Steve Nyerere kaidhalilisha CCM

Steve Nyerere kaidhalilisha CCM

STEVE NYERERE KAKIDHALILISHA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM), BUNGE na TUME YA UCHAGUZI WAOMBE RADHI

Anaandika Reuben Mchome

0655331933.

Kwani kuna wabunge waliopo Bungeni kwa VIMEMO?

Kwani kuna wabunge waliopo Bungeni na ushindi wao ukiwa ni wa MASHAKA?

Mshindi wa SITA kuongoza Jimbo (MBUNGE) ni kosa au ni dhambi?

Na kama mshindi wa SITA kuongoza Jimbo ni kosa au ni dhambi, hilo kosa au hiyo dhambi ni ya mbunge au Chama (CCM) kilichompitisha?

Baadhi ya Vitabu Vitakatifu vinasema kila jambo duniani lina majira yake na nyakati zake, kuna wakati wa kunena na kuna wakati wa kunyamaza, kuna wakati wa kupandana na kuna wakati wa kuvuna, kuna wakati wa kucheka na kuna wakati wa kulia, kuna wakati wa kuzaliwa na kuna wakati wa kufa, kuna wakati wa kuomboleza na kuna wakati wa kucheza, kuna wakati wa kutupa mawe na kuna wakati wa kuyakusanya mawe.

Ukiangalia maana halisi ya mistari hii kwenye Vitabu Vitakatifu ni moja tuu, kutukumbusha ama kutufundisha sisi wanadamu kufanya mambo yetu kwa usahihi wa majira husika, ukifanya jambo kwenye majira yasiyo sahihi basi kilio chake kitakuwa kikubwa.

Wataalamu wa kupanda majukwaani ni kufungua vinywa vyao na kuwasha vipaza sauti na kupiga maneno mbele za watu wanasema kila neno linalotoka kinywani mwa mwanadamu lina HASI au CHANYA yake. (Epuka sana HASI)

Kwa takribani wiki moja sasa, mitandao ya kijamii imetawaliwa na kelele, mizaha, kejeli, vibweka, majigambo, kukosoana na kuvurugana juu ya msemaji wa Shirikisho la Wanamuziki Tanzania.

Baada ya kufuatilia swaga za hapa na pale tangu sakata hili lilipoanza pale Bodi ya Shirikisho hilo lilipomtangaza Steve Nyerere (Steve Akeeee) kuwa Msemaji wa Shirikisho hilo, tumeshuhudia mengi kutoka kwa wanamuziki wa Tanzania ikiwa ni pamoja na wengine kuunga mkono uteuzi wake huku wengine wakipinga vikali uteuzi huo.

Steve Nyerere amekuwa ni mtu wa kuzungumza sana hata pale ambapo hapaswi kuzungumza (haangalii majira wala nyakati) leo nimemsikia akizungumza kwenye mkutano wake na waandishi wa habari akiwajibu wanamuziki ambao wameonyesha kutomkubali au kutokuunga mkono uteuzi wake wa kuwa msemaji wa Shirikisho la Muziki Tanzania.

Leo Steve Nyerere umeongea bila kuangalia MAJIRA na NYAKATI, leo ulipaswa kuzungumza KIMUZIKI zaidi na sio KISIASA kama ulivyofanya, na mbaya zaidi umemshambulia mtu lakini kupitia kwenye chama, chama ambacho wewe ni mwanachama wake na ndicho chama tawala na chama chenye wabunge wengi Bungeni.

Mimi sitazungumzia zaidi Muziki, mimi nitazungumzia kauli zako kwenye maslahi mapana ya Taifa.

Mwaka 2020 Steve Nyerere uligombea Ubunge kupitia Chama Tawala CCM lakini kura zako hazikutosha kwenye ngazi za kura za maoni, Steve Nyerere wewe unajua taratibu na kanuni za chama chako kuhusu mwanachama mwenye dukuduku juu ya maamuzi yoyote yaliyofanywa na chama juu ya mwanachama yoyote, Steve Nyerere unajua majukwaa halali ya kuzungumzia mambo ya chama chako.

Steve Nyerere, leo hii kuhoji kama mbunge halali wa CCM alishinda au hakushinda wakati Chama kinatambua kwamba ameshinda, Tume ya Uchaguzi imemtangaza na kumtambua kama mshindi wa Uchaguzi, Bunge likampokea na kumuapisha kama Mbunge halali wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, huku ni kukikosea chama chako na viongozi wake lakini pia kulikosea Bunge pamoja na Tume ya Uchaguzi, WAOMBE RADHI.

Steve Nyerere, leo hii kusema hamtaki wabunge wa vimemo, unataka kuiambia nini dunia? Unataka kusema kuna wabunge wapo Bungeni kwa vimemo? Na kama ni kweli, hivyo vimemo vilitoka wapi kwenda kwa nani? Wanaotangaza mshindi wa kiti cha Ubunge ni Tume ya Uchaguzi, Je unataka kusema Tume ya Uchaguzi ilipokea vimemo kutangaza washindi wa viti vya ubunge? Hapa umeikosea sana Tume ya Uchaguzi, WAOMBE RADHI.

