Makamu Mwenyekiti wa CCM, Stephen Wasira, ameiambia Marekani kuwa uchaguzi mkuu wa 2025 utakuwa huru na wa haki.
Akizungumza Februari 20, 2025, na Kaimu Balozi wa Marekani nchini, Andrew Lentz, Wasira alisisitiza kuwa CCM inaendelea kujiandaa kwa uchaguzi huo huku ikizingatia amani na utulivu wa taifa.
Alimweleza Lentz kuwa CCM inatarajia kushinda kwa sababu imetekeleza ahadi zake za maendeleo kulingana na Ilani ya Uchaguzi ya 2020-2025.
Kuhusu mazungumzo na vyama vya upinzani, Wasira alisema chama kiko tayari, likiwa ni sehemu ya falsafa ya R4 ya Rais Samia Suluhu Hassan inayohimiza majadiliano ya kisiasa.
Makamu Mwenyekiti wa CCM, Stephen Wasira, ameiambia Marekani kuwa uchaguzi mkuu wa 2025 utakuwa huru na wa haki.
Akizungumza Februari 20, 2025, na Kaimu Balozi wa Marekani nchini, Andrew Lentz, Wasira alisisitiza kuwa CCM inaendelea kujiandaa kwa uchaguzi huo huku ikizingatia amani na utulivu wa taifa.
Alimweleza Lentz kuwa CCM inatarajia kushinda kwa sababu imetekeleza ahadi zake za maendeleo kulingana na Ilani ya Uchaguzi ya 2020-2025.
Kuhusu mazungumzo na vyama vya upinzani, Wasira alisema chama kiko tayari, likiwa ni sehemu ya falsafa ya R4 ya Rais Samia Suluhu Hassan inayohimiza majadiliano ya kisiasa.
Makamu Mwenyekiti wa CCM, Stephen Wasira, ameiambia Marekani kuwa uchaguzi mkuu wa 2025 utakuwa huru na wa haki.
Akizungumza Februari 20, 2025, na Kaimu Balozi wa Marekani nchini, Andrew Lentz, Wasira alisisitiza kuwa CCM inaendelea kujiandaa kwa uchaguzi huo huku ikizingatia amani na utulivu wa taifa.
Alimweleza Lentz kuwa CCM inatarajia kushinda kwa sababu imetekeleza ahadi zake za maendeleo kulingana na Ilani ya Uchaguzi ya 2020-2025.
Kuhusu mazungumzo na vyama vya upinzani, Wasira alisema chama kiko tayari, likiwa ni sehemu ya falsafa ya R4 ya Rais Samia Suluhu Hassan inayohimiza majadiliano ya kisiasa.
Kwa tume hii hii? Uwepo uchaguzi wa huru na haki? Hapo alikuwa anamfurahisha Kwa maneno mazuri ndugu kaimu balozi lakini CCM hii ninavyoifahamu haiwezi kuruhusu uchaguzi huru na haki Kwa kuwa kamwe hawawezi kushinda bila makando kando