Jerry Silaa zile barabara mbovu jimbo zima zinatosha kumuondoa, ni kama barabara zilipigwa mabomu, pamoja na shida ya maji. Kapambana sana akiwa ardhi apate za kufanyia kampeni, ila naona tonge limedondoka.
Labda na yeye ataanza kulazimisha kampuni za simu zimpe hela kwa nguvu