Steve Nyerere amponda Erick Omondi, adai watanzania wanaomkubali ni wajinga

1. ERIC OMONDI

2. KANSIIME

3. TEACHER MPAMIRE
Hawa ndio wachekeshaji wa afrika mashariki hutaki jinyonge. Bongo tuna wapigakelele tuu
 
anataka kujifananaisha na Ericko....maajabu!
 
Hivi, Steve Nyerere aliwahi kupeleka comedy show kwenye mji nchi za Uganda na kenya na akapagawisha watazamaji? basi Eric Omondi ndani ya tz ya NYERERE ndio kashika usukani
 
Omond simkubali ila Nyerere nae kaongea pumba 5GB
 
Wale jambo na vijambo ni Mara 100 ya huyo Steve,joti Mara alfu ya huyo Steve

HV kuiga sauti ni kuchekesha???

Wivu wa Kajinga

Cyo professional jinga hilo. Professional hawezi kutamka pumba kama hzo
 
Wewe humkubali kama asivomkubali Steve Nyerere, lakini jamii ndio inayemkubali
 
Sijawahi cheka , kifupi steve hachekeshi kabisa labda uwe na malaria, nadhani anatafuta kikck
 
Huyo Omondi hajawah kunichekesha, Tz huwa ananichekesha Majuto tu
 
Unajua kuna uigizaji, uchekeshaji na utani. Sasa huyo stive ni muigizaji na muonyesha utani, mtu unaweza ongea masaa mawili usicheke.
Stive hawezi mfikia hata yule mkenya chokoraa trick sana.[/QUOTE
Kifupi hawezi mfikia hata Wanjiku The teacher
 
Standup comedians wa tz 99% comedy zao wanakopy from standup comedians wa nigeria...and zingine stor tulizokua tunachekeshana o level...anazingua huyu jamaa
 
Hakana demu haka kakuwadi
 
Hiki Kijamaa once nikawa nakisikia kikivuma lakini siku nilipokaona na uigizaji wake hata sio kabisa kwanza hakana Nyota ndio kinachomsumbua.... Huyo Omondi nilimtizama ile clip ya utanipendaga nikamuona anakipaji kabisa... Huyu Stev ile Movie yake ya raisi mbona ilifail na on behalf of myself sijawahi itaizama
 
huyu nae anajua kuchekesha sasa au analazimisha watu wacheke,kwanza hata ukiangalia venue za Bongo standup comedy hovyo kabisa chafuchafu tu sound mbovu utafiki za kwenye party za singeli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…