demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
http://thesheet.ng/wp-content/uploads/2015/02/stephen_keshi-520x245.jpg
Kocha ambaye Yuko nje ya mkataba na timu ya taifa ya Nigeria, Stephen Keshi anaorodheshwa na club ya Azam ili kuchukua nafasi ya aliyekuwa kocha wa zamani wa timu hiyo yaani Joseph Omog .
http://jamboleo.co.tz/wp-content/uploads/2014/12/OMOG.jpg
Mkameruni Omog pamoja na Kocha wake msaidizi yaani Ibrahim shikanda walitumuliwa jumatatu hii kutokana na matokeo mabovu katika michuano ya klabu bingwa barani afrika.
Katibu Mkuu wa Azam Football club Idrissa Nassoro amesema club ya azamfc iko kwenye mazungumzo na makocha mbalimbali akiwamo Stephen Keshi ...alisema ,kitu ambacho azam inakiangalia ni cv za kocha na mafanikio yake katika michuano iliyopita.
http://timbuktoo.org/wp-content/uploads/2014/12/keshi116-300x200.jpg
Aliendelea kwa kusema " Bado tuko kwenye mazungumzo na makocha mbalimbali ila kuna nafasi kubwa ya kumpata kocha Stephen Keshi, kwa kuwa mazungumzo baina yeti sisi na yeye yanaendelea vizuri ....na mafanikio yake yaliyopita ni kitu ambacho kimetuvutia zaidi.
Kocha ambaye Yuko nje ya mkataba na timu ya taifa ya Nigeria, Stephen Keshi anaorodheshwa na club ya Azam ili kuchukua nafasi ya aliyekuwa kocha wa zamani wa timu hiyo yaani Joseph Omog .
http://jamboleo.co.tz/wp-content/uploads/2014/12/OMOG.jpg
Mkameruni Omog pamoja na Kocha wake msaidizi yaani Ibrahim shikanda walitumuliwa jumatatu hii kutokana na matokeo mabovu katika michuano ya klabu bingwa barani afrika.
Katibu Mkuu wa Azam Football club Idrissa Nassoro amesema club ya azamfc iko kwenye mazungumzo na makocha mbalimbali akiwamo Stephen Keshi ...alisema ,kitu ambacho azam inakiangalia ni cv za kocha na mafanikio yake katika michuano iliyopita.
http://timbuktoo.org/wp-content/uploads/2014/12/keshi116-300x200.jpg
Aliendelea kwa kusema " Bado tuko kwenye mazungumzo na makocha mbalimbali ila kuna nafasi kubwa ya kumpata kocha Stephen Keshi, kwa kuwa mazungumzo baina yeti sisi na yeye yanaendelea vizuri ....na mafanikio yake yaliyopita ni kitu ambacho kimetuvutia zaidi.