Steve Nyerere, leo unahoji mshindi wa SITA wa CCM kuongoza jimbo? Ni wanachama wangapi wa CCM walioongoza kwenye kura za maoni na hawakupitishwa na chama? Kwahiyo unataka kutuambia kwamba viongozi wa CCM walifanya makosa katika hili? Hapa umekikosea sana CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) na Mwenyekiti wake pamoja na uongozi mzima wa chama. WAOMBE RADHI.

Wahenga walisema mdomo uliponza kichwa.

Mimi kazi yangu ni Uandishi wa Habari, pamoja na majukumu na kazi zingine zote nilizonazo kwa mujibu wa sheria na katiba kama muandishi wa habari ni pamoja na Kuielimisha jamii na Kuikosoa jamii, nimetimiza majukumu yangu ya kisheria na kikatiba.

MY TAKE: Chama hiki kimekubuhu katika kulea mbumbumbu na kuwapa platform za kuzungumza juu ya wapinzani wao kwa vile hawana aibu mfano pia ni Kibajaj na Msukuma. Lakini hayo ni mabomu kwani hayana uwezo wa kujitambua nilipukie wapi yanaweza kujilipua hata ndani mwao.
Umeandika meengi ila hiyo mwana FA unayemtetea mbona haitendei heshima ya uheshimiwa wake.

Kwenye ile Clip ametamka wazi kwamba yeye ni mhuni na upande alioko kuna wahuni wengi kuliko upande wa uongozi wa bodi.

Akiendelea akasema...hawataki kulazimishwa kuutumia uhuni wao ila ikibidi watafanya...

Huyo ni mbunge aliyeko ndani ya bunge.
 
Kwani kusema ukweli ni kudhalilisha...????

Na kama huu sio wakati wa kusema,, ni lini kitafanya tujue wakati wa kusema umefika....

Infact with time, kitu kitakaa mahala pake.. Only Karma knows
 
Steve amemfunua peupe mwendazake.

Hivi ndivyo alivyo haribu uchaguzi wetu.
 
Umeandika meengi ila hiyo mwana FA unayemtetea mbona haitendei heshima ya uheshimiwa wake.

Kwenye ile Clip ametamka wazi kwamba yeye ni mhuni na upande alioko kuna wahuni wengi kuliko upande wa uongozi wa bodi.

Akiendelea akasema...hawataki kulazimishwa kuutumia uhuni wao ila ikibidi watafanya...

Huyo ni mbunge aliyeko ndani ya bunge.
Wabunge wa kuwekwa kwa shughuli maalum.
 
Kweli kabisa, magumashi yalikuwa mengi sana mwaka juzi. Mungu tu ndo anajua. Acha wtafunane, Steve ni wa CCM na mbunge wa Mchongo ni wa CCM.
Na hiyo ndo inanihakikishia kabisa mwendazake hivi sasa anaogelea ndani ya moto usio zima milele
 
STEVE NYERERE KAKIDHALILISHA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM), BUNGE na TUME YA UCHAGUZI WAOMBE RADHI

Anaandika Reuben Mchome

0655331933.

Kwani kuna wabunge waliopo Bungeni kwa VIMEMO?

Kwani kuna wabunge waliopo Bungeni na ushindi wao ukiwa ni wa MASHAKA?

Mshindi wa SITA kuongoza Jimbo (MBUNGE) ni kosa au ni dhambi?

Na kama mshindi wa SITA kuongoza Jimbo ni kosa au ni dhambi, hilo kosa au hiyo dhambi ni ya mbunge au Chama (CCM) kilichompitisha?

Baadhi ya Vitabu Vitakatifu vinasema kila jambo duniani lina majira yake na nyakati zake, kuna wakati wa kunena na kuna wakati wa kunyamaza, kuna wakati wa kupandana na kuna wakati wa kuvuna, kuna wakati wa kucheka na kuna wakati wa kulia, kuna wakati wa kuzaliwa na kuna wakati wa kufa, kuna wakati wa kuomboleza na kuna wakati wa kucheza, kuna wakati wa kutupa mawe na kuna wakati wa kuyakusanya mawe.

Ukiangalia maana halisi ya mistari hii kwenye Vitabu Vitakatifu ni moja tuu, kutukumbusha ama kutufundisha sisi wanadamu kufanya mambo yetu kwa usahihi wa majira husika, ukifanya jambo kwenye majira yasiyo sahihi basi kilio chake kitakuwa kikubwa.

Wataalamu wa kupanda majukwaani ni kufungua vinywa vyao na kuwasha vipaza sauti na kupiga maneno mbele za watu wanasema kila neno linalotoka kinywani mwa mwanadamu lina HASI au CHANYA yake. (Epuka sana HASI)

Kwa takribani wiki moja sasa, mitandao ya kijamii imetawaliwa na kelele, mizaha, kejeli, vibweka, majigambo, kukosoana na kuvurugana juu ya msemaji wa Shirikisho la Wanamuziki Tanzania.

