Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,830
- 4,729
Nikweli mkuu, anaweza tena sana tuuyuko vizuri kuliko wagombea wengine,kwahapa bongo hakuna anaemzidi huyu kwa kujenga hoja
Nyie kama ni timu Ya mpira basi nyie ni QPR.
Huyu Wasira alisimamishwa na mahakama kutogombea miaka 5 kwa kutiwa hatiani kwa utoaji rushwa wakati wa uchaguzi. Hili sio doa? Naona mmevaa miwani ya mbao!
kim jong un / sijui angemfanyaje?
Acha kutudanganya! Umesahau kashfa ya kuuchapa usingizi bungeni?
Stephen Masato Wasira si jina geni kwa Watanzania, ni jina maarufu.
Bado naendelea "kumtafuta" Stephen Masato Wasira ili nijiridhishe iwapo kweli hana hata kashfa moja kama wanavyosema watu wengi. BADO NAENDELEA KUMTAFUTA.
Makala kwa Hisani ya Gazeti la Pata Habari.