mambo ya universe, mambo maisha ya mtu, complexity ya systems za viumbe hai havitoshi kusema eti ni nature km anavosema huyo prof.

Km nature ni smart kiasi hichi, basi si ingeendelea ku create vtu vingne in nature.

Tunaamini kuna nguvu nyingne nyuma ya haya, na ndo tuna conclude kuna Mungu. Maajabu, miujiza iliyopo inasapoti God's exstence.

Kasoro unazozisema, za magonjwa, vimbunga havitoshi kusema no God.
Unaelewa kwamba ukisema complexity haiwezi kuwepo bila kuumbwa kwa makusudi, kimsingi unasema Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote, mwenye upendo wote, muumbaji wa kwanza, hayupo?

Unaelewa kwamba hoja yako inaonesha Mungu hayupo, kuliko inavyoonesha Mungu yupo?

Unaelewa hilo?
 
Unaelewa kwamba ukisema complexity haiwezi kuwepo bila kuumbwa kwa makusudi, kimsingi unasema Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote, mwenye upendo wote, muumbaji wa kwanza, hayupo?

Unaelewa kwamba hoja yako inaonesha Mungu hayupo, kuliko inavyoonesha Mungu yupo?

Unaelewa hilo?
Retrogression ad infinitum.
Who created the creator question often sheds light on their ridiculous gullibility like nothing else does . They tout complexity token as the ultimate linchpin of their case without even knowing that it also, like every other explanation imaginable, gnaws at already so flimsy a foundation of their argument...

It will take time before we can make them see the truth that the pie in the sky is a lie ....
patience is all we need...
 
Hivi you people where are getting this english? Am trying hard to be fluent in this language but the you are letting me down
Retrogression ad infinitum.
Who created the creator question often sheds light on their ridiculous gullibility like nothing else does . They tout complexity token as the ultimate linchpin of their case without even knowing that it also, like every other explanation imaginable, gnaws at already so flimsy a foundation of their argument...

It will take time before we can make them see the truth that the pie in the sky is a lie ....
patience is all we need...
 
Retrogression ad infinitum.
Who created the creator question often sheds light on their ridiculous gullibility like nothing else does . They tout complexity token as the ultimate linchpin of their case without even knowing that it also, like every other explanation imaginable, gnaws at already so flimsy a foundation of their argument...

It will take time before we can make them see the truth that the pie in the sky is a lie ....
patience is all we need...
The folly of these quaint simpletons is in their lack of consistency.

On the one hand, they stipulate complexity to be created. It cannot happen by itself.

On the other, they claim God, who by definition is complex, was not created.

The cognitive dissonance is so heavy you could cut it with a saw.

The deus ex machina is the Trojan horse penetrating their minds firewalls.

Logical non sequitur is their self inflicting wound weapon of choice.

Our questions are not answered. Because there are no proper answers. Because the God they rely upon does not exist.
 
Back
Top Bottom