Baada ya kufuatilia swaga za hapa na pale tangu sakata hili lilipoanza pale Bodi ya Shirikisho hilo lilipomtangaza Steve Nyerere (Steve Akeeee) kuwa Msemaji wa Shirikisho hilo, tumeshuhudia mengi kutoka kwa wanamuziki wa Tanzania ikiwa ni pamoja na wengine kuunga mkono uteuzi wake huku wengine wakipinga vikali uteuzi huo.

Steve Nyerere amekuwa ni mtu wa kuzungumza sana hata pale ambapo hapaswi kuzungumza (haangalii majira wala nyakati) leo nimemsikia akizungumza kwenye mkutano wake na waandishi wa habari akiwajibu wanamuziki ambao wameonyesha kutomkubali au kutokuunga mkono uteuzi wake wa kuwa msemaji wa Shirikisho la Muziki Tanzania.

Leo Steve Nyerere umeongea bila kuangalia MAJIRA na NYAKATI, leo ulipaswa kuzungumza KIMUZIKI zaidi na sio KISIASA kama ulivyofanya, na mbaya zaidi umemshambulia mtu lakini kupitia kwenye chama, chama ambacho wewe ni mwanachama wake na ndicho chama tawala na chama chenye wabunge wengi Bungeni.

Mimi sitazungumzia zaidi Muziki, mimi nitazungumzia kauli zako kwenye maslahi mapana ya Taifa.

Mwaka 2020 Steve Nyerere uligombea Ubunge kupitia Chama Tawala CCM lakini kura zako hazikutosha kwenye ngazi za kura za maoni, Steve Nyerere wewe unajua taratibu na kanuni za chama chako kuhusu mwanachama mwenye dukuduku juu ya maamuzi yoyote yaliyofanywa na chama juu ya mwanachama yoyote, Steve Nyerere unajua majukwaa halali ya kuzungumzia mambo ya chama chako.

Steve Nyerere, leo hii kuhoji kama mbunge halali wa CCM alishinda au hakushinda wakati Chama kinatambua kwamba ameshinda, Tume ya Uchaguzi imemtangaza na kumtambua kama mshindi wa Uchaguzi, Bunge likampokea na kumuapisha kama Mbunge halali wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, huku ni kukikosea chama chako na viongozi wake lakini pia kulikosea Bunge pamoja na Tume ya Uchaguzi, WAOMBE RADHI.

Steve Nyerere, leo hii kusema hamtaki wabunge wa vimemo, unataka kuiambia nini dunia? Unataka kusema kuna wabunge wapo Bungeni kwa vimemo? Na kama ni kweli, hivyo vimemo vilitoka wapi kwenda kwa nani? Wanaotangaza mshindi wa kiti cha Ubunge ni Tume ya Uchaguzi, Je unataka kusema Tume ya Uchaguzi ilipokea vimemo kutangaza washindi wa viti vya ubunge? Hapa umeikosea sana Tume ya Uchaguzi, WAOMBE RADHI.

Steve Nyerere, leo unahoji mshindi wa SITA wa CCM kuongoza jimbo? Ni wanachama wangapi wa CCM walioongoza kwenye kura za maoni na hawakupitishwa na chama? Kwahiyo unataka kutuambia kwamba viongozi wa CCM walifanya makosa katika hili? Hapa umekikosea sana CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) na Mwenyekiti wake pamoja na uongozi mzima wa chama. WAOMBE RADHI.

Wahenga walisema mdomo uliponza kichwa.

Mimi kazi yangu ni Uandishi wa Habari, pamoja na majukumu na kazi zingine zote nilizonazo kwa mujibu wa sheria na katiba kama muandishi wa habari ni pamoja na Kuielimisha jamii na Kuikosoa jamii, nimetimiza majukumu yangu ya kisheria na kikatiba.

MY TAKE: Chama hiki kimekubuhu katika kulea mbumbumbu na kuwapa platform za kuzungumza juu ya wapinzani wao kwa vile hawana aibu mfano pia ni Kibajaj na Msukuma. Lakini hayo ni mabomu kwani hayana uwezo wa kujitambua nilipukie wapi yanaweza kujilipua hata ndani mwao.
Mlaumuni Stive kwa lingine lakini hili la Wabunge wa VIMEMO 100% correct.
 
wata kulana wenyewe.

Kwa vile wasanii bila ccm watakosa nguvu.

haya yote ni ccm na watu wake.

sawa mwanga kumtuhuumu mchawi
 
STEVE NYERERE KAKIDHALILISHA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM), BUNGE na TUME YA UCHAGUZI WAOMBE RADHI

Anaandika Reuben Mchome

0655331933.

Kwani kuna wabunge waliopo Bungeni kwa VIMEMO?

Kwani kuna wabunge waliopo Bungeni na ushindi wao ukiwa ni wa MASHAKA?

Mshindi wa SITA kuongoza Jimbo (MBUNGE) ni kosa au ni dhambi?

Na kama mshindi wa SITA kuongoza Jimbo ni kosa au ni dhambi, hilo kosa au hiyo dhambi ni ya mbunge au Chama (CCM) kilichompitisha?

