Steve Nyerere uchawa umezidi kipimo!

Steve Nyerere uchawa umezidi kipimo!

Damaso

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
3,978
Reaction score
6,739
Msanii Steven Mengere kwenye Challenge ya Chai na Vitumbua kama kifungua kinywa ambacho Rais Samia Suluhu Hassan alikimwagia sifa akiwa Mkoani Tanga.
1740758082827.jpg


Kwa hakika hapa inatosha kuonesha kuwa hapaswi kutumia jina la Nyerere tena maana mental yake imeshakuwa tofauti kabsa na wasifu wa jina hilo. Kwa sasa Tanzania kila chawa atachanganyikiwa ni suala la muda tu.
1740758084890.jpg


Baada ya uchaguzi watarudi kwenye factory settings, kwa sasa hawaoni kuwa wanaonekana mapunguwani. Wanachofanya hawa watu ni matusi kwani wanaelekea kumpa utukufu bandia Rais Samia kwa kigezo cha kupata ugali mwepesi.
images - 2025-02-28T190203.291.jpeg


Pumzika kwa Amani Baba Nyerere 😔 huku kuna mtu ana IQ ya 20 anatumia ubin wako kuonesha mambo ya ajabu. Inashikitisha sana kuona watu wanafanya mambo ambayo hana tija yoyote wala faida kwa taifa na bado anajiona ana utimamu sawa na wanafamilia wa Nyerere?! Madaraka Nyerere pelekeni hii chawa mahakamani iache kutumia jina la Nyerere.
 
Kukosekana kwa kujenga hoja,kujibu hoja ccm ilipofika sasa wanatumia nguvu kubwa kwa wasanii na mambo ya kipuuzi wasijadiliwe.
Embu jiulizeni 2025 ccm haina hata hoja moja zaidi kuzamini mpaka harusi ya hamisa
 
Ni njaa inayomuendesha sio yeye acha atafute ugali familia yake ipate ugali.
 
Msanii Steven Mengere kwenye Challenge ya Chai na Vitumbua kama kifungua kinywa ambacho Rais Samia Suluhu Hassan alikimwagia sifa akiwa Mkoani Tanga.
View attachment 3253325

Kwa hakika hapa inatosha kuonesha kuwa hapaswi kutumia jina la Nyerere tena maana mental yake imeshakuwa tofauti kabsa na wasifu wa jina hilo. Kwa sasa Tanzania kila chawa atachanganyikiwa ni suala la muda tu.
View attachment 3253326

Baada ya uchaguzi watarudi kwenye factory settings, kwa sasa hawaoni kuwa wanaonekana mapunguwani. Wanachofanya hawa watu ni matusi kwani wanaelekea kumpa utukufu bandia Rais Samia kwa kigezo cha kupata ugali mwepesi.
View attachment 3253327

Pumzika kwa Amani Baba Nyerere 😔 huku kuna mtu ana IQ ya 20 anatumia ubin wako kuonesha mambo ya ajabu. Inashikitisha sana kuona watu wanafanya mambo ambayo hana tija yoyote wala faida kwa taifa na bado anajiona ana utimamu sawa na wanafamilia wa Nyerere?! Madaraka Nyerere pelekeni hii chawa mahakamani iache kutumia jina la Nyerere.
Acha wivu ndugu. Steve ni mkubwa kuliko wengi humu. Steve ana access na ofisi nyeti za nchi hii. Badala ya kumwonea wivu Steve tutumie muda huo kufanya maendeleo kwa sababu hakuna sheria ya jamhuri wala ya Mungu iliyovunjwa na Steve.
 
Back
Top Bottom