Steve Nyerere amvaa Niffer kwa kumjibu Waziri Mkuu kwa kuchangisha maafa ya Kariakoo

Steve Nyerere amvaa Niffer kwa kumjibu Waziri Mkuu kwa kuchangisha maafa ya Kariakoo

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Muigizaji maarufu wa filamu nchini Tanzania, Steven Nyerere, ameonyesha kutoridhishwa na hatua ya mfanyabiashara Niffer kumjibu Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa, kupitia mitandao ya kijamii. Hii ilitokea baada ya Niffer kuitwa kituo cha polisi kwa mahojiano kufuatia kampeni yake ya kuchangisha pesa mtandaoni kwa waathirika wa ajali ya jengo lililoporomoka Kariakoo.

Pia, Soma:


Steven amesema hatua ya Niffer ni ishara ya ukosefu wa heshima, akidai kuwa kitendo hicho hakipaswi kufumbiwa macho. Aidha, alitoa lawama kwa marafiki wa karibu wa Niffer, akisema wameshindwa kumshauri vema na kumwongoza kuepuka mgongano na viongozi wa serikali.

"Naona kama Niffer anazungukwa na marafiki wasiomtakia mema, kwani ni jambo lisilo la hekima kumjibu Waziri Mkuu hadharani,"
 
Muigizaji maarufu wa filamu nchini Tanzania, Steven Nyerere, ameonyesha kutoridhishwa na hatua ya mfanyabiashara Niffer kumjibu Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa, kupitia mitandao ya kijamii. Hii ilitokea baada ya Niffer kuitwa kituo cha polisi kwa mahojiano kufuatia kampeni yake ya kuchangisha pesa mtandaoni kwa waathirika wa ajali ya jengo lililoporomoka Kariakoo.

Pia, Soma:


Steven amesema hatua ya Niffer ni ishara ya ukosefu wa heshima, akidai kuwa kitendo hicho hakipaswi kufumbiwa macho. Aidha, alitoa lawama kwa marafiki wa karibu wa Niffer, akisema wameshindwa kumshauri vema na kumwongoza kuepuka mgongano na viongozi wa serikali.

"Naona kama Niffer anazungukwa na marafiki wasiomtakia mema, kwani ni jambo lisilo la hekima kumjibu Waziri Mkuu hadharani,"
Aisee,Jambo limezua Jambo.
Naona upepo unabadilika ,kazi kwelikweli
 
Hawa wajinga wajinga kama huyu mengele ndio wanafanya viongozi wajione ni miungu watu.
kwamba kwa sababu ni pm asijibiwe hata kama kaongea ujinga
 
Hawa wajinga wajinga kama huyu mengele ndio wanafanya viongozi wajione ni miungu watu.
kwamba kwa sababu ni pm asijibiwe hata kama kaongea ujinga

Ni tabia za watanzania kujikomba kwa viongozi na watu wenye pesa na vyeo. Nimeona video Mkuu wa mkoa wa Dar anaongea utumbo watu wako pale wanajichekesha. Wabongo sijui tumekwama wapi!
 
Muigizaji maarufu wa filamu nchini Tanzania, Steven Nyerere, ameonyesha kutoridhishwa na hatua ya mfanyabiashara Niffer kumjibu Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa, kupitia mitandao ya kijamii. Hii ilitokea baada ya Niffer kuitwa kituo cha polisi kwa mahojiano kufuatia kampeni yake ya kuchangisha pesa mtandaoni kwa waathirika wa ajali ya jengo lililoporomoka Kariakoo.

Pia, Soma:


Steven amesema hatua ya Niffer ni ishara ya ukosefu wa heshima, akidai kuwa kitendo hicho hakipaswi kufumbiwa macho. Aidha, alitoa lawama kwa marafiki wa karibu wa Niffer, akisema wameshindwa kumshauri vema na kumwongoza kuepuka mgongano na viongozi wa serikali.

"Naona kama Niffer anazungukwa na marafiki wasiomtakia mema, kwani ni jambo lisilo la hekima kumjibu Waziri Mkuu hadharani,"
Huyu chawa anapenda sana kiki.
 
Hii kasumba ya kuabudu viongozi wa serikali imetoka wapi? Ni haki yake kujieleza, kwa namna anavyoona inafaa. Sijaona sehemu aliyomkashifu pm, machawa wanatafuta kiki kwa fujo.
 
Muigizaji maarufu wa filamu nchini Tanzania, Steven Nyerere, ameonyesha kutoridhishwa na hatua ya mfanyabiashara Niffer kumjibu Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa, kupitia mitandao ya kijamii. Hii ilitokea baada ya Niffer kuitwa kituo cha polisi kwa mahojiano kufuatia kampeni yake ya kuchangisha pesa mtandaoni kwa waathirika wa ajali ya jengo lililoporomoka Kariakoo.

Pia, Soma:


Steven amesema hatua ya Niffer ni ishara ya ukosefu wa heshima, akidai kuwa kitendo hicho hakipaswi kufumbiwa macho. Aidha, alitoa lawama kwa marafiki wa karibu wa Niffer, akisema wameshindwa kumshauri vema na kumwongoza kuepuka mgongano na viongozi wa serikali.

"Naona kama Niffer anazungukwa na marafiki wasiomtakia mema, kwani ni jambo lisilo la hekima kumjibu Waziri Mkuu hadharani,"
Huyu babu aone hata haya mtoto wa miaka 25 amekua mfanyabiashara yeye kazi kutembeze komwe kwenye misiba ya wasanii hajulikani hata kipaji chake ni nini tena tofauti na misiba ya wasanii
 
Huyu babu aone hata haya mtoto wa miaka 25 amekua mfanyabiashara yeye kazi kutembeze komwe kwenye misiba ya wasanii hajulikani hata kipaji chake ni nini tena tofauti na misiba ya wasanii
Kipaji chake si ni kuigiza sauti za viongozi?
 
Hivi hii inshu ya niffa iliishaishaje?!

Usicheze na mmiliki wa utamu, aisee!
 
Jamaa (Steve Mangere) baada ya kususwa na wasanii wenzake kwa kula hela za michango ya misiba na kuwaroga ili wasimshitaki, sasa anakuja na kampeni mpya ya kutafuta kick kwa kuwakemea hadharani wenzake ili apate kutrend tena na kuonewa huruma na serikali. Njaa jamani balaa.
 
Muigizaji maarufu wa filamu nchini Tanzania, Steven Nyerere, ameonyesha kutoridhishwa na hatua ya mfanyabiashara Niffer kumjibu Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa, kupitia mitandao ya kijamii. Hii ilitokea baada ya Niffer kuitwa kituo cha polisi kwa mahojiano kufuatia kampeni yake ya kuchangisha pesa mtandaoni kwa waathirika wa ajali ya jengo lililoporomoka Kariakoo.

Pia, Soma:


Steven amesema hatua ya Niffer ni ishara ya ukosefu wa heshima, akidai kuwa kitendo hicho hakipaswi kufumbiwa macho. Aidha, alitoa lawama kwa marafiki wa karibu wa Niffer, akisema wameshindwa kumshauri vema na kumwongoza kuepuka mgongano na viongozi wa serikali.

"Naona kama Niffer anazungukwa na marafiki wasiomtakia mema, kwani ni jambo lisilo la hekima kumjibu Waziri Mkuu hadharani,"
Mwizi wa michango ya misiba ya wenzake kumbe bado yupo hapa duniani? Ahaaa nimekumbuka kitu, huu ni mwaka wa uchaguzi, anatafuta kick ili serikali impe ulaji.
 
Back
Top Bottom