Baadhi ya Vitabu Vitakatifu vinasema kila jambo duniani lina majira yake na nyakati zake, kuna wakati wa kunena na kuna wakati wa kunyamaza, kuna wakati wa kupandana na kuna wakati wa kuvuna, kuna wakati wa kucheka na kuna wakati wa kulia, kuna wakati wa kuzaliwa na kuna wakati wa kufa, kuna wakati wa kuomboleza na kuna wakati wa kucheza, kuna wakati wa kutupa mawe na kuna wakati wa kuyakusanya mawe.

Ukiangalia maana halisi ya mistari hii kwenye Vitabu Vitakatifu ni moja tuu, kutukumbusha ama kutufundisha sisi wanadamu kufanya mambo yetu kwa usahihi wa majira husika, ukifanya jambo kwenye majira yasiyo sahihi basi kilio chake kitakuwa kikubwa.

Wataalamu wa kupanda majukwaani ni kufungua vinywa vyao na kuwasha vipaza sauti na kupiga maneno mbele za watu wanasema kila neno linalotoka kinywani mwa mwanadamu lina HASI au CHANYA yake. (Epuka sana HASI)

Kwa takribani wiki moja sasa, mitandao ya kijamii imetawaliwa na kelele, mizaha, kejeli, vibweka, majigambo, kukosoana na kuvurugana juu ya msemaji wa Shirikisho la Wanamuziki Tanzania.

Baada ya kufuatilia swaga za hapa na pale tangu sakata hili lilipoanza pale Bodi ya Shirikisho hilo lilipomtangaza Steve Nyerere (Steve Akeeee) kuwa Msemaji wa Shirikisho hilo, tumeshuhudia mengi kutoka kwa wanamuziki wa Tanzania ikiwa ni pamoja na wengine kuunga mkono uteuzi wake huku wengine wakipinga vikali uteuzi huo.

Steve Nyerere amekuwa ni mtu wa kuzungumza sana hata pale ambapo hapaswi kuzungumza (haangalii majira wala nyakati) leo nimemsikia akizungumza kwenye mkutano wake na waandishi wa habari akiwajibu wanamuziki ambao wameonyesha kutomkubali au kutokuunga mkono uteuzi wake wa kuwa msemaji wa Shirikisho la Muziki Tanzania.

Leo Steve Nyerere umeongea bila kuangalia MAJIRA na NYAKATI, leo ulipaswa kuzungumza KIMUZIKI zaidi na sio KISIASA kama ulivyofanya, na mbaya zaidi umemshambulia mtu lakini kupitia kwenye chama, chama ambacho wewe ni mwanachama wake na ndicho chama tawala na chama chenye wabunge wengi Bungeni.

Mimi sitazungumzia zaidi Muziki, mimi nitazungumzia kauli zako kwenye maslahi mapana ya Taifa.

Mwaka 2020 Steve Nyerere uligombea Ubunge kupitia Chama Tawala CCM lakini kura zako hazikutosha kwenye ngazi za kura za maoni, Steve Nyerere wewe unajua taratibu na kanuni za chama chako kuhusu mwanachama mwenye dukuduku juu ya maamuzi yoyote yaliyofanywa na chama juu ya mwanachama yoyote, Steve Nyerere unajua majukwaa halali ya kuzungumzia mambo ya chama chako.

Steve Nyerere, leo hii kuhoji kama mbunge halali wa CCM alishinda au hakushinda wakati Chama kinatambua kwamba ameshinda, Tume ya Uchaguzi imemtangaza na kumtambua kama mshindi wa Uchaguzi, Bunge likampokea na kumuapisha kama Mbunge halali wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, huku ni kukikosea chama chako na viongozi wake lakini pia kulikosea Bunge pamoja na Tume ya Uchaguzi, WAOMBE RADHI.

Steve Nyerere, leo hii kusema hamtaki wabunge wa vimemo, unataka kuiambia nini dunia? Unataka kusema kuna wabunge wapo Bungeni kwa vimemo? Na kama ni kweli, hivyo vimemo vilitoka wapi kwenda kwa nani? Wanaotangaza mshindi wa kiti cha Ubunge ni Tume ya Uchaguzi, Je unataka kusema Tume ya Uchaguzi ilipokea vimemo kutangaza washindi wa viti vya ubunge? Hapa umeikosea sana Tume ya Uchaguzi, WAOMBE RADHI.

Steve Nyerere, leo unahoji mshindi wa SITA wa CCM kuongoza jimbo? Ni wanachama wangapi wa CCM walioongoza kwenye kura za maoni na hawakupitishwa na chama? Kwahiyo unataka kutuambia kwamba viongozi wa CCM walifanya makosa katika hili? Hapa umekikosea sana CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) na Mwenyekiti wake pamoja na uongozi mzima wa chama. WAOMBE RADHI.

Wahenga walisema mdomo uliponza kichwa.

