Steve Nyerere astaafu kuwa kiongozi misibani

Steve Nyerere astaafu kuwa kiongozi misibani

MSANII maarufu wa vichekesho Bongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amesema amekoma kuwa kiongozi misibani kwa sababu ya matusi anayovuna akishika nafasi hiyo. Steve aliiambia Za Motomoto News wikiendi iliyopita kuwa, amekuwa akijitoa kwenye misiba ya wasanii wenzake lakini licha ya wema wake huo amekuwa akivuna skendo za ajabuajabu (kama ulaji fedha za rambirambi) na matusi jambo ambalo linamhuzunisha na kuiathiri familia yake. “Unajua mimi nina watoto, sasa wanapoona yanayoandikwa mitandaoni ya kunitukana na kunifedhehesha kwa vitu vya uongo watanichukuliaje, niseme tu huu msiba wa mtoto Patrick Peter ambaye ni mtoto wa msanii mwenzangu Muna ndiyo wa mwisho, sitajihusisha tena na uongozi; kwenye misiba nitashiriki kama mtu wa kawaida,” alisema Steve
Mimi siyo mtu wa Bongo movie lakini huyu alizidi.
 
Hutu jamaaa siyo kwamba wanamuandama kwa kula fedha za misiba ila anaandamwa kwa kuishabikia ccm, jinga sana huyu jamaa na ndye pioneer wa kampeni ya mama ongea na mwanao...sasa ametulea shida ndyo maana raia wameamua kuzaa naye mchana kweupe na anapenda sana kumlambalamba bash baby unyayo!
 
Akijiuzulu hii nafasi watu watamkumbuka sana huyu...unajua siku zote thamani ya kitu huijui hadi kitu hicho kiondoke/kikutoke.
 
Anamwachia nani sasa. Kwan hicho cheo chake kinafanyiwa uchaguzi?
 
MSANII maarufu wa vichekesho Bongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amesema amekoma kuwa kiongozi misibani kwa sababu ya matusi anayovuna akishika nafasi hiyo. Steve aliiambia Za Motomoto News wikiendi iliyopita kuwa, amekuwa akijitoa kwenye misiba ya wasanii wenzake lakini licha ya wema wake huo amekuwa akivuna skendo za ajabuajabu (kama ulaji fedha za rambirambi) na matusi jambo ambalo linamhuzunisha na kuiathiri familia yake. “Unajua mimi nina watoto, sasa wanapoona yanayoandikwa mitandaoni ya kunitukana na kunifedhehesha kwa vitu vya uongo watanichukuliaje, niseme tu huu msiba wa mtoto Patrick Peter ambaye ni mtoto wa msanii mwenzangu Muna ndiyo wa mwisho, sitajihusisha tena na uongozi; kwenye misiba nitashiriki kama mtu wa kawaida,” alisema Steve
Kumbe kuongoza misiba nako kuna kustaafu? hahahahaa anachafua tu heshma ya neno "kustaafu"
 
Anatoa kauli kabisa kuwa atabaki kushiriki tu ana uhakika gani kwamba msiba unaofuata hatokuwa yeye.. aache ujinga
 
MSANII maarufu wa vichekesho Bongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amesema amekoma kuwa kiongozi misibani kwa sababu ya matusi anayovuna akishika nafasi hiyo. Steve aliiambia Za Motomoto News wikiendi iliyopita kuwa, amekuwa akijitoa kwenye misiba ya wasanii wenzake lakini licha ya wema wake huo amekuwa akivuna skendo za ajabuajabu (kama ulaji fedha za rambirambi) na matusi jambo ambalo linamhuzunisha na kuiathiri familia yake. “Unajua mimi nina watoto, sasa wanapoona yanayoandikwa mitandaoni ya kunitukana na kunifedhehesha kwa vitu vya uongo watanichukuliaje, niseme tu huu msiba wa mtoto Patrick Peter ambaye ni mtoto wa msanii mwenzangu Muna ndiyo wa mwisho, sitajihusisha tena na uongozi; kwenye misiba nitashiriki kama mtu wa kawaida,” alisema Steve


Ni kwa sababu hana kazi ya kufanya, hata kwenye hiyo misiba ni yeye mwenyewe ndiye anayejipeleka kutafuta sifa na fursa, si kama anachaguliwa na wenzake, wanamwachia tu…...anajilazimisha kutafuta fursa na kula hela za michango ya wafiwa. Mwache tu apumzike, pengine alishajikusanyia hela za kutosha.
 
pengo lake halitazibika steve badili uamuzu uzoefu wako bado tunauhitaji
 
Bora aisee aachie wasaidizi kama anao ili asiwe anapewa maneno hayo anayopewagwa.. na kama yupo msafi basi akae na amani anavyoachia wengine wachukue majukumu hayo.
 
Back
Top Bottom