Steve Nyerere atoa povu asema bongo fleva imepotea kabisa

pamoja na kwamba wengi wanamnanga hapa lakini kuna ukweli,nguvu ya bongo fleva inashuka sijui watanzania wanachanganyikiwa na maisha ya magufuli au sijui ni nini? maana bongo movie,taarab,mziki wa dansi ishajifia,huku nako bongo fleva hakueleweki wakitoa nyimbo hakuna mtikisiko kabisa kama zamani
 
pamoja na kwamba wengi wanamnanga hapa lakini kuna ukweli,nguvu ya bongo fleva inashuka sijui watanzania wanachanganyikiwa na maisha ya magufuli au sijui ni nini? maana bongo movie,taarab,mziki wa dansi ishajifia,huku nako bongo fleva hakueleweki wakitoa nyimbo hakuna mtikisiko kabisa kama zamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…