Brother MCA TRICKEY churchchill show nzima hakuna mtu anamfunika yule dogo....hao wakina proffessor harmo,jasper, jassy mc na wengine wanasubiri kwa yule dogoUnajua kuna uigizaji, uchekeshaji na utani. Sasa huyo stive ni muigizaji na muonyesha utani, mtu unaweza ongea masaa mawili usicheke.
Stive hawezi mfikia hata yule mkenya chokoraa trick sana.
Mwezake omondi anapanda ndege mara kwa mara kwenda nje kufanya stand up comedy.... omondi ni ambassador wa brand kadhaa Kenya.... chuki mbaya sana. Na hatokaa avuke mipaka.... na fans wake watabakia hao hao bongo movie wenzieYaan huyo steve bado sana.wala hajui kuchekesha.alaf mbona eric omondi anachekesha pia majukwaani.
Kingine pia steve mshamba maana anasema hamjui eric omondi wakat ni mmoja wa watu maarufu east africa.
Kenyewe ndo hakajui kitu. kaache wivu wa kijingaMwigizaji huyo wa comedi alidai hivyo alipokuwa akihojiwa na e news ya eatv, amesema hana kipaji cha kuchekesha bali kukopi nyimbo za watu na watanzania ni wajinga ndio maana wanamkubali mtu kama huyo kuwa ni mchekeshaji.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Bora mjinga kuliko kuwa dalali wa madem
Kumbe n Ka**nge eeeh hamjui asa dis upon eric za nn ka hamjui???Yaan huyo steve bado sana.wala hajui kuchekesha.alaf mbona eric omondi anachekesha pia majukwaani.
Kingine pia steve mshamba maana anasema hamjui eric omondi wakat ni mmoja wa watu maarufu east africa.
Ye wenyewe mjinga cjui huwa anacheesha kina nanMwigizaji huyo wa comedi alidai hivyo alipokuwa akihojiwa na e news ya eatv, amesema hana kipaji cha kuchekesha bali kukopi nyimbo za watu na watanzania ni wajinga ndio maana wanamkubali mtu kama huyo kuwa ni mchekeshaji.