Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,681
- 8,736
Matola aliwaambia siku Moja hapa kwamba wema ni celebrity hapa JF mkabisha sasa almost kila siku lazima watu mchome bundle zenu, muda wenu toka asubuhi Hadi liamba kumjadili. Mada zake hazikauki kila uchao. Muse mnaukubali ukweli hata Kama hamuupendi. In short Wema anajadilika ...kila siku mnamponda ila Ndo akiwekwa hapa watu na akili zenu mnaojiona wastaarabu, wasafi wasio na umalaya km wa wema, wenye maendeleo na mwingine mazuri mnasugua gaga kila siku kumjadili. Kutomkubali kwenu hakumaanishi kwamba sio celebrity humu. Kwa ufupi mdada ni sura ya mauzo.
hii kitu hata Martin alishawah sema, honestly mashabiki wa wema wanamuharibu kushabikia hata uovu wake si sahihi badala ya kumshaur mazur wako busy kusifia uchafu wake, ukiwasema wanakuja juu kama moto wa kifuu.
kuna demu mmoja ivi sio staa, ila anasifika sana kwa umalaya , uzuri wake anatembea na watu wenye pesa chafu, mawazir wabunge, vigogo mbali mbali wote kapitia.
Kitu cha maana ambacho namsifia huyo Dada , anatumia umalaya wake vizur, alikuwa hajasoma ila kajisomesha toka certificate mpaka sasa ivi anachukua degree ya sheria kwa uo uo umalaya.
Kajenga nyumba yake na anamiliki magar matatu, Nissan murrano, x-trail na kluger , huyu umalay wake umemsaidia sana , haswa baada ya kuona umuhimu wa elimu na kuamua kurud shule , japokuwa ana nyumba na magar na maisha mazur
Sasa hawa mastaa wetu full mashauz , nyumba za kupanga, magar ya kuazimwa , maana wengine wameshapokonywa kasoro Harrier la pink.
Wakiumwa sasa wanalazwa wodi za sewahaji au mwaisela , yakiwazidia wanaanza kusambaz vibakul wakatibiwe India , wajinga sana