Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Mwenyekiti wa Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao, Steven Mengele maarufu kama Steve Nyerere, akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi pikipiki na viti mwendo (wheelchairs) 100 kwa watu wenye uhitaji maalum, amesema;
"Kuomba ni utumwa na udhalilishaji, lakini kwa ajili ya ndugu zetu hawa acha nidhalilike," Steve Nyerere, Mwenyekiti wa Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao akigawa pikipiki na viti mwendo (wheel chair) 100 kwa watu wenye mahitaji maalum, jijini Dar es Salaam.
Hafla hiyo ilifanyika hivi karibuni katika viwanja vya Karimjee, jijini Dar es Salaam.
"Kuomba ni utumwa na udhalilishaji, lakini kwa ajili ya ndugu zetu hawa acha nidhalilike," Steve Nyerere, Mwenyekiti wa Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao akigawa pikipiki na viti mwendo (wheel chair) 100 kwa watu wenye mahitaji maalum, jijini Dar es Salaam.
Hafla hiyo ilifanyika hivi karibuni katika viwanja vya Karimjee, jijini Dar es Salaam.