Ngwasa Omuyaya
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 2,629
- 2,733
Nani tena anamgombania au wale wa mama wazee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo bwana mdogo anapenda sana watu wazima.Haka kajamaa kanachekesha,hao wanawake wanaopigana kwasababu yake sijui ni wawapi hao
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mwambie aache kujifananisha na watu wa maana.
wa kona baaHahahahaaa hadi steve nyerere anagomaniwa na wanawake, hao wanawake sijui ni wa aina gani..
Ukuwadi mkuu.
Huo msura ndio kweli najikuta naanza kumpigania?Aisee wanawake sie nao tuna uchizi vichwani mwetu
mama W...A S. P.U labdaNani tena anamgombania au wale wa mama wazee.
Nimekupata Mkuu....Ukiacha ukuwadi, pia ni bussines patner na Idd azzan katika biashara yao ya ...........
Kwa urefu na sura hiyo!?Msanii Steve Nyerere anasema haoni ajabu wanawake kujigonga kwake kwa kuwa yeye ni super star hapa bongo na pia ana pesa chafu,
Steve ameenda mbali zaidi kwa kusema kuwa wapo wanawake wanapigana kwa ajili ya Will Smith wa marekani wengine wanaume wanapigana kwa ajili ya Kim Kardashian
Steve amesema kuwa kwa sasa anaishi na mwanamke na ana watoto
View attachment 395121
kwani yeye sio wa maana? ha haMwambie aache kujifananisha na watu wa maana.
Huyo steve ni kijana au mzee mana sura imekaa kma mzeeMsanii Steve Nyerere anasema haoni ajabu wanawake kujigonga kwake kwa kuwa yeye ni super star hapa bongo na pia ana pesa chafu,
Steve ameenda mbali zaidi kwa kusema kuwa wapo wanawake wanapigana kwa ajili ya Will Smith wa marekani wengine wanaume wanapigana kwa ajili ya Kim Kardashian
Steve amesema kuwa kwa sasa anaishi na mwanamke na ana watoto
View attachment 395121
I wonder wako stationary/internet cafeWe sema tunazidi kubakia wachache wenzako wanaingiza mkwanjwa sasa hiv anaukaribu sana na bilionea lemutuz mzee wa mipangoView attachment 395210