Steve Nyerere achaguliwa kuwa kiongozi wa wasanii nchi nzima kueneza amani

Sasa hiv kawa kama sugar mamy flani umodel wote umekwisha ndo maana anang'ang'nia ndoa na dogo cz anajua kashawapanga sana wasanii kuanzia mr blue tid kanumba yule jamaa wa magomeni alieoa na wengine kibao ambao sio maarufu nani sasa hiv atamhonga kashajua dege la jeshi
 
Hela za kuhongwa ni tamu kazi ya nini, kama anaweza kuhongwa 60m, hata akiigiza haitamsaidia.
 
Hivi Wema ana umri gani?

Anaweza kuwa mtoto wa Steve lakini at least amepiga hatua hata ikiwa kwa kuhongwa walau anavitolea jasho. Yeye Steve tangu aanze kuombaomba ana nini? Kila siku anabebeshwa mizigo lakini anaishi kama chokoraa.
 
Anaweza kuwa mtoto wa Steve lakini at least amepiga hatua hata ikiwa kwa kuhongwa walau anavitolea jasho. Yeye Steve tangu aanze kuombaomba ana nini? Kila siku anabebeshwa mizigo lakini anaishi kama chokoraa.

wanapenda maisha ya juu afu hawana kitu
 

domo mwenyewe ni part time hawezi oa pale ana mtumia kusafiria nyota ake wa diamond hajazaliwa bado ukiwa msichana inabidi utumie mda vzuri sasa yeye na ma skendo mume kupata ni ngumu hawaig hata mfano wa Nolywood actress wameolewa ila hapa Bongo na kupeana sifa abadilike vi dada
 
WanaJF huyu Stevie Nyerere mbona mwenzenu simuelewi,namuona tu na kimbelembele chake na kujikwezakweza aonekane na yeye yumo.Hivi anafanya kazi gani ya kuonekana inayomfanya ajione yumo kiasi hicho au fans wake ni kina nani?Naona kama muonekano wake unamkataza kabisa kuwa Celebrity ila yeye kama analazimisha hivi au?.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Huyo si kiongozi katika michongo ya Bongo movies?
 
Hivi Kama kuna Mtu anaejua mafanikio ya wema kupitia Sanaa aorodheshe hapa...maana sioni kitu zaidi ya kuhongwa tu...
Hiyo sijui team yake wanaona nini sijui kwa huyu Mtu .

Hapo sasa wenyew wanashabikia tu upuuz na kugombanian wanaume
 

Team yake inashabikia tu nyota ooh wema anapendwa sana , maaruf badala wamshaur ya maana wanamsaidia kugombea wanaume
 
hahahahah daaa Jf kuna vituko sana daaa yani muonekano wake una mkataza kuwa Celebrity?
Mkuu Master Legendary of legend kwani Steve kafanya nini? Kwani u celebrity hupimwa sana kwenye muonekano? Daaaa mkuu toa ufafanui.
 
Last edited by a moderator:
hahahahah daaa Jf kuna vituko sana daaa yani muonekano wake una mkataza kuwa Celebrity?
Mkuu Master of legend kwani Steve kafanya nini? Kwani u celebrity hupimwa sana kwenye muonekano? Daaaa mkuu toa ufafanui.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu huyu si ndio kiongozi wao hawa wabongo movie? Alaf kila leo watu wana jitoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…