Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Tunaposema kuwa CCM inawaogopa zaidi wazungu kuliko wananchi na vyama upinzani tunamaanisha mambo kama haya.
Swali la kujiuliza, ni kwanini Wasira "anaihakikishia" Marekani Uchaguzi kuwa huru na wa haki?
Shotocan Lucas Mwashambwa naomba msaada kwenye swali langu
=============================================================
Makamu Mwenyekiti wa CCM, Stephen Wasira, ameiambia Marekani kuwa uchaguzi mkuu wa 2025 utakuwa huru na wa haki.
Akizungumza Februari 20, 2025, na Kaimu Balozi wa Marekani nchini, Andrew Lentz, Wasira alisisitiza kuwa CCM inaendelea kujiandaa kwa uchaguzi huo huku ikizingatia amani na utulivu wa taifa.
Soma pia: Marekani: Kuanzia leo, tunaweka vizuizi kwa waliohusika na kuvuruga Uchaguzi nchini Tanzania
Alimweleza Lentz kuwa CCM inatarajia kushinda kwa sababu imetekeleza ahadi zake za maendeleo kulingana na Ilani ya Uchaguzi ya 2020-2025.
Kuhusu mazungumzo na vyama vya upinzani, Wasira alisema chama kiko tayari, likiwa ni sehemu ya falsafa ya R4 ya Rais Samia Suluhu Hassan inayohimiza majadiliano ya kisiasa.
Source: Azam News
Tunaposema kuwa CCM inawaogopa zaidi wazungu kuliko wananchi na vyama upinzani tunamaanisha mambo kama haya.
Swali la kujiuliza, ni kwanini Wasira "anaihakikishia" Marekani Uchaguzi kuwa huru na wa haki?
Shotocan Lucas Mwashambwa naomba msaada kwenye swali langu
=============================================================
Makamu Mwenyekiti wa CCM, Stephen Wasira, ameiambia Marekani kuwa uchaguzi mkuu wa 2025 utakuwa huru na wa haki.
Akizungumza Februari 20, 2025, na Kaimu Balozi wa Marekani nchini, Andrew Lentz, Wasira alisisitiza kuwa CCM inaendelea kujiandaa kwa uchaguzi huo huku ikizingatia amani na utulivu wa taifa.
Soma pia: Marekani: Kuanzia leo, tunaweka vizuizi kwa waliohusika na kuvuruga Uchaguzi nchini Tanzania
Alimweleza Lentz kuwa CCM inatarajia kushinda kwa sababu imetekeleza ahadi zake za maendeleo kulingana na Ilani ya Uchaguzi ya 2020-2025.
Kuhusu mazungumzo na vyama vya upinzani, Wasira alisema chama kiko tayari, likiwa ni sehemu ya falsafa ya R4 ya Rais Samia Suluhu Hassan inayohimiza majadiliano ya kisiasa.