Kwa hiyo habari yako ya kwamba kuingia jeshini ni lazima alikuwa mrefu si ya kweli?
Kwa maana hapa unatuambia alikuwa na urefu wa wastani, kuingia jeshini ilikuwa lazima uwe mrefu, ila yeye kwa urefu wake wa wastani ( average height, not tall) aliweza kuingia jeshini.
Aliwezaje kuingia jeshini wakati kuingia jeshini mtu alitakiwa kuwa mrefu (tall) siyo mrefu wa wastani (average height) ?
Ningependa kujua wasanii gani bongo wanatoa kazi za maana na kazi hizo ni zipi, na kwa sababu gani ni za maana, kwa mujibu wako.
Swali genuine, niko a bit out of touch na art scene ya bongo.
I thought Steve was a one trick pony.
Habari yangu ni ya kweli...ili kuingia jeshini ililazimu kuwa mrefu...na Napoleon alikuwa mrefu...kwenye kundi la warefu kuna tofauti yani warefu wa kawaida(wastani) na warefu sana... Hashimu Thabit na Yao Ming ni warefu sana,,Fareed Kubanda na Joseph Haule ni warefu wastani...huwezi muita Fareed Kubanda mfupi eti kwa kuwa kasimama na Hashim Thabit na Yao Ming....ukifanya ivyo Steve Nyerere sijui utamuweka kundi lipi.
Kama ni swala la uongo wasanii wengi wanaishi kwa uongo na kuhongwa.Sio ushabiki , wema angejitahid tu akamalizie degree yake , sasa ataishi maisha ya kupiga mizinga mpaka lin??
Si mmeshuhudia wenyew jinsi alivyoumbuliwa na clement?? Kadanganya nyumba yake wakat hata kiwanja hana, ata mtoto wa miaka 19 lulu anamshinda?? Ina maana lulu ni Malaya kuliko wema?? Team wema wangempigia kelele kuhus maendeleo yake nadhan angewasikiliza , umri unaenda na kila siku watoto wabich wanazaliwa.
Unless you go by figures, the entire exercise is mired in relativity.
Next thing unaweza kutuambia alikuwa "mfupi-mrefu".
Kama ni swala la uongo wasanii wengi wanaishi kwa uongo na kuhongwa.
Umri unakimbia akati ana miaka 22 bado kinda sana
kama ishu ni lugha,basi tafsiri ya moja kwa moja ya 'average height' kwenye kiswahili ndio yenye tatizo..kwenye kiswahili kuna mrefu wa wastani na mfupi wa wastani..
Kwa hiyo kulikuwa na haja gani ya ku publish ujumbe ambao ulikuwa ni maalum kwa Wema na si public?Wema me nampenda but hajitambui kabisa,Steve kaongea point kabisa
Steve Nyerere anachekesha maisha yake,sio movie anazocheza....hivi awa mabongo movies hawajaona mtu wa kuwaongoza mpaka wakampa uyo kituko?
Kwa hiyo kulikuwa na haja gani ya ku publish ujumbe ambao ulikuwa ni maalum kwa Wema na si public?
Huyu Steve kwanini ana penda malumbano na wanawake?
aaah a ah inaelekea binamu hutak hata kumsikia huyo kiumbe, any way..
Duh noma sana , yaan wema anachomilik kwa sasa ni harrier tu , tena aliyomhonga clement , tangu awe na ndomo hakuna development yeyote, dah apa clement lazima akumbukwe, naona atakuwa ana hasira sana na kajala, nasikia kajal
cnackia Steve huwa ana watafutia ma pedeshee kwa hyo nahci anawa fahamu vzuri kuhusu ku publish labda yeye aliona yuko sawa ila mie naona katoa ushauri mzuri tu
Nilitegemea a act kama kiongozi lakni yeye ni malumbano tuu!Wamekutana wote attention seeker..n
Wewe ulishindwa kujibu hoja badala yake ukaingiza mtu ambae hakuwa kwenye comment yangu. In short kajala sio central kwenye hii post so sio ni haja ya lumps airtime. Weka ushabiki pembeni kipi cha ajabu alichofanya wema ambacho binadam au wasanii wengine hawafanyi? Kila binadam Ana std zake ktk maisha Unapoona nyumba ni deal yupo mwingine anaona si ishu km alivyo wema. Lulu ni lulu na wema ni wema na Ndo maana akaitwa lulu na wema akaitwa wema. Mradi yake yanamuendea hajaja kugonga hodi Kwako basi
Matola aliwaambia siku Moja hapa kwamba wema ni celebrity hapa JF mkabisha sasa almost kila siku lazima watu mchome bundle zenu, muda wenu toka asubuhi Hadi liamba kumjadili. Mada zake hazikauki kila uchao. Muse mnaukubali ukweli hata Kama hamuupendi. In short Wema anajadilika ...kila siku mnamponda ila Ndo akiwekwa hapa watu na akili zenu mnaojiona wastaarabu, wasafi wasio na umalaya km wa wema, wenye maendeleo na mwingine mazuri mnasugua gaga kila siku kumjadili. Kutomkubali kwenu hakumaanishi kwamba sio celebrity humu. Kwa ufupi mdada ni sura ya mauzo.