Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mtoto wa yeriko Nyerere yule, anayejifanya jasusi kumbe ni tapeli.Huyo Steve Nyerere ni mtoto wa baba wa Taifa Mwalimu Nyerere??
Kumekucha......!!Anaandika @stevenyerere2
“Nimekusikiliza mara 100 Sijakuelewa kabisa kabisa Kila saa Nasema hivi baada ya kutolewa baruti Simba Nani alikuokota Kitaaaaa Napata jibu Hers,..
Nikajiuliza Tena Hers hana Jema Nikajipa Jibu Binadamu Ameumbwa Na kusahau Samehe,....
Ikaenda Nikajiuliza Tena Yanga Ulitaka wakufanyie nini Maana wewe Ulikuwa Mfungwa kazi ya Yanga ni kuhakikisha Mfungwa Anakula Na analala jela nzuri, Hilo Hersi Alifanikiwa.,.,
Ila Nimecheka kumbe GAMONDI alikulia Bati sasa mbona ulikuwa unamsifia bonge la kocha kumbe hata number yake huna,...Inaumaga hiyo Unamkubali mtu kumbe yeye hataki hata kukuona,.
Nakukanya hata huyu kocha mpya Anayekuja Hakutaki kapata story zako long time broooo,...
Ningekuwa mimi ndio wewe ningesha Rudisha kadi ya Yanga mapema, Maaana wana Yanga Ukiwambia Hersi hafai Dua utakazo ombewa Balaaaaa,..”
#KitengeSports
😂😂😂Ni mtoto wa yeriko Nyerere yule, anayejifanya jasusi kumbe ni tapeli.
Au nikutembezee corporal punishment kwa niaba yao?HAKYAMUNGU??
We endelea tu.
We endelea tu.
Nyerere hawezi kuwa na mtoto wa kichawa. Huyo ni mtoto wa Mengele.Huyo Steve Nyerere ni mtoto wa baba wa Taifa Mwalimu Nyerere??
ID isikudanganye
Nitumie picha yako kwanzia kwenye shingo kuja chini
Kwani anasemaje.Manara Kama last born bwana,yeye analalamika lika kituu.
Anasema yafuatayo:Kwani anasemaje.