Steve Nyerere kaidhalilisha CCM

Steve hakujibu hoja amekimbilia kukashfu hisia za watu, vyama vya siasa na mamlaka halali. Hi imeonyesha mapungufu makubwa ya hekima na busara kwa kiongozi. Hafai hastahili_poor Kama siyo pua.
Kwanini hatutaki kuambiwa ukweli?
 
Hivi hapa ni pale alipotaka geuzwa bibi baada ya kufumaniwa na mke wa mtu au baada ya kukamatwa kula hela za michango ya msiba wa Kanumba?

Naona ni kitambo kidogo kutokana na ujana wake hapa pichani.
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Wewe unayejiita muandishi wa habari, tuanze na uchaguzi wa serikali za mitaa 2019, kwani ulikuwa ni uchaguzi? Wagombea wa vyama pinzani wanarudisha fomu za kugombea wanakamatwa na kuwekwa ndani pasi na makosa hadi muda wa kurudisha fomu unaisha ndo wanaachiwa, ubunge 2020 yale yale ya Wabunge wa vimemo. Steve yupo sawa kabisa kuna watu mule Bungeni hawan quality ya kuitwa Wabunge
 
Hio clip ndo ipi tena
 
Ukipigana na mtu unayemjua lazima upige pale panapomuuma wanajua vidonda vyao vilipo wacha wang'atane
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…