No wayMkuu, ivi wewe ndo ungekua Mwamposa ungeitaji mke kweli?
Kwani kubishana na mwanamke ndiyo nini? Yeye ni binadamu pia anakosea na kuelekezwa. Acha double standard!Ulianzaje kubishana na mwanamke boss?
Mzee nakuheshimu mno. Ningeongea neno baya mno kwako. Acha nikae kimya.[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji119]
View attachment 2729874
Kataa ndoa πππ
Hio roho mbay mkuuSiku akidinyiwa criss mahuki mbingu zitatukuzwa
Poor Adamπ₯²12 Adamu akasema, Huyo mwanamke uliyenipa awe pamoja nami ndiye aliyenipa matunda ya mti huo, nikala.