Steve Nyerere: Wanawake kunigombania sio dhambi

Steve Nyerere: Wanawake kunigombania sio dhambi

Jamaa anafanya kazi gani mjini? Maana mtoto wa namba moja misafara yake ilikoma siku JPM alipoingia Ikulu
 
HONNGERA SANA KWA KUWA NA PESA CHAFU PIA NA KUGOMBEWA NA WANAWAKE.
 
hivi kumbe stivin nae ni superstar?? na kugombaniwa na wanawake nayo ni sifa enhee? acha tuendelee kula kimya kimya tu.
 
Msanii Steve Nyerere anasema haoni ajabu wanawake kujigonga kwake kwa kuwa yeye ni super star hapa bongo na pia ana pesa chafu,

Steve ameenda mbali zaidi kwa kusema kuwa wapo wanawake wanapigana kwa ajili ya Will Smith wa marekani wengine wanaume wanapigana kwa ajili ya Kim Kardashian
Steve amesema kuwa kwa sasa anaishi na mwanamke na ana watoto

View attachment 395121
Kwa urefu na sura hiyo!?
 
Anasahau kuwa wenye pesa hawasemagi bali huwa tunajionea wenyew kuwa fulani pesa anayo
Yeye kaamua tu kujipigia promo
Au ndo tangazo lake la biashara
 
Msanii Steve Nyerere anasema haoni ajabu wanawake kujigonga kwake kwa kuwa yeye ni super star hapa bongo na pia ana pesa chafu,

Steve ameenda mbali zaidi kwa kusema kuwa wapo wanawake wanapigana kwa ajili ya Will Smith wa marekani wengine wanaume wanapigana kwa ajili ya Kim Kardashian
Steve amesema kuwa kwa sasa anaishi na mwanamke na ana watoto

View attachment 395121
Huyo steve ni kijana au mzee mana sura imekaa kma mzee
 
Back
Top Bottom