Steve Nyerere kasema atatoa ratiba ya msiba akifika Nairobi

Stefano bana, any way acha awe busy kwa kuwa movie zimeshakufa kifo cha kawaida.
 
Naona mambo hayaendi kama yalivyopangwa
 
kwani huyu mtoto ni nani hapa tanzania maana kila kona nasikia mtotoo huyu jamani wengine hatujui hebu tuambiane
Alikuwa boss wa acacia huyu ndo ilibidi agawe zile trillion na noah kwa kila mtanzania
 
Nairobi kaenda kwa boda boda, kufika mpakani kasahau passport anairudia kwanza...


Cc: mahondaw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…