Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,061
Anasema watanzania ni wajinga....yeye ndo mpuuzi namba moja huyo mbn yeye anaiga sauti za viongozi..tatzo ni upeo mdogo unamsumbua mbn wakina diamond, ay wanashabikiwa KenyaMwigizaji huyo wa comedi alidai hivyo alipokuwa akihojiwa na e news ya eatv, amesema hana kipaji cha kuchekesha bali kukopi nyimbo za watu na watanzania ni wajinga ndio maana wanamkubali mtu kama huyo kuwa ni mchekeshaji
Mwigizaji huyo wa comedi alidai hivyo alipokuwa akihojiwa na e news ya eatv, amesema hana kipaji cha kuchekesha bali kukopi nyimbo za watu na watanzania ni wajinga ndio maana wanamkubali mtu kama huyo kuwa ni mchekeshaji
Na hata hapo ktk kuigiza sauti, AMEFELI.Anasema watanzania ni wajinga....yeye ndo mpuuzi namba moja huyo mbn yeye anaiga sauti za viongozi..tatzo ni upeo mdogo unamsumbua mbn wakina diamond, ay wanashabikiwa Kenya
100%Huyu jamaa steve nyerere anatafuta kiki kwanza hajuagi kuchekesha ht kdg
Na umri unamtupa mkono.Fungu LA kukosa
haka kajamaa kajinga sanaMwigizaji huyo wa comedi alidai hivyo alipokuwa akihojiwa na e news ya eatv, amesema hana kipaji cha kuchekesha bali kukopi nyimbo za watu na watanzania ni wajinga ndio maana wanamkubali mtu kama huyo kuwa ni mchekeshaji