Steve Nyerere kasema atatoa ratiba ya msiba akifika Nairobi

Steve Nyerere kasema atatoa ratiba ya msiba akifika Nairobi

36136720_1710645359031809_4225751196490530816_n.jpg
 
Stefano bana, any way acha awe busy kwa kuwa movie zimeshakufa kifo cha kawaida.
 
Naona mambo hayaendi kama yalivyopangwa
 
kwani huyu mtoto ni nani hapa tanzania maana kila kona nasikia mtotoo huyu jamani wengine hatujui hebu tuambiane
Alikuwa boss wa acacia huyu ndo ilibidi agawe zile trillion na noah kwa kila mtanzania
 
Nairobi kaenda kwa boda boda, kufika mpakani kasahau passport anairudia kwanza...


Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom