Again, bila figures habari nzima ni speculation.
Utakachoona wewe ni "mrefu wa wastani" kimbonelehi ataona "mrefu".
Hule ulikuwa ushauri wa mtu binafsi si wa public.
That was personal attack!
Kama umemfatilia vyema Steve utagundua ni tatizo!
Hata mimi nilisikitika sana alipogombea yy na dr cheni alafu wakamnyima drcheni wakampa steve ndio nilipojua bongo movie wamejaa mamburula, yaani kijitu kiko kiko tu hata hakina personality alafu kimeka ki njaanjaa tu, yaani badala yakuwaunganisha bongo movie wawe kitu kimoja chenyewe ndio kinaanzisha matabaka...natamanigi hata nikizabe vibao kinavyokuwa kinaongea ovyoovyo NYAMBAFU KABISA...
ila unajua bongo hi watu wanapenda attention hata ziczo za msingi na wao wanaona kupublish every kwenye media ndo u supa star wa kibongo tatizo ni shda
Matola aliwaambia siku Moja hapa kwamba wema ni celebrity hapa JF mkabisha sasa almost kila siku lazima watu mchome bundle zenu, muda wenu toka asubuhi Hadi liamba kumjadili. Mada zake hazikauki kila uchao. Muse mnaukubali ukweli hata Kama hamuupendi. In short Wema anajadilika ...kila siku mnamponda ila Ndo akiwekwa hapa watu na akili zenu mnaojiona wastaarabu, wasafi wasio na umalaya km wa wema, wenye maendeleo na mwingine mazuri mnasugua gaga kila siku kumjadili. Kutomkubali kwenu hakumaanishi kwamba sio celebrity humu. Kwa ufupi mdada ni sura ya mauzo.
ila unajua bongo hi watu wanapenda attention hata ziczo za msingi na wao wanaona kupublish every kwenye media ndo u supa star wa kibongo tatizo ni shda[/Q
Ni shida sana yani huyu ana jifanya kumuonya mwenzie wakati hata yeye ana cho fanya ni kutafuta scandal na malumbano.
Hehehe utawafanyeje kwa Mfano? Tukubali kutofautiana, hii ni dunia Huru kila mtu ana uhuru wa kusimamia kile anachokiamini na kukipenda.
kuna vitu vya kutofautiana sio kila kitu uwe negative kwa vile tu unatakiwa uwe hivyo, hata mashabiki wa mpira sometym wanakubali matokeo kuwa timu zao hazikucheza vizuri pale zinapofanya vibaya. kuwa team wema sio sababu ya kutetea hata ubaya anaofanya maana mlivyo hata akikutwa anajiuza pale Ohio mtamsifia madam wenu yuko juu.
Hakuna kibaya hapo kwenye ushaur wa steve, atakama ana mapungufu yake binafsi ila isiwe sababu ya kupondea ushaur wake, maana hata wema naye wapo anao washaur mazuri japo mwenyewe ana mabaya yake.
Me sijawahi hata kuona cha maana au kuelewa kazi yake hata moja zaidi ya kumuona kwenye media tu.
Hata mimi nilisikitika sana alipogombea yy na dr cheni alafu wakamnyima drcheni wakampa steve ndio nilipojua bongo movie wamejaa mamburula, yaani kijitu kiko kiko tu hata hakina personality alafu kimeka ki njaanjaa tu, yaani badala yakuwaunganisha bongo movie wawe kitu kimoja chenyewe ndio kinaanzisha matabaka...natamanigi hata nikizabe vibao kinavyokuwa kinaongea ovyoovyo NYAMBAFU KABISA...
Ahsante Qn utadhani uko kichwani mwangu.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
kuna vitu vya kutofautiana sio kila kitu uwe negative kwa vile tu unatakiwa uwe hivyo, hata mashabiki wa mpira sometym wanakubali matokeo kuwa timu zao hazikucheza vizuri pale zinapofanya vibaya. kuwa team wema sio sababu ya kutetea hata ubaya anaofanya maana mlivyo hata akikutwa anajiuza pale Ohio mtamsifia madam wenu yuko juu.
Hakuna kibaya hapo kwenye ushaur wa steve, atakama ana mapungufu yake binafsi ila isiwe sababu ya kupondea ushaur wake, maana hata wema naye wapo anao washaur mazuri japo mwenyewe ana mabaya yake.
ni kweli mdau hata kama ni ushabiki kuna vitu inabidi ukubaliane navo hata kama una mapenzi ya dhati sasa unakuta ushauri muhimu watu hawautekelezi baki kushabikia tu kuna vitu havi htaji akili sana kuvielewa to me Steve kasema ukweli bila unafki rafki bora ni yule akushauriaye jema sio kukupaka mafta kwa mgongo wa chupa tofauti na Bongo ukitofautiana na mtu watu wa kuona haters we need to change to some important things Ulaya kuna team zina mashabiki team zao zikifungwa huwa wanakubali matokeo
hii kitu hata Martin alishawah sema, honestly mashabiki wa wema wanamuharibu kushabikia hata uovu wake si sahihi badala ya kumshaur mazur wako busy kusifia uchafu wake, ukiwasema wanakuja juu kama moto wa kifuu.
Matola aliwaambia siku Moja hapa kwamba wema ni celebrity hapa JF mkabisha sasa almost kila siku lazima watu mchome bundle zenu, muda wenu toka asubuhi Hadi liamba kumjadili. Mada zake hazikauki kila uchao. Muse mnaukubali ukweli hata Kama hamuupendi. In short Wema anajadilika ...kila siku mnamponda ila Ndo akiwekwa hapa watu na akili zenu mnaojiona wastaarabu, wasafi wasio na umalaya km wa wema, wenye maendeleo na mwingine mazuri mnasugua gaga kila siku kumjadili. Kutomkubali kwenu hakumaanishi kwamba sio celebrity humu. Kwa ufupi mdada ni sura ya mauzo.