Mimi kazi yangu ni Uandishi wa Habari, pamoja na majukumu na kazi zingine zote nilizonazo kwa mujibu wa sheria na katiba kama muandishi wa habari ni pamoja na Kuielimisha jamii na Kuikosoa jamii, nimetimiza majukumu yangu ya kisheria na kikatiba.

MY TAKE: Chama hiki kimekubuhu katika kulea mbumbumbu na kuwapa platform za kuzungumza juu ya wapinzani wao kwa vile hawana aibu mfano pia ni Kibajaj na Msukuma. Lakini hayo ni mabomu kwani hayana uwezo wa kujitambua nilipukie wapi yanaweza kujilipua hata ndani mwao.
Mkuu salaam.Usisahau maandiko pia yanasema ukweli utakuweka huru,Na hiki ndicho alichokifanya dogo.

Ukweli ni silaha inayohitajika popote /wakati wote maana ndo chanzo cha haki inayozaa amani.

Ukweli 2019/2020 hapakuwa na chaguzi bali mazingaumbwe/kiini macho.
 
STEVE NYERERE KAKIDHALILISHA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM), BUNGE na TUME YA UCHAGUZI WAOMBE RADHI

Anaandika Reuben Mchome

0655331933.

Kwani kuna wabunge waliopo Bungeni kwa VIMEMO?

Kwani kuna wabunge waliopo Bungeni na ushindi wao ukiwa ni wa MASHAKA?

Mshindi wa SITA kuongoza Jimbo (MBUNGE) ni kosa au ni dhambi?

Na kama mshindi wa SITA kuongoza Jimbo ni kosa au ni dhambi, hilo kosa au hiyo dhambi ni ya mbunge au Chama (CCM) kilichompitisha?

Baadhi ya Vitabu Vitakatifu vinasema kila jambo duniani lina majira yake na nyakati zake, kuna wakati wa kunena na kuna wakati wa kunyamaza, kuna wakati wa kupandana na kuna wakati wa kuvuna, kuna wakati wa kucheka na kuna wakati wa kulia, kuna wakati wa kuzaliwa na kuna wakati wa kufa, kuna wakati wa kuomboleza na kuna wakati wa kucheza, kuna wakati wa kutupa mawe na kuna wakati wa kuyakusanya mawe.

Ukiangalia maana halisi ya mistari hii kwenye Vitabu Vitakatifu ni moja tuu, kutukumbusha ama kutufundisha sisi wanadamu kufanya mambo yetu kwa usahihi wa majira husika, ukifanya jambo kwenye majira yasiyo sahihi basi kilio chake kitakuwa kikubwa.

Wataalamu wa kupanda majukwaani ni kufungua vinywa vyao na kuwasha vipaza sauti na kupiga maneno mbele za watu wanasema kila neno linalotoka kinywani mwa mwanadamu lina HASI au CHANYA yake. (Epuka sana HASI)

Kwa takribani wiki moja sasa, mitandao ya kijamii imetawaliwa na kelele, mizaha, kejeli, vibweka, majigambo, kukosoana na kuvurugana juu ya msemaji wa Shirikisho la Wanamuziki Tanzania.

Baada ya kufuatilia swaga za hapa na pale tangu sakata hili lilipoanza pale Bodi ya Shirikisho hilo lilipomtangaza Steve Nyerere (Steve Akeeee) kuwa Msemaji wa Shirikisho hilo, tumeshuhudia mengi kutoka kwa wanamuziki wa Tanzania ikiwa ni pamoja na wengine kuunga mkono uteuzi wake huku wengine wakipinga vikali uteuzi huo.

Steve Nyerere amekuwa ni mtu wa kuzungumza sana hata pale ambapo hapaswi kuzungumza (haangalii majira wala nyakati) leo nimemsikia akizungumza kwenye mkutano wake na waandishi wa habari akiwajibu wanamuziki ambao wameonyesha kutomkubali au kutokuunga mkono uteuzi wake wa kuwa msemaji wa Shirikisho la Muziki Tanzania.

Leo Steve Nyerere umeongea bila kuangalia MAJIRA na NYAKATI, leo ulipaswa kuzungumza KIMUZIKI zaidi na sio KISIASA kama ulivyofanya, na mbaya zaidi umemshambulia mtu lakini kupitia kwenye chama, chama ambacho wewe ni mwanachama wake na ndicho chama tawala na chama chenye wabunge wengi Bungeni.

Mimi sitazungumzia zaidi Muziki, mimi nitazungumzia kauli zako kwenye maslahi mapana ya Taifa.

Mwaka 2020 Steve Nyerere uligombea Ubunge kupitia Chama Tawala CCM lakini kura zako hazikutosha kwenye ngazi za kura za maoni, Steve Nyerere wewe unajua taratibu na kanuni za chama chako kuhusu mwanachama mwenye dukuduku juu ya maamuzi yoyote yaliyofanywa na chama juu ya mwanachama yoyote, Steve Nyerere unajua majukwaa halali ya kuzungumzia mambo ya chama chako.

