Steven Kanumba, Daimond Platnumz na Mbwana Ally Samatta

Abastian

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2015
Posts
555
Reaction score
138
Je, serikali inatambua kazi za hawa ndugu zetu au kuna kitu wanapata/wanatoa katika kazi za hawa ndugu zetu!!?
 
Samata huwezi mfananisha nao wapumbv kwani Samata anapambana kivyake ushaona lini Samata kaitwa ikulu kama hao wakina diamond
Samata Yuko low profile hataki misifa mloyozoea kuwapa Wasani
 
Tbc Jana ili mtambua Sama goal kwa dk 40 tu.. kujipendekeza mtindo mmoja!
 
Mbwana Samatta/Thomas ulimwengu uso kwa uso na wale waarabu watakapopambana na taifa stars juma lijalo uwanja wa taifa
 
Kuna watu wanachuki kiasi cha wao kujisahaulisha kuwa mmoja ni marehemu,lakini sawa maana kuna watu wakikuta mada za hivi ndo wanapata sehemu ya kupunguza misumari ya chuki iliyowakaba kooni kutokana na mnyooooooooooooosho wa nguvu hadi hawapumui HONGERA DIAMOND WEWE NDIYE MSANII MWENYE HADHI YA NEMBO YA TAIFA WEWE NI MAARUFU ZAIDI YA HATA RAIS WA TZ, Hutaki unaacha ujabakwa wala nini.
 
Ushauri :

Habari ya upambanaji wa maisha wana Jf?

Kama tunavyofahahu mtu akipungukiwa kinga ya mwili kuna dawa anashauluwa kutumia Jina limenitoka watumiji wanajua. Hata wanaume wanaopungukiwa na nguvu za kiume kuna vipeperushi vingi vimebandikwa ,vinatembezwa hasa DSM ukiwa barabarani utakutana navyo.

Point ya msingi Mimi mwana Jf mwenzenu nimepungukiwa, na hasira nitumie kichocheo gani ili hasira zangu zirudi, maana inatokea hata katika miangaiko yangu ya kutafuta pesa nikizulumiwa natulia wakati zamani sikua kama nilivyo sasa shida ni nini?

Naombeni ushauri wenu.
 

kalambe limao.
 

Yah!hapa super platnumzs tuuu #MnyooooooooosHo wa nguvu
 
Diamond platnumz, Steven Kanumba, Mbwana Samata, Millen Magesse, Bi kidude Bila ubishi hawa ni true icons wa Tanzania..

Na mpaka sasa wanne kati yao wameshatambulika kama Nembo za taifa kutokana na mchango wao isipokuwa samata tu, najuwa watampa heshima yake hivi karibuni!!!

Majina yao hata baada ya vizazi na vizazi yataendelea kuwepo makumbusho ya Taifa kama Icons of the Nation ni kitu kizuri..

Bado kuipa mitaa majinayao Diamond platnumz/Chibu/kanumba etc. street/road na sanamu zao..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…