Steve Nyerere: Manara ulitupwa na Simba, Hersi akakuokota. Huna hata shukrani

Steve Nyerere: Manara ulitupwa na Simba, Hersi akakuokota. Huna hata shukrani

Anaandika @stevenyerere2

“Nimekusikiliza mara 100 Sijakuelewa kabisa kabisa Kila saa Nasema hivi baada ya kutolewa baruti Simba Nani alikuokota Kitaaaaa Napata jibu Hers,..

Nikajiuliza Tena Hers hana Jema Nikajipa Jibu Binadamu Ameumbwa Na kusahau Samehe,....

Ikaenda Nikajiuliza Tena Yanga Ulitaka wakufanyie nini Maana wewe Ulikuwa Mfungwa kazi ya Yanga ni kuhakikisha Mfungwa Anakula Na analala jela nzuri, Hilo Hersi Alifanikiwa.,.,

Ila Nimecheka kumbe GAMONDI alikulia Bati sasa mbona ulikuwa unamsifia bonge la kocha kumbe hata number yake huna,...Inaumaga hiyo Unamkubali mtu kumbe yeye hataki hata kukuona,.

Nakukanya hata huyu kocha mpya Anayekuja Hakutaki kapata story zako long time broooo,...

Ningekuwa mimi ndio wewe ningesha Rudisha kadi ya Yanga mapema, Maaana wana Yanga Ukiwambia Hersi hafai Dua utakazo ombewa Balaaaaa,..”

#KitengeSports
Kumekucha......!!
 
Wazee wakutuchanganya, safari hii sijui kuna taharuki gani mjini... Hadi mwezi uishe tutaimba Yanga hadi tukome
 
Kwani anasemaje.
Anasema yafuatayo:

1.Alifungiwa akiitetea club ya yanga lakini wao hawakumtetea alipofungiwa-At the same time anakiri kuwa alikua akilipwa mshahara kipindi chote alipo fungiwa.

2.Anasema mkataba wake na Yanga ulipaswa kuisha 2026 lakini hajui umeisitishwaje na hataki kuuliza,kisa amevuka level za kuuliza kwa Hersi.

3.Anasema yeye aliambiwa ni mwanachama tu wa Yanga,So Hersi Ndio alimkosea heshima yeye ni mtu mwenye influence Yanga.

3.Hana urafiki na Hersi sasa maana wanamiezi mitatu hawaongei,Hapo awali walikua wanapigiana simu Mlawa siku Mara 40 ?

4.GSM ni mtu muugwana sana,Hana shida na GSM anamlipa vizuri kuliko wachezaji na mtu yeyote kwenye mpira wa Tanzania.
 
Back
Top Bottom