Steve Nyerere, leo hii kuhoji kama mbunge halali wa CCM alishinda au hakushinda wakati Chama kinatambua kwamba ameshinda, Tume ya Uchaguzi imemtangaza na kumtambua kama mshindi wa Uchaguzi, Bunge likampokea na kumuapisha kama Mbunge halali wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, huku ni kukikosea chama chako na viongozi wake lakini pia kulikosea Bunge pamoja na Tume ya Uchaguzi, WAOMBE RADHI.

Steve Nyerere, leo hii kusema hamtaki wabunge wa vimemo, unataka kuiambia nini dunia? Unataka kusema kuna wabunge wapo Bungeni kwa vimemo? Na kama ni kweli, hivyo vimemo vilitoka wapi kwenda kwa nani? Wanaotangaza mshindi wa kiti cha Ubunge ni Tume ya Uchaguzi, Je unataka kusema Tume ya Uchaguzi ilipokea vimemo kutangaza washindi wa viti vya ubunge? Hapa umeikosea sana Tume ya Uchaguzi, WAOMBE RADHI.

Steve Nyerere, leo unahoji mshindi wa SITA wa CCM kuongoza jimbo? Ni wanachama wangapi wa CCM walioongoza kwenye kura za maoni na hawakupitishwa na chama? Kwahiyo unataka kutuambia kwamba viongozi wa CCM walifanya makosa katika hili? Hapa umekikosea sana CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) na Mwenyekiti wake pamoja na uongozi mzima wa chama. WAOMBE RADHI.

Wahenga walisema mdomo uliponza kichwa.

Mimi kazi yangu ni Uandishi wa Habari, pamoja na majukumu na kazi zingine zote nilizonazo kwa mujibu wa sheria na katiba kama muandishi wa habari ni pamoja na Kuielimisha jamii na Kuikosoa jamii, nimetimiza majukumu yangu ya kisheria na kikatiba.

MY TAKE: Chama hiki kimekubuhu katika kulea mbumbumbu na kuwapa platform za kuzungumza juu ya wapinzani wao kwa vile hawana aibu mfano pia ni Kibajaj na Msukuma. Lakini hayo ni mabomu kwani hayana uwezo wa kujitambua nilipukie wapi yanaweza kujilipua hata ndani mwao.
CCM wanavuna walichopanda.Huu ni mwanzo mavuno ni mengi subiria mkuu.
 
STEVE NYERERE KAKIDHALILISHA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM), BUNGE na TUME YA UCHAGUZI WAOMBE RADHI

Anaandika Reuben Mchome

0655331933.

Kwani kuna wabunge waliopo Bungeni kwa VIMEMO?

Kwani kuna wabunge waliopo Bungeni na ushindi wao ukiwa ni wa MASHAKA?

Mshindi wa SITA kuongoza Jimbo (MBUNGE) ni kosa au ni dhambi?

Na kama mshindi wa SITA kuongoza Jimbo ni kosa au ni dhambi, hilo kosa au hiyo dhambi ni ya mbunge au Chama (CCM) kilichompitisha?

Baadhi ya Vitabu Vitakatifu vinasema kila jambo duniani lina majira yake na nyakati zake, kuna wakati wa kunena na kuna wakati wa kunyamaza, kuna wakati wa kupandana na kuna wakati wa kuvuna, kuna wakati wa kucheka na kuna wakati wa kulia, kuna wakati wa kuzaliwa na kuna wakati wa kufa, kuna wakati wa kuomboleza na kuna wakati wa kucheza, kuna wakati wa kutupa mawe na kuna wakati wa kuyakusanya mawe.

Ukiangalia maana halisi ya mistari hii kwenye Vitabu Vitakatifu ni moja tuu, kutukumbusha ama kutufundisha sisi wanadamu kufanya mambo yetu kwa usahihi wa majira husika, ukifanya jambo kwenye majira yasiyo sahihi basi kilio chake kitakuwa kikubwa.

Wataalamu wa kupanda majukwaani ni kufungua vinywa vyao na kuwasha vipaza sauti na kupiga maneno mbele za watu wanasema kila neno linalotoka kinywani mwa mwanadamu lina HASI au CHANYA yake. (Epuka sana HASI)

Kwa takribani wiki moja sasa, mitandao ya kijamii imetawaliwa na kelele, mizaha, kejeli, vibweka, majigambo, kukosoana na kuvurugana juu ya msemaji wa Shirikisho la Wanamuziki Tanzania.

Baada ya kufuatilia swaga za hapa na pale tangu sakata hili lilipoanza pale Bodi ya Shirikisho hilo lilipomtangaza Steve Nyerere (Steve Akeeee) kuwa Msemaji wa Shirikisho hilo, tumeshuhudia mengi kutoka kwa wanamuziki wa Tanzania ikiwa ni pamoja na wengine kuunga mkono uteuzi wake huku wengine wakipinga vikali uteuzi huo.

Steve Nyerere amekuwa ni mtu wa kuzungumza sana hata pale ambapo hapaswi kuzungumza (haangalii majira wala nyakati) leo nimemsikia akizungumza kwenye mkutano wake na waandishi wa habari akiwajibu wanamuziki ambao wameonyesha kutomkubali au kutokuunga mkono uteuzi wake wa kuwa msemaji wa Shirikisho la Muziki Tanzania.

