Kumbe na wewe umesikia?Hahahahaha. ....romance!!!![emoji12] [emoji12]
[emoji23] [emoji23] [emoji123] [emoji118]Hawa jamaa wataambukiza watoto wetu kiingereza cha uongo kwa sababu ya nafasi yao ktk jamii, ngoja turekebishe mapema:
Steve: '..romance..', nadhan hapa alimaanisha 'rumours' ikitamkwa 'rumaz' yenye maana tetesi, umbea, nk.
TID: Huyu kiingereza chake kizuri, ila matamshi yanamsumbua kama mimi na watz wengine. Anatamka 'ai hevu bin woking..'. Badala ya kutamka 'woking' akimaanisha 'working' alipaswa atamke 'weking' yenye maana ya kufanya kitu/kazi maana ukiitamka 'woking' unamaanisha neno 'walking' na sio 'working'.
Kwaiyo wanapaswa kuchezea makofi kwa kuaribu lugha za watuHawa jamaa wataambukiza watoto wetu kiingereza cha uongo kwa sababu ya nafasi yao ktk jamii, ngoja turekebishe mapema:
Steve: '..romance..', nadhan hapa alimaanisha 'rumours' ikitamkwa 'rumaz' yenye maana tetesi, umbea, nk.
TID: Huyu kiingereza chake kizuri, ila matamshi yanamsumbua kama mimi na watz wengine. Anatamka 'ai hevu bin woking..'. Badala ya kutamka 'woking' akimaanisha 'working' alipaswa atamke 'weking' yenye maana ya kufanya kitu/kazi maana ukiitamka 'woking' unamaanisha neno 'walking' na sio 'working'.
UkuwadiKwa kazi gani?
Nyie wa kwenu wema sepetu... Mmeamua kumpa ulinzi kabisa... Nasikia mmekuwa team wema kwasasahuyo jamaa kweli hajielewi na ndio think tank wa chama cha kina bashite
Umbea na undumila kuwili ...Kwa kazi gani?
Good morning tichaaaHawa jamaa wataambukiza watoto wetu kiingereza cha uongo kwa sababu ya nafasi yao ktk jamii, ngoja turekebishe mapema:
Steve: '..romance..', nadhan hapa alimaanisha 'rumours' ikitamkwa 'rumaz' yenye maana tetesi, umbea, nk.
TID: Huyu kiingereza chake kizuri, ila matamshi yanamsumbua kama mimi na watz wengine. Anatamka 'ai hevu bin woking..'. Badala ya kutamka 'woking' akimaanisha 'working' alipaswa atamke 'weking' yenye maana ya kufanya kitu/kazi maana ukiitamka 'woking' unamaanisha neno 'walking' na sio 'working'.
UONGOUkweli kina TID wote bado wanaishi kwao, kasoro kaka mkubwa wa msasani, lakini wengine wote wanaishi home.
OkayUONGO