Pre GE2025 Steven Byabato, anza sasa kupokea simu za wapiga kura wako, maana uliwasusa ulipopata uwaziri. Waitara, jiandae kwa kimbunga

Pre GE2025 Steven Byabato, anza sasa kupokea simu za wapiga kura wako, maana uliwasusa ulipopata uwaziri. Waitara, jiandae kwa kimbunga

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Baada ya Steven Byabato kuupata uwaziri, aliacha kabisa kupokea simu kutoka jimboni kwake. Akaanza kufurumusha maghorofa Mwanza na kwingine, akasahau palipompatia kura. Sasa uwaziri umekwenda, na uchaguzi umekaribia. Bila shaka wapiga kura watampokea na kauli ya UbayaUbwela. Huku kuna Chief anamkimbiza kimya kimya, huku CCM yule jamaa aliyeshinda kura za maoni za ubunge, JPM akamkata, na yeye anamkimbiza kimya kimya.

Ubaya Ubwela pia uko kwa Waitara, kwa wasiojua na kufuatilia habari, Tarime wameshaanza kampeni za ubunge. Waitara anagongwa nyundo za utosi mpaka kaamua kutembea na wazee wa kimila,lakini waaapi, wanaTarime kila mahali wanamwambia UbayaUbwela. Bila shaka heche atampitia kwa spidi ya kipanga,na atamuangusha hata kabla jiko la mama lishe halijawaka vizuri kwa ajili ya supu.

N.B: Mkoa wa Mara ndio wenye Youtube Channel nyingi sana, huko utakuta Heche na Waitara wakigongana spana bila huruma

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
 
Kwa tume gani ya uchaguzi Waitara asitangazwe mshindi hata km kashindwa? Hivi hamjamuelewa Nape vizuri ee? Labda CCM wenyewe waamue kumtosa, lkn vinginevyo yeye ndo mshindi na hakuna la kufanya. Tutabaki kuongelea mitandaoni hivi kujifariji.
 
Bila kusahau Mama yenu ajiandae Ubaya Ubwela
Ubaya ubwela Kwa Tulia foundation kila wiki anapanga vijitamasha ili apate pa kusemea siyo matamasha ni majukwaa ya siasa. Wenye akili wanamlia tu.

Mbeya hawanaga MCHEZO. Wanasema badala ya kuongoza bunge kuisimamia serikali yeye kila siku ni Kusifia serikali hatimizi wajibu waliomtuma. Yeye ni Mhimili wa bunge siyo serikali. Wanajiandaa kumnyoa kwa chupa 2025
 
Chief bukoba ashone kabisa suti yeye ni mbunge tiyari bila kumsahau mwl jonh pambalu ashone kabisa suti pia WENJE EZEKIEL DIBOGO MTOTO WA MAMA NTILIE Shona suti kabisa heche Mzee Shona suti baba
 
Kwa tume gani ya uchaguzi Waitara asitangazwe mshindi hata km kashindwa? Hivi hamjamuelewa Nape vizuri ee? Labda CCM wenyewe waamue kumtosa, lkn vinginevyo yeye ndo mshindi na hakuna la kufanya. Tutabaki kuongelea mitandaoni hivi kujifariji.
Tarime tume sio shida labda huko kwenu
 
Kwa tume gani ya uchaguzi Waitara asitangazwe mshindi hata km kashindwa? Hivi hamjamuelewa Nape vizuri ee? Labda CCM wenyewe waamue kumtosa, lkn vinginevyo yeye ndo mshindi na hakuna la kufanya. Tutabaki kuongelea mitandaoni hivi kujifariji.
Waitara ameshatepeta
 
Ubaya ubwela Kwa Tulia foundation kila wiki anapanga vijitamasha ili apate pa kusemea siyo matamasha ni majukwaa ya siasa. Wenye akili wanamlia tu.

Mbeya hawanaga MCHEZO. Wanasema badala ya kuongoza bunge kuisimamia serikali yeye kila siku ni Kusifia serikali hatimizi wajibu waliomtuma. Yeye ni Mhimili wa bunge siyo serikali. Wanajiandaa kumnyoa kwa chupa 2025
Hicho kimama ndio kitaangukia pua asubuhi tu. Kimegeuka mwiba kwa wapenda haki na wazalendo, kimeuza bandari kikishirikiana na chura kiziwi, kimfukuza mpina bungeni kwa kutetea wakulima huku kikijua wazi Bashe ni msomali na ni mwizi wa taifa hili ktk kilimo. Ngoja kitakuja tu
 
Back
Top Bottom