Leo Steve Nyerere umeongea bila kuangalia MAJIRA na NYAKATI, leo ulipaswa kuzungumza KIMUZIKI zaidi na sio KISIASA kama ulivyofanya, na mbaya zaidi umemshambulia mtu lakini kupitia kwenye chama, chama ambacho wewe ni mwanachama wake na ndicho chama tawala na chama chenye wabunge wengi Bungeni.

Mimi sitazungumzia zaidi Muziki, mimi nitazungumzia kauli zako kwenye maslahi mapana ya Taifa.

Mwaka 2020 Steve Nyerere uligombea Ubunge kupitia Chama Tawala CCM lakini kura zako hazikutosha kwenye ngazi za kura za maoni, Steve Nyerere wewe unajua taratibu na kanuni za chama chako kuhusu mwanachama mwenye dukuduku juu ya maamuzi yoyote yaliyofanywa na chama juu ya mwanachama yoyote, Steve Nyerere unajua majukwaa halali ya kuzungumzia mambo ya chama chako.

Steve Nyerere, leo hii kuhoji kama mbunge halali wa CCM alishinda au hakushinda wakati Chama kinatambua kwamba ameshinda, Tume ya Uchaguzi imemtangaza na kumtambua kama mshindi wa Uchaguzi, Bunge likampokea na kumuapisha kama Mbunge halali wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, huku ni kukikosea chama chako na viongozi wake lakini pia kulikosea Bunge pamoja na Tume ya Uchaguzi, WAOMBE RADHI.

Steve Nyerere, leo hii kusema hamtaki wabunge wa vimemo, unataka kuiambia nini dunia? Unataka kusema kuna wabunge wapo Bungeni kwa vimemo? Na kama ni kweli, hivyo vimemo vilitoka wapi kwenda kwa nani? Wanaotangaza mshindi wa kiti cha Ubunge ni Tume ya Uchaguzi, Je unataka kusema Tume ya Uchaguzi ilipokea vimemo kutangaza washindi wa viti vya ubunge? Hapa umeikosea sana Tume ya Uchaguzi, WAOMBE RADHI.

Steve Nyerere, leo unahoji mshindi wa SITA wa CCM kuongoza jimbo? Ni wanachama wangapi wa CCM walioongoza kwenye kura za maoni na hawakupitishwa na chama? Kwahiyo unataka kutuambia kwamba viongozi wa CCM walifanya makosa katika hili? Hapa umekikosea sana CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) na Mwenyekiti wake pamoja na uongozi mzima wa chama. WAOMBE RADHI.

Wahenga walisema mdomo uliponza kichwa.

Mimi kazi yangu ni Uandishi wa Habari, pamoja na majukumu na kazi zingine zote nilizonazo kwa mujibu wa sheria na katiba kama muandishi wa habari ni pamoja na Kuielimisha jamii na Kuikosoa jamii, nimetimiza majukumu yangu ya kisheria na kikatiba.

MY TAKE: Chama hiki kimekubuhu katika kulea mbumbumbu na kuwapa platform za kuzungumza juu ya wapinzani wao kwa vile hawana aibu mfano pia ni Kibajaj na Msukuma. Lakini hayo ni mabomu kwani hayana uwezo wa kujitambua nilipukie wapi yanaweza kujilipua hata ndani mwao.
Hakuna kuomba radhi. Haukuwa uchaguzi bali uchafuzi, au tuongeze sauti!!!!!!!!
 
STEVE NYERERE KAKIDHALILISHA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM), BUNGE na TUME YA UCHAGUZI WAOMBE RADHI

Anaandika Reuben Mchome

0655331933.

Kwani kuna wabunge waliopo Bungeni kwa VIMEMO?

Kwani kuna wabunge waliopo Bungeni na ushindi wao ukiwa ni wa MASHAKA?

Mshindi wa SITA kuongoza Jimbo (MBUNGE) ni kosa au ni dhambi?

Na kama mshindi wa SITA kuongoza Jimbo ni kosa au ni dhambi, hilo kosa au hiyo dhambi ni ya mbunge au Chama (CCM) kilichompitisha?

Baadhi ya Vitabu Vitakatifu vinasema kila jambo duniani lina majira yake na nyakati zake, kuna wakati wa kunena na kuna wakati wa kunyamaza, kuna wakati wa kupandana na kuna wakati wa kuvuna, kuna wakati wa kucheka na kuna wakati wa kulia, kuna wakati wa kuzaliwa na kuna wakati wa kufa, kuna wakati wa kuomboleza na kuna wakati wa kucheza, kuna wakati wa kutupa mawe na kuna wakati wa kuyakusanya mawe.

Ukiangalia maana halisi ya mistari hii kwenye Vitabu Vitakatifu ni moja tuu, kutukumbusha ama kutufundisha sisi wanadamu kufanya mambo yetu kwa usahihi wa majira husika, ukifanya jambo kwenye majira yasiyo sahihi basi kilio chake kitakuwa kikubwa.

