Steve Nyerere awajibu wanaolalamika pesa za msiba wa Masogange

Pesa za michango ya misiba zinakuwaga na changamoto sn,nakumbuka msiba wa baba yangu msimamizi wa michango alikuwa ndugu kbs lkn alizingua
 
Yule jamaa mbona alihojiwa na hakuzimia.
Alisimama kwa muda mrefu miguu ikakosa nguvu. Wakambeba mzobe mzobe. Ila hakuzimia alithibitisha
 
hahahahhahahahahahahahaa............Mr Rambi Rambi kwenye ubora wake hakika huyu jamaa ni joka la makengeza kwenye sekta hiii
 
Yule jamaa mbona alihojiwa na hakuzimia.
Alisimama kwa muda mrefu miguu ikakosa nguvu. Wakambeba mzobe mzobe. Ila hakuzimia alithibitisha
ila kitendo cha kulala na yule mama kitanda kimoja bila kumjaza NI HUZUNI KUU..... DEMU MKALI KAMA YULE UNAACHAJE KUMJAZI....
 
UKIMWI mbaya jamani,Stive tayari keshapiga "kenchi"!!!!
 
ila si meneja wa mtoto na kwa walivyo hawa gongo muvi wasikae karibu na katoto chetu wasije waka mlulu maiko bure hawachelewi hawa kukuza mimea na kuanza kuivuna kabla haijakomaa
Katoto kana miaka 11, miaka miwili ijayo wanaweza anza kukala kwa chumvi
 
Huyu mzee kakaa kitapeli. Kataja ngapi zilichangwa?
 
Steve Nyerere na yule jamaa wa humu JF aliepiga rambirambi za Mwangosi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…