Steve Nyerere: TID anaishi kwa wazazi wake na akiona gari langu ananikimbilia kuniomba 5,000,

Steve Nyerere: TID anaishi kwa wazazi wake na akiona gari langu ananikimbilia kuniomba 5,000,

Ukweli kina TID wote bado wanaishi kwao, kasoro kaka mkubwa wa msasani, lakini wengine wote wanaishi home.
 
Hawa jamaa wataambukiza watoto wetu kiingereza cha uongo kwa sababu ya nafasi yao ktk jamii, ngoja turekebishe mapema:
Steve: '..romance..', nadhan hapa alimaanisha 'rumours' ikitamkwa 'rumaz' yenye maana tetesi, umbea, nk.
TID: Huyu kiingereza chake kizuri, ila matamshi yanamsumbua kama mimi na watz wengine. Anatamka 'ai hevu bin woking..'. Badala ya kutamka 'woking' akimaanisha 'working' alipaswa atamke 'weking' yenye maana ya kufanya kitu/kazi maana ukiitamka 'woking' unamaanisha neno 'walking' na sio 'working'.
[emoji23] [emoji23] [emoji123] [emoji118]
 
Hawa jamaa wataambukiza watoto wetu kiingereza cha uongo kwa sababu ya nafasi yao ktk jamii, ngoja turekebishe mapema:
Steve: '..romance..', nadhan hapa alimaanisha 'rumours' ikitamkwa 'rumaz' yenye maana tetesi, umbea, nk.
TID: Huyu kiingereza chake kizuri, ila matamshi yanamsumbua kama mimi na watz wengine. Anatamka 'ai hevu bin woking..'. Badala ya kutamka 'woking' akimaanisha 'working' alipaswa atamke 'weking' yenye maana ya kufanya kitu/kazi maana ukiitamka 'woking' unamaanisha neno 'walking' na sio 'working'.
Kwaiyo wanapaswa kuchezea makofi kwa kuaribu lugha za watu
 
Mtangazaji: "Upo tayari kusimama mahkamani na yeye amesema atakupeleka mahkamani"

Steve: "Aaah sijasikia nasikia tu romances"
 
Hawa jamaa wataambukiza watoto wetu kiingereza cha uongo kwa sababu ya nafasi yao ktk jamii, ngoja turekebishe mapema:
Steve: '..romance..', nadhan hapa alimaanisha 'rumours' ikitamkwa 'rumaz' yenye maana tetesi, umbea, nk.
TID: Huyu kiingereza chake kizuri, ila matamshi yanamsumbua kama mimi na watz wengine. Anatamka 'ai hevu bin woking..'. Badala ya kutamka 'woking' akimaanisha 'working' alipaswa atamke 'weking' yenye maana ya kufanya kitu/kazi maana ukiitamka 'woking' unamaanisha neno 'walking' na sio 'working'.
Good morning tichaaa
 
Mwanaume wa ukweli huwezi kukana jina lako la ukoo na kuamua kutumia jina la ukoo wa Mwanaume mwenzako
 
Back
Top Bottom