PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mnampa majukumu dananda mnategemea nini!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Japo mkubwa kuliko KOBEKOBEHivi uyu Steve Nyerere ni uvccm
hahaaaa"" daaahh aisee...Japo mkubwa kuliko KOBEKOBE
Hapana, yeye si baba wa mtoto bali ni Meneja wa Marehemu.kwani yeye ni baba wa mtoto...
KUNA JINGINE LILIZIMIA LAKINI LESO LIMESHIKILIA HAN-'''IT.....H.I LILE LILIKAA NA DEMU MKALI VILE BILA KUMZALISHA.... jinga sana madume suruali ya bongo movie..... MTOTO MKALI LINALALA NAYE CHUMBA KIMOJA ZAIDI YA MWAKA HALIJAMZALISHA SIJUI KWA NINI.... ona sasa amekufa eti rambirambi mnajipendekeza kwa mtoto wa marehemu wakati ana baba yake ambaye hana undugu na bongo movie na mtoto atasomeshwa bure taarifa tunazo...
HIZO PESA PELEKA KWA FAMILIA HARAKA SANA, AU MPENI YULE DUME ALIYE NA MTOTO WAKE MAANA YEYE NDIYE MZAZI WA HUYO MTOTO MSIJIFANYE MNMJALI SANA MTOTO AMBAYE HANA NDUGU BONGO MOVIE.
Oooh sasa hivi steve atalia simnajua ebu mwacheni mwenzenu atalia sasa hivi
Huyu mzee Steve Mengele mwizi sana wa rambirambi![/QUOTHiki kijamaa kijizi sana cha rambirambi!
Hahahahhh Mzee wa kuvuta Steve buanaa maneno mingiiiii gelesha kumbeKwenye msiba wa Bilali awekwe mbali.
na ni kuitusi familia ta marehemu ,baba wa mtoto na kila anayehusika na huyo mtotoUkiwa mbongo muvi omba usije ukafa mazishi yako yakasimamiwa na wabongo muvi wenzio yaani lazima wapige rambirambi za familia yako.
Huyu anajibu kama mwanasiasa fulani hivi uchwara,rambirambi ndiyo ni za mtoto wa marehem je wewe umezihifadhi wapi na kam nani maana ingetegemea wakati anajibu hivyo atoe na ushahidi kwamba account ya mtoto hii hapa na imeandikwa jina lake kweli.
Hizo hela kwanini asipewe babu yake akazitunza ina maana anajiona muaminifu zaidi ya huyo mzee ambaye ni mjukuu wake?haingii akilini kabisa hii!
kwani na kenyewe kanakufa lini kwanza hizi stress zituondoke?Toka enzi za msiba huyo mtu sina hamu naye
nasubiri kife na chenyewe nacho wakipige helaHuyu mzee Steve Mengele mwizi sana wa rambirambi!