Steve Nyerere amvaa tena Lulu

Steve nyerere alipeleka hta sabuni lulu alipokua gerezani?! Kujitenga walianza wao na lulu kajifunza kutoka kwao.
 
Kamjibu Ki Uswazi Uswazi Mpaka Aibu?
Wanadamu Tunayo Kazi Ya Ziada
 
Kila mtu na maamuzi yake,kwani pindi cha matatizo yake,wangapi walikuwa nae? Kila mtu abebe mzigo wake,
 
Mabongo muvie manafki tuu!bora uwape kubwa kimtindo...!ukifa utazikwa tu,kwani kuja wao ndo kwenda peponi?!!!zaidi ya yote wanatia gundu msiba ili malaika wakusakame vizuri.
 
Steve nyerere alipeleka hta sabuni lulu alipokua gerezani?! Kujitenga walianza wao na lulu kajifunza kutoka kwao.

Kile ki vits lulu alitoa wapi?steve nyerere alimpigia chapuo mahali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…