Wataalamu wa kupanda majukwaani ni kufungua vinywa vyao na kuwasha vipaza sauti na kupiga maneno mbele za watu wanasema kila neno linalotoka kinywani mwa mwanadamu lina HASI au CHANYA yake. (Epuka sana HASI)

Kwa takribani wiki moja sasa, mitandao ya kijamii imetawaliwa na kelele, mizaha, kejeli, vibweka, majigambo, kukosoana na kuvurugana juu ya msemaji wa Shirikisho la Wanamuziki Tanzania.

Baada ya kufuatilia swaga za hapa na pale tangu sakata hili lilipoanza pale Bodi ya Shirikisho hilo lilipomtangaza Steve Nyerere (Steve Akeeee) kuwa Msemaji wa Shirikisho hilo, tumeshuhudia mengi kutoka kwa wanamuziki wa Tanzania ikiwa ni pamoja na wengine kuunga mkono uteuzi wake huku wengine wakipinga vikali uteuzi huo.

Steve Nyerere amekuwa ni mtu wa kuzungumza sana hata pale ambapo hapaswi kuzungumza (haangalii majira wala nyakati) leo nimemsikia akizungumza kwenye mkutano wake na waandishi wa habari akiwajibu wanamuziki ambao wameonyesha kutomkubali au kutokuunga mkono uteuzi wake wa kuwa msemaji wa Shirikisho la Muziki Tanzania.

Leo Steve Nyerere umeongea bila kuangalia MAJIRA na NYAKATI, leo ulipaswa kuzungumza KIMUZIKI zaidi na sio KISIASA kama ulivyofanya, na mbaya zaidi umemshambulia mtu lakini kupitia kwenye chama, chama ambacho wewe ni mwanachama wake na ndicho chama tawala na chama chenye wabunge wengi Bungeni.

Mimi sitazungumzia zaidi Muziki, mimi nitazungumzia kauli zako kwenye maslahi mapana ya Taifa.

Mwaka 2020 Steve Nyerere uligombea Ubunge kupitia Chama Tawala CCM lakini kura zako hazikutosha kwenye ngazi za kura za maoni, Steve Nyerere wewe unajua taratibu na kanuni za chama chako kuhusu mwanachama mwenye dukuduku juu ya maamuzi yoyote yaliyofanywa na chama juu ya mwanachama yoyote, Steve Nyerere unajua majukwaa halali ya kuzungumzia mambo ya chama chako.

Steve Nyerere, leo hii kuhoji kama mbunge halali wa CCM alishinda au hakushinda wakati Chama kinatambua kwamba ameshinda, Tume ya Uchaguzi imemtangaza na kumtambua kama mshindi wa Uchaguzi, Bunge likampokea na kumuapisha kama Mbunge halali wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, huku ni kukikosea chama chako na viongozi wake lakini pia kulikosea Bunge pamoja na Tume ya Uchaguzi, WAOMBE RADHI.

Steve Nyerere, leo hii kusema hamtaki wabunge wa vimemo, unataka kuiambia nini dunia? Unataka kusema kuna wabunge wapo Bungeni kwa vimemo? Na kama ni kweli, hivyo vimemo vilitoka wapi kwenda kwa nani? Wanaotangaza mshindi wa kiti cha Ubunge ni Tume ya Uchaguzi, Je unataka kusema Tume ya Uchaguzi ilipokea vimemo kutangaza washindi wa viti vya ubunge? Hapa umeikosea sana Tume ya Uchaguzi, WAOMBE RADHI.

Steve Nyerere, leo unahoji mshindi wa SITA wa CCM kuongoza jimbo? Ni wanachama wangapi wa CCM walioongoza kwenye kura za maoni na hawakupitishwa na chama? Kwahiyo unataka kutuambia kwamba viongozi wa CCM walifanya makosa katika hili? Hapa umekikosea sana CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) na Mwenyekiti wake pamoja na uongozi mzima wa chama. WAOMBE RADHI.

Wahenga walisema mdomo uliponza kichwa.

Mimi kazi yangu ni Uandishi wa Habari, pamoja na majukumu na kazi zingine zote nilizonazo kwa mujibu wa sheria na katiba kama muandishi wa habari ni pamoja na Kuielimisha jamii na Kuikosoa jamii, nimetimiza majukumu yangu ya kisheria na kikatiba.

MY TAKE: Chama hiki kimekubuhu katika kulea mbumbumbu na kuwapa platform za kuzungumza juu ya wapinzani wao kwa vile hawana aibu mfano pia ni Kibajaj na Msukuma. Lakini hayo ni mabomu kwani hayana uwezo wa kujitambua nilipukie wapi yanaweza kujilipua hata ndani mwao.
Nimesoma lkn sijaelewa ulichoancika
 
ccm hakijawahi kuacha kudhalilika kutokana na matendo yake ovu.

Steave yuko sahihi, wabunge wengi wa ccm walibebwa hawakushinda!

Kuna wabunge 19 (covid19) wapo bungeni bila ridhaa ya chama chao bali kwa 'kimemo' cha watesi
 
Back